Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi

Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi

Wa kulaumiwa ni Mufti. Wa kulaumiwa ni viongozi wa dini mambo kama haya yakitokea. Hayo ndiyo mawazo ya Allah. Haitoshi kusema hawa watu wakiambiwa kitu hawasikii.
Halafu unyama kama huu ukitokea,we have to ask if we have got the best type of (State)leaders. We have to ask,if maybe we need a new crop of (political )leaders.
Pope Francis, a few wéeks ago,alikuwa Ana argue,anasema homosexuality should be legalized.
Kwa hiyo,Mwenyezi Mungu akitazama haya mambo toka Mbinguni,anasema,"Mapadre wangu nimewaweka pale,wanafanya kazi gani?"
 
Mwanamke Mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Jackline Mnkonyi{38} mkazi wa Sombetini Jijini Arusha mei 23 mwaka huu majira ya saa 5 usiku alipata kipigo kikali kutoka kwa mume wake ikiwa ni pamoja na kung’olewa meno mawili na kutobolewa jicho kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

IMG-20230526-WA0016.jpg


Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa wazazi wake eneo la Sinoni kata ya Daraja Mbili Jijini Arusha,Jackline alisema kuwa baada ya kupata kipigo hicho alichukuliwa bila kujitambuwa na kupelekwa nyumbani kwa wazazi wake Sinoni na kutupwa getini bila ya kujitambua.View attachment 2635779

Alisema Mume wake mara baada ya kufika eneo la nyumbani aliwapigia simu wazazi wake na wazazi wake walipofungua geti walimkuta katika hali mbaya na baadae waliamua kumchukua na asubuhiu alipelekwa hospital ya kaloleni kwa matibabu zaidi.

Akizungumza Mkasa huo alisema kuwa,mchana wa mei 23 mwaka huu alitembelewa na mjomba wake ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi{CCM} Simiyu aliyetambuliwa kwa jina la Vicent Matai .

IMG-20230526-WA0017-768x1024.jpg


Jackline alisema na kumtaja mume wake kwa jina la ,Isaack Mnyagi Mwalimu na mkazi wa wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro huja baada ya muda wa zaidi ya miezi mitatu na zaidi kuona watoto wawili aliozaa nao na siku hiyo alikuja usiku ghafla.
Alisema alipofika nyumbani Sombetini maajira ya saa 4.45 usiku aligonga mlango na kufunguliwa na watoto lakini hakutaka salamu na kuingia chumbani na alipomfuata alitoka chumbani.

Jackline alipoona hivyo alimuuliza kulikoni alichoambulia ni maneno mazito na matusi na kuulizwa mchana alikuwa na nani na alimjibu kuwa alikuwa na mjomba wake hatua ambayo alikana na kusema kuwa ni mtu wake na huwa wanafanya umalaya hatua ambayo alipinga lakini alijikutaja akipigwa na ‘’mjeledi’’ mgongoni.

FB_IMG_1685098776337.jpg


Picha ya Mume wa Jacline aliye mshambulia Mke wake kwa silaa za jadi .

Alisema alijitahidi sana kujieleza lakini ilishindikana na Mume wake Mnyagi alichukua Plaizi kifaa cha gereji na kumwamuru afungue mdomo na kung’olewa jino moja baada ya lingine huku akipata kipigo kikali na kujikuta na maumivu makali hadi jana.

Jackline alisema hatua hiyo aliona kama haitoshi aliamua kuchukua kitu chenye Icha kali na kumtoboa jicho moja ambalo hadi sasa hawezi kuona na kumwambia maneno mazito na mtusi huku akiendelea kupigwa hali iliyomfanya kupoteza fahamu.

Alisema hakujua jinsi alivyofikishwa nyumbani kwa wazazi wake Sinoni Daraja mbili na kutupwa getini kwani nilishtuka nikiwa hospital .

‘’Nimetobolewa jicho na nimeng’olewa meno mawili kwa chombo kinachoitwa Plaiz nina maamuvi makali sana naiomba serikali ichukue hatua dhidi ya mume wake kwani amenifanyia unyama wa hali ya juu’’alisema Jackline

Naye Mzazi wa Jackline,Mzee Elimilis John Mkonyi alisema kuwa baada ya kumpeleka katika hospital ya Rufaa ya Mount Meru na kupata matibabu alikwenda kituo kikuu cha polisi Arusha na kufungua jalada shambuli la kuzulu mwili kesi namba ARS/RB/5416/2023.


IMG-20230526-WA0002.jpg


Muonekano wa Jackline kabla ya kupata kipigo kutoka kwa mume wake
Kweli madem wanazingua ila hebu tupunguze hasira tufikirie kesho yetu sasa mshkaji lazima atafutwe na atashambuliwa sana kwenye mahakama kashaharibu kama unahisi mtu si mwaminifu bora usepe kimya kimya au umrudishe kwao mambo yaishe. Unajiharibia maisha na kazi kisa mwanamke mmoja kesho ungetafuta mwingine wangekuepo kibao wakukupokea. Hasira siku zote haijengi na haina faida yoyote
 
Sikatai ila kila Mmoja na kiwango cha uvumilivu,je ulishajua mwisho wa uvumilivu wako?
Mwisho wa uvumilivu wangu ni kuachana na mwanamke sio kumpiga au kumuua,nawapenda watoto wangu,nawapenda ndugu zangu,siwezi hatarisha maisha yangu kwa mtu niliyekutana naye ukubwani,by the way napenda watoto wangu wawe na mama ambaye yuko mzima kiafya,sio kumtoa macho kwa kosa la uzinzi,badilika kijana!
 
Apigwe tu
Mwanamke ushaolewa unaingiza mabwana ndani kwenye nyumba ya mme wako, ukijua kabisa jamaa kaenda kutafuta
Tena kiongozi wa serikali aliamin jamaa labda atamwogopa
Hata ningekuwa mimi napiga bila kujali napigaje
Huyo mwamba atazuga jela miaka miwili baadaye atatoka
Huyo ndo mwanaume
Maisha yanataka hivo
 
Ukiona mwanaume kanyoosha maguni , sijui siraha .. kaa ukijua ana kichaa huyo 😅😅
Hujawahi kukutana na madhira ya wanawake wewe Mimi nilikuwa nawacheka wanaopiga wanawake siku moja nimejilaza kitandani mwanamke anaongea na simu wanaitana na baby kabisa aisee siku hiyo nilichalaza mikanda nusu ya kuua
 
Yes sura ya upole,sauti ya upole ila ukizingua tutaoneshana kweli labla nife vinginevyo hakuna namna 🤷🏼‍♀️
Sasa utamfanya nini ambacho ulishindwa kumfanya kipindi anakupa kipigo kitakatifu
 
Hujawahi kukutana na madhira ya wanawake wewe Mimi nilikuwa nawacheka wanaopiga wanawake siku moja nimejilaza kitandani mwanamke anaongea na simu wanaitana na baby kabisa aisee siku hiyo nilichalaza mikanda nusu ya kuua
Haitakaa nikapiga mwanamke, kama kuishi nimeishi nao sana . sijawai hata nyoosha mkono wangu kumtishia mwanamke yoyote.. ni upungufu wa kiume ndio unaweza fanya ukapiga kisichotakiwa kupigwa
 
Hata iwejeeee hata iweje nasema...this is unacceptable....
Jiweke kwny position ya huyo dada utobolewe jicho na kutolewa meno bila ganzi hivi mmefikiria kweli??? Uwiiiiiii
Ila kuingiza mwanaume kwenye nyumba yake ndo inakubaliwa walikosa hata hela ya lodge
 
Mshikaji hajafanya poa.....ila ni kweli huyu manzi analiwa sana na wana.....na tuhuma anazotuhumiwa nazo na mwana ni za kweli.....basing on muonekano wa pisi enyewe🤣🤣🤣
 
Hatariii,angemkutaa Mjomba mwenyekiiti wa CCM si ingetokea ninii......
Hata angemkuta pengine wasingegombana kwa sababu hata huyu mume mtu ni magamba pia.. kwa hiyo wote ni dugu moja... wangeambiana tu kuwa kizuri kula ndugu yako... 😁😁😄😄
 
Back
Top Bottom