Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi

Aisee huyu jamaa namfahamu, tena ni member humu jf
 
Itoshe kusema siwezi toa maoni kwa njia unayoitaka na wala muda wa kushindana nawe sina.. Kikubwa tujikite kwenye mada itapendeza zaidi.
Usingeni quote from the beginning,
Ukiwa na huzuni sana kaiombe mahakama msaidiane kifungo na huyo ticha mshenzi,

Kwanza nimewaza wanafunzi walikua wanaishi nae vipi sio alikua anawapiga sana huyu [emoji848]
 
Nawaza tuu kwa sauti....
Kwani hii ni mara yake ya kwanza kupigwa kiasi hiko??? Maana kwa kupigwa huku huyu mwanaume lazima ni mpigaji tuuu...mmh Mungu ampoje huyu bidada lakini ndo tayari ashapata ulemavu ....
Huyo hajampiga, kambomoa
 
Sijapendezwa na reaction ya mwanamme juu ya mke wake,njia nzuri ni kuachna ili watoto waendelee kuwa na baba na mama wenye siha njema.Niko katika ndoa kwa zaidi ya miaka kumi,sijawahi waza kumpiga mke wangu,naomba sana mungu azidi kunisimamia nisijefanya upuuzi kama wa huyu jamaa.

Nadhani njia nzuri kwa wanandoa ukiona mkeo anachepuka kama huwezi vumilia peaneni taraka ili watoto waendelee kupata malezi ya baba na mama,huyu jamaa aliyepiga mke anaenda kupoteza muda wake jera kwa upuuzi kabisa.


Mimi huwachukulia hawa watu wanaowajeruji hadi kuwaachia ulemavu wenza wao na hata wale wanaowauwa wenza wao kwa sababu za wivu wakimapenzi ni watu wabinafsi , wasiojari masrahi ya watu wengine,hebu chukulia una watoto,ndugu zako pia wanakutegemea sasa unakuja haribu future ya watoto wako kwa sababu ya mtu mlo kutana mkiwa watu wazima,unaleta huzuni kwa ndugu zako kwa jambo la kipuuzi kabisa, mwanamke mzinzi ni wakuachana naye nasio kumjeruhi au kumuua.ticha kila mwaka anamwaga wanawake wengi uraiani,si angefukuza Huyo mke akaoa mtoto mbichi tu


Waaume wenzangu tujifunze kuhandle hasra na busara zitawale sana
 
Mjomba konyo
 
Usingeni quote from the beginning,
Ukiwa na huzuni sana kaiombe mahakama msaidiane kifungo na huyo ticha mshenzi,

Kwanza nimewaza wanafunzi walikua wanaishi nae vipi sio alikua anawapiga sana huyu [emoji848]
weka ushahididi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…