Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
So ticha anatarajia miaka mingapi jela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nipigwe harafu niondoke yes naweza kwenda ila nitarudi kwa ajili ya kulipa mara tatu ya niliotendewa.Omba amani , na kisasi hakijawahi mwacha mtu salama.. Ukipigwa we ondoka hujui utakapotokea.. Ni ushauri
Huyo dada aliponzwa na hilo tabasamu,chui alievaa ngozi ya kondoo, polee yakeYani ni hili lipumbavu ndo limepiga mke, yupo kwenye hii video anaimba na Fanuel Zedekia, wimbo ukianza tu utaona anavyotabasam
Unajua ni tendo la kigaidi sana kumtoa mtu meno kwa kutumia pliers tena bila ganzi. Bro hivi unaelewa yale maumivu jino linapovunjwa. Huyo dada anaweza hata pata damage katika mfumo wake wa fahamu.Angempiga ngumi meno yakatoka sawa, ila hiyo ya kuchukua plaiz na kupunguza meno asipofungwa na kama huyo dada ndugu zake wasipolipiza basi huyo mwanamke atakuwa hapendwi kabisa na jamii hata ndugu zake.
Kofi kawaida ila ukiona amenza kupiga ngumi na mateke hapo sasa ni hatari.Huyo mbwa bado hajawekwa nyuma ya nondo,Wanawake wenzangu ukiona Mpenzi wako anakupiga kofi jua iko siku atakuja kukuvunja meno endeleeni kuvumilia [emoji51]
Si mpaka uweze rafikiJamanii mtu wa hivi hata kama akitoka baada ya kuisha kifungo mimi sitakubali nitahakikisha na yeye anakuwa shoga kwa gharama yoyote ile haiwezekani mimi anipe ulemavu yeye awe sawa.
Unaropoka tu, usipojitambua utapelekewa makofi na kwenu unarudiMaboya ndio wanapigwa mkuu mimi sikuwahi kupigwa hata kwa wale waliosifika kupiga ukiingia kwenye himaya yangu kupiga utapiga dada zako kwangu utapoa kama maji baridiii
Hakuna kitu kinashindikana mbele ya pesa.Si mpaka uweze rafiki
Huyu hawezi rudi hata iwaje?Baada ya siku kadhaa utasikia kesi imekwisha na mama watoto karudiana na Mme wake! Yetu macho! [emoji1787][emoji23][emoji28]
Unakuwa umeshamsamehe halafu unakuwa unakuwa upo tayari kurudiana nae mjenge upya ndoa yenu. [emoji23][emoji23][emoji23]Jamanii mtu wa hivi hata kama akitoka baada ya kuisha kifungo mimi sitakubali nitahakikisha na yeye anakuwa shoga kwa gharama yoyote ile haiwezekani mimi anipe ulemavu yeye awe sawa.
Eeeeee wewe nae tunakemea ukatili hapa wewe unaupigia debe tena ama?Hahahahaha akatwe kikojoleo tu kisha akatupwe jela, aishi na hiyo guilty hadi anakufa
Sijawahi kupenda kufika levo hiyo mkuuUnakuwa umeshamsamehe halafu unakuwa unakuwa upo tayari kurudiana nae mjenge upya ndoa yenu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hakuna aliewahi kufaulu mtihani wa ndoa au mahusiano,it's just inatokea upande Mmoja unakubali unaumia sana na mwingine una survive,hivyo usiweke reference yako kama mtaalamu,we both know that these issues remains purely subjective.Sijapendezwa na reaction ya mwanamme juu ya mke wake,njia nzuri ni kuachna ili watoto waendelee kuwa na baba na mama wenye siha njema.Niko katika ndoa kwa zaidi ya miaka kumi,sijawahi waza kumpiga mke wangu,naomba sana mungu azidi kunisimamia nisijefanya upuuzi kama wa huyu jamaa.
Nadhani njia nzuri kwa wanandoa ukiona mkeo anachepuka kama huwezi vumilia peaneni taraka ili watoto waendelee kupata malezi ya baba na mama,huyu jamaa aliyepiga mke anaenda kupoteza muda wake jera kwa upuuzi kabisa.
Mimi huwachukulia hawa watu wanaowajeruji hadi kuwaachia ulemavu wenza wao na hata wale wanaowauwa wenza wao kwa sababu za wivu wakimapenzi ni watu wabinafsi , wasiojari masrahi ya watu wengine,hebu chukulia una watoto,ndugu zako pia wanakutegemea sasa unakuja haribu future ya watoto wako kwa sababu ya mtu mlo kutana mkiwa watu wazima,unaleta huzuni kwa ndugu zako kwa jambo la kipuuzi kabisa, mwanamke mzinzi ni wakuachana naye nasio kumjeruhi au kumuua.ticha kila mwaka anamwaga wanawake wengi uraiani,si angefukuza Huyo mke akaoa mtoto mbichi tu
Waaume wenzangu tujifunze kuhandle hasra na busara zitawale sana
Sawa.Yaani nipigwe harafu niondoke yes naweza kwenda ila nitarudi kwa ajili ya kulipa mara tatu ya niliotendewa.
Huyo binti kupoteza fahamu inawezekana ni sababu ya kutolewa meno. Ile pain ni kubwa mno.Unajua ni tendo la kigaidi sana kumtoa mtu meno kwa kutumia pliers tena bila ganzi. Bro hivi unaelewa yale maumivu jino linapovunjwa. Huyo dada anaweza hata pata damage katika mfumo wake wa fahamu.
Natumai ustawi wa jamii kupitia waziri wake watatoa tamko na kukemea hili tukio.
Nimeumia na kumstaajabu sana huyu mwamba, katumia nguvu nyingi sana kusolve tatizo dogo la maumivu ya moyo. Wanaume huwa hatuendekezi jazba kiasi hiki.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app