Hennes kolon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 673
- 1,294
hawezi kufungwa , NI ugomvi wa familia , ni kesi ndogo Sana hii. mwisho wa siku familia zitaingilia Kati na wataombana msamaha , yanaisha .Mwalimu anakwenda jela kipumbavu kabisa. Aende akaonyeshe umwamba wake kwa wanaume og.
Vipi nyendo zake Kwa totozi...ni kweli anaweza kuwa ni mjomba au janja janja!!!Duhh! Matai kumbe ni mjomba wa huyo dada? Matai alikuwa rafiki yangu kipindi niko meatu Simiyu.
Ni katibu wa wazazi CCM wilaya ya meatu.
Hahahaa jamaa ni [emoji91]Vipi nyendo zake Kwa totozi...ni kweli anaweza kuwa ni mjomba au janja janja!!!
huyo jamaa yake atakuwa na matatizo ya AkiliHata iwejeeee hata iweje nasema...this is unacceptable....
Jiweke kwny position ya huyo dada utobolewe jicho na kutolewa meno bila ganzi hivi mmefikiria kweli??? Uwiiiiiii
For surehuyo jamaa yake atakuwa na matatizo ya Akili
Omba amani , na kisasi hakijawahi mwacha mtu salama.. Ukipigwa we ondoka hujui utakapotokea.. Ni ushauriYes sura ya upole,sauti ya upole ila ukizingua tutaoneshana kweli labla nife vinginevyo hakuna namna 🤷🏼♀️
Haendi mtu jelaMwalimu anakwenda jela kipumbavu kabisa. Aende akaonyeshe umwamba wake kwa wanaume og.
HatafungwaAngempiga ngumi meno yakatoka sawa, ila hiyo ya kuchukua plaiz na kupunguza meno asipofungwa na kama huyo dada ndugu zake wasipolipiza basi huyo mwanamke atakuwa hapendwi kabisa na jamii hata ndugu zake.
Afu hapo jicho halijatokaDah wivu wakiseng...e kama umemuona mpnz wako pasua kichwa achanae kwa usalama hayo ndio mapungufu yake... Mtupe kamata mwingine
Mkileta upumbavu mtapigwa tu.Huyo mbwa bado hajawekwa nyuma ya nondo,Wanawake wenzangu ukiona Mpenzi wako anakupiga kofi jua iko siku atakuja kukuvunja meno endeleeni kuvumilia [emoji51]
Kwa sheria gani?Huyo kufungwa lazima haijalishi mwanamke kafanya kweli au laah, hana tofauti na muuaji,
Chukua nyundo nenda kamvunje meno mpenzi wako halafu chukua kisu mtoboe macho halafu useme kwa sheria gani, hatutaki kujua alikcheat hilo halijustify kumtoboa macho na kumngo'a meno huyo ni muuaji kama wauaji wengineKwa sheria gani?
Chukua nyundo nenda kamvunje meno mpenzi wako halafu chukua kisu mtoboe macho halafu useme kwa sheria gani, hatutaki kujua alikcheat hilo halijustify kumtoboa macho na kumngo'a meno huyo ni muuaji kama wauaji wengineKwa sheria gani?
Hapo labda afanye kutoroka inchi tu ndio salama yake. Umri huo kwenda jela atatoka babu. Na atakuta Dunia imeshapiga hatua sana mbele.