ARUSHA: Askari Polisi 7 waliombambikia pembe za ndovu Prof. Justin Maeda na kuchukua milioni 100 wafukuzwa kazi, Profesa afunguka

ARUSHA: Askari Polisi 7 waliombambikia pembe za ndovu Prof. Justin Maeda na kuchukua milioni 100 wafukuzwa kazi, Profesa afunguka

Hivi pale maeneo ya NAIC/DANISH kuna shamba linajulikana "Kwa Maeda", ndo nyumbani kwa huyu Mzee? Na Miss Tanzania mmoja miaka ya 93/94 aliitwa Aina Maeda ni binti yake? Long time sana miaka hiyo nilikuwa nikitumwa hapo kuchukua maranda kwa ajili ya banda la kuku... 🤣 🤣

Dah, nimepamisi sana Usa River mitaa ya Danish, Naic, Ngusero, Leganga, ile njia ya kupandishia DikDik kuna shemeji yangu alikuwa na shamba la Mpunga huko nilikuwa nikifunga shule naenda kumpiga tafu kazi za shamba. RAHA SANA ARUSHA man!
Pale karibu na uwanja wa mpira NAIC ni nyumbani kwao( wazazi wao) kwa sasa anaishi mdogo wake. Aina maeda ni mwanafamilia, huyu mzee anaishi Nshupu ni njia ya dik dik, huko ndio amejenga kasri zake na wanae wanaoishi marekani.
 
Wakat anakusanya izo hela mda wote huo alishindwa kuwasiliana na takukuru ili awakamatishe mazima kuliko kutoa then kulud mda mwingine ambapo ushahidi ushapotea, uyu mzee kuna kitu nyuma ya pazia, ila kwa sababu ana mkwanja mrefu ndo maana unaona yupo kitaa anakula zake bata tu [emoji23][emoji23][emoji23]but kiuhalisia kwa makosa ya rushwa alitakiwa nayeye awe nyuma ya nondo
Unaelewa scenario aliyoilezea na mazingira aliyekuamo? Hebu plan time uisikilize kwa uzuri. Meneja wa Bank NMB alistukia mchezo na hivyo kumpa 5m tu na taarifa ikkafika Takukuru, adi da moment anapenda report already walikua washapata information. Listen please
 
Hata hivyo Ruge alisema uchunguzi wa kesi hiyo bado haujakamilika na ukikamilika atatoa taarifa kwa vyombo vya Habari juu ya makasa mzima.

KESI IMEKWISHA!!!
 
Unaelewa scenario aliyoilezea na mazingira aliyekuamo? Hebu plan time uisikilize kwa uzuri. Meneja wa Bank NMB alistukia mchezo na hivyo kumpa 5m tu na taarifa ikkafika Takukuru, adi da moment anapenda report already walikua washapata information. Listen please
Nimeskliz vzr mkuu, kwann asitoe taarifa yeye paka manager wa Bank ndo atoe yeye alikuwa anaficha nn, coz nimeona hapo anasem baada ya kufika nyumbani ndo mkubwa wa takukuru akaja kwa sababu alishapat taarifa,

Je huyu mzee hajui kua kutoa rushwa ni kosa kisheria haijalishi una hatia au huna.?

Kwa sababu angewasilian na takukuru mapema ingekuwa rahis kuweka mtego, hata wangempa pesa za moto na maaskari wao na ushahidi usingepotea kama hapo anavyosema kwamba mmoj wao kakimbia na hizo hela bila kugawanywa.
 
Na nna swali hapa mwenye kuweza kunisaidia anisaidie hapa.

je hizo pembe zilizokatw kwa sasa ziko wapi? Kama ushahidi ili ijulikane zimetoka wap hata kama wamembambikizia tujue je hao polisi wamezitoa wap, hapa inaweza saidia kukamata majangili pia.
 
Kuna siku polisi walinikamata, wakawa wanataka kunibabatiza na kesi zao za kipuuzi.

Wakawa wanataka kunipeleka kituoni.

Nikasema sawa, si tatizo. Ngoja nimpigie simu mshua nimtaarifu mmenikamata watu nyumbani wapate habari nimekamatwa na polisi. Halafu mtawaeleza kosa langu ni lipi.

Wakaniuliza kwani mshua wako nani?

Nikawaambia mshua tu.Msijali.

Nikaona wanaanza kuogopa.

Wakang'ang'ania kumjua.

Nikawatajia.

Haraka sana wakaanza kujibaraguza basi nenda tu.

Nikasema hapa kama mtu hajulikani angelala polisi.

Siku nyingine tumekaa maskani Upanga.

Tunaona polisi kama 20 wametanda mtaani wanakuja.

Mimi nikawaambia madogo fulani tumekaa nao, nikasema hapa kama mtu hawezi kuongea nao hawa ajikate kabisa, hapa tunabaki wabishi tu.

Basi wakafika mpaka pale tulipokuwa.

Mmoja akaanza kusema "hapa mnafanya nini nyie?".

Dah, kosa. Jamaa mmoja akamjibu "Hivyo ndivyo mlivyofundishwa kusalimia watu?"

Ikawa kama mzozo. Watu wakasema hapa tupo nyumbani.Polisi wakaanza kuuliza mmoja mmoja, wewe unakaa wapi? Watu wanaonesha nyumbani hapo, nyumbani hapo.

Wakamfikia jamaa mmoja tuko naye maskani.

Wewe unakaa wapi?

Jamaa akajibu "Kwa Ben".

Polisi wakawa wanashangaa, wakauliza, kwa Ben? Ben gani?

Jamaa akajibu, Ben Mkapa huyo huyo wa Jamhuri ya Muungano, kwani wewe unamjua Ben gani?

Hapo rais ni Ben Mkapa.

Askari wakastuka. Ikawa kama hawaamini.

Mmoja wao akawa kama anawanong'oneza, nikamsikia anasema "huyu namjua, nilikuwa namuona nyumbani kwa Mkapa pale Sea View kwenye lindo". Presumably wakati Mkapa akiwa Waziri.

Basi hapo hapo tukaona askari polisi walioanza kutuingia kwa inda wanabadilika mara moja.

Wakaanza kusema "mnajua wazee ni katika kufahamiana tu, hatukuwa na lengo baya, ni kufahamiana tu".

Nikasema hawa huko mitaa ya watu wasio na majina wanawakamata watu na kuwatoa upepo vizuri sana, bila kosa.

Bahati yao mbaya leo wamekutana na kisiki.

Ile maskani waliipigia alama kituoni kwao, waliambizana maskani hii msiguse, kuna mtoto wa rais anakaa hapo.

Haki ya kikatiba ya kila mtu ya kutosumbuliwa na kuchukuliwa hana hatia mpaka atakapopatikana na hatia inavurugwa na inakuwa privilege ya watu wenye majina.
Dah Kiranga komo
 
Hata hivyo Ruge alisema uchunguzi wa kesi hiyo bado haujakamilika na ukikamilika atatoa taarifa kwa vyombo vya Habari juu ya makasa mzima.

KESI IMEKWISHA!!!
Kwann unasem imeisha mkuu
 
Hahahah kweli we unamjua mkuu.

Eti huyo ndio atoe 100mil ya rushwa?mwafaaaaaaaa.

Mzee na Pick up yake anakwambia vijana wanataka bure bure tu. Leo wajinga wameenda kutaka mchomoa 100Mil

Hawa jamaa hawakuwa na taarifa za kiintelijensia kuhusu Prof hichi tu kinaonesha polisi walivyo wabovu kwenye mikakati hadi ile halali
 
Na nna swali hapa mwenye kuweza kunisaidia anisaidie hapa.

je hizo pembe zilizokatw kwa sasa ziko wapi? Kama ushahidi ili ijulikane zimetoka wap hata kama wamembambikizia tujue je hao polisi wamezitoa wap, hapa inaweza saidia kukamata majangili pia.
Hao polisi wenyewe mmoja wao kasanda
Huyo Prof kwanza anakuambia maisha yake
Yote hajawahi ona pembe wala ngz ya chui

Ova
 
Usa sio kama Tanga. Tanga ukiwaambia takukuru mambo yako wanamtafuta mlengwa na kula hela. Ukikutana na mlengwa anakuambia kila ulichosema huko. Jamani jamani Tanga eeeee Mungu waonee watu wako huruma. Japo mkuu wa takukuru alisimamishwa kazi lakini hakuna jipya sana. Hongereni takukuru huko Arumeru.
Hii ipo hata Iringa, nafikiri nchi nzima TAKUKURU wapo hivyo isipokuwa kwa malalamiko yenye macho mengi. 2018, mloani Iringa tulipeleka TAKUKURU malalamiko dhidi ya Wataalamu wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa. Wakatafutana na kuyaweka sawa baadae wao (TAKUKURU) wanaanza kutuuliza sisi walalamikaji kuwa watumie kifungu gani kufungua mashtaka,..yaani sisi ndio tuwaelekeze, aisee na kesi ikafa kibudu.
 
Nimeskliz vzr mkuu, kwann asitoe taarifa yeye paka manager wa Bank ndo atoe yeye alikuwa anaficha nn, coz nimeona hapo anasem baada ya kufika nyumbani ndo mkubwa wa takukuru akaja kwa sababu alishapat taarifa,

Je huyu mzee hajui kua kutoa rushwa ni kosa kisheria haijalishi una hatia au huna.?

Kwa sababu angewasilian na takukuru mapema ingekuwa rahis kuweka mtego, hata wangempa pesa za moto na maaskari wao na ushahidi usingepotea kama hapo anavyosema kwamba mmoj wao kakimbia na hizo hela bila kugawanywa.
Ukienda Mahakamani kuko na maelezo mtuhumiwa huwa anayakana, why? Cause wakuta yamechukuliwa kwa vitisho au vipigo! So unakubali kwa muda huo that's what exactly happened to Prof. Situation was critical
 
Hii inshu nimeisikia muda tu naona wakubwa walikua wanajaribu kuizima zima isisambae.

Sitashangaa nikisikia nae mgao ulimhusu.
Mimi wifi aliingia mtaroni hapo chama asubuhi wala gari haikuumia,wakaita breakdwn n kuipeleka usa kituoni,kwenda hpo nakuta bili ya 400000 kuvuta gari....halafu wametengeneza mazingira kua wife alikua amelewa[emoji16][emoji16] ili wapige hela,wife alitoka hom saa 2 kwenda kwa maza wake usa akiwa njiani akachomekewa na hiace na kuingia mtaroni mida ya saa mbili unusu.
Nimemfuata chama hpo njiani nkaenda nae kituoni wanataka kumuweka ndani
 
Kweli mkuu ila kuna kipindi nimezinguana nao nilikuwa na jamaa yangu yupo na manzi wake sasa jamaa huwa mzee wake ana store ya mazao maeneo ya Mbauda Arusha.

Siku hiyo jamaa kamwita manzi akaja mtaa na mimi huwa nampa company msela mda mwingi tupo wote mpaka leo hii. Basi siku hiyo akapigiwa simu ilikuwa usiku saa mbili kuwa kuna gari ina gunia kama kumi na mbili za maharage ila ji gari ya majani ya chai hivyo itafika si muda akagungue store mzigo ushushwe.

Tukatoka pale tulipokuwa na jamaa na manzi wake (sio mbali na store) kufika mara gari kweli ikaja mzigo ukashushwa chap na makuli wawili. Ile tumefunga tunataka kuondoka mara ikaja defender huku Arusha naonaga wanatumiaga za Sunny Safari sijui wanakodi au wanahongwa sijui.

Jamaa wakakomaa fungueni kuna mzigo wa magendo umeingizwa ndani. Hapo nilikuwa nishatupia kinywaji moja inatwa zanzi ipo kama amarula siku hizi hakipo vilikuwa vinawekwa kwenye kiroba.

Nikamwambia jamaa yangu usifungue. Halafu hao polisi nikawachana kuwa hatufungui mpaka mtupe search warrant. Jamaa wakakomaa pale nikawaambia tupelekeni mnapotaka hatufungi hapa bila search warrant.

Yule manzi akaanza kulia anaomba watusamehe akakatwa kofi akatulia [emoji23]. Wale askari wakaanza kusema "unajifanya unajua sasa twende pandeni kwenye gari" nikawaambia poa twendeni ila nikawaambia kabla ya hapo ngoja tutoe taarifa home kuwa tumekamatwa.

Jamaa akampigia mshua wake simu akamweleza mshua akasema poa anakuja central. Basi tukapanda kwenye pira manzi alikuwa wa kwanza kupanda akakalia seat zile kama bench nikamwambia akae chini maana jamaa wangemzingua (kama hujawahi pakiwa kwenye pira siku ukikamatwa ukipakiwa usikalie seat utapigwa kama mbwa koko, kaa kwenye floor ya body ya gari).

Basi jamaa wakatekenya ndinga wakaanza kuondoka tumetoka hata sio mbali kabla ya kuingia lami mijamaa ikaona hatulainiki ikatuachia tukasepa zetu.

Sometimes ukiwa na ujasiri na kujua sheria inasaidia. Ila angalia na watu wenyewe kuna askari wengine yupo radhi akuchape shaba ukimbishia.
Hao wajinga wamebandika sticker za sunny safari,ila watu wanajua gari zao zote
 
Kwa kweli bora kuweka hela nje maana Bank zetu hazina siri kabisa
Police wanajuaje kama kuna hela za mteja Bank na wanapitia kirahisi?

Yaani ni kama ile kesi ya Yule Mama alieibiwa hela zake kwenye Simu banking
Ifike mahali watuhumiwa hata kama ni Bank wanatoa Siri za mteja wafunguliwe mashtaka
Mzee yuko vizuri kiuchumi pia anajengo lake hapo usa wamepanga crdb bank n nssf
 
...Nimvekwazika kidogo hapo Mkuu. Kama huyu Profesa naye alikuwa ni Msafi na hana Mazonge zonge yoyote, kwa nini alitaka kuwapa hao makalamba hela yote hiyo wakati moyomi ansjua yupo safi na hana kosa lolote?
Inafikirisha. [emoji848][emoji848]
Mzee huyo anaishi mwenyewe watoto wake wote wanafanya kazi usa,kwahiyo alipanic
 
Nimefuatilia kwa karibu sana tukio la unyanyasaji na ujambazi aliofanyiwa na polis wa kituo cha polis Usa River kule Arusha, Prof Maeda la million 100, nikagundua, kuwa pamoja na polisi 7 kufukuzwa kazi hado hadi leo OCD na OC CID,na mkuu wa kituo cha polisi Usa River, wapi kazini na wanaendelea kuchapa kazi kama kawaida na IGP amepiga kimya kama kawaida yake. Ninashauri nilio wataja waunganishwe na hao askari 7 na kufikishwa mahakamani haraka na mapema iwezekanavyo.
Siro nae walewale
 
Huyo Prof. naye TAKUKURU wamfungulie mashitaka kwa kushawishi kutoa rushwa(Corruption transaction) kama alikuwa hausika kwanini aogope kufikishwa mahakamani ili mahakama itoe maamuzi kama alibambikiwa kesi au la, hayo meno ya kwenda kumbambikizia yeye hao askari waliyatoa wapi kama si walipata taarifa kutoka wa raia wema kuwa kuna pembe za ndovu shambani kwa huyo mzee.

Jeshi la POLISI na TAKUKURU wachunguze account za huyo mzee na wapime biashara zake kama kwa haraka tu ametoa milioni mia inatia shaka.Kosa la hao askari ni kukubali kupokea rushwa baada ya kushawishiwa na mtuhumiwa.
Mzee ni tajiri anakula kodi za kutosha,anamashamba kama yote....kwa upeo wako kwanini police hawakusachi nyumba waende kwenye mzinga wa nyuki,very simple issue ilikua planted ili wachukue pesa ya mzee.
Huyo mzee watoto wake wamesoma vizuri wanaishi nje hawahitaji hata mia yake
 
Back
Top Bottom