Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Yaweza kuwa aliigiza kupoteza fahamu.Kwa nini wakili amleweshe kijana hadi asijitambue kama wanajuana kuhusu huo mchezo?
Una uwezo mkubwa wa kupima maneno.Miaka 29 kwa 32 hakuna kesi hapo ni makubaliano. Hawa ni wapenzi. Ameigiza kuumia kisa kaka yake amejua
Ina walakini kwasababu aliyehusika ni BENSON, ingekuwa muhusika ni ABDALLAH wala usingeona uwalakinisema hii taarifa ina walakini sana.
Huyo hakimu alihamia hivi katibuni?
Kaka mtu akamkuta mdogo mtu akinywa pombe chumbani kwake na huyo hakimu ambaye hakimu huyo anamnunulia? sasa anamnunulia vipi hizo pombe chumbani?
Mbona hii stori inakosa flow
Wanasema kichwa cha chini kikisimama chajuu hakifanyi kazikumbuka yote haya ni makisio tu.
huyu hakimu awe kiazi kiasi gani kutopiga hesabu za vita atakayokumbana nayo baada ya tukio,yaani mtu anarudiwa na fahamu anagundua hana linda😱😱,anakuua.
kuhusu majadirio ya muda inawezekana chini ya kilevi walishindwa kukadiria wakati sahihi.
nampa pole sana huyu kijana boda boda kama sio mdau wa hayo mambo.
Hakimu hakumuingizia akilini alimuingiziia matakoniKwakweli maswali mengi sn haiingii alilini
Pole sana mawakili wasomi Pascal Mayalla Petro E. Mselewa kwa tasnia yenu kupakwa matopeHakimu wa Mahakama ya Mwanzo Loliondo,Benson Ngowi(32) anashikiliwa na jeshi la Polisi katika kituo cha Loliondo,Wasso kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Wasso wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha .
Hakimu huyo , ambaye pia ni wakili unaweza kumuona kwenye mfumo wa mawakili, ameacha uwakili hivi miaka ya karibuni na kuwa hakimu.
Kwa mujibu wa chanzo cha Habari wilayani humo,tukio hilo limetokea jana majira ya saa tatu na saa nne usiku nyumbani kwa kijana huyo ambaye hufanyakazi ya kuendesha pikipiki maarufu bodaboda katika eneo la Wasso.
Mtoa taarifa alifafanua kwamba Hakimu huyo ambaye hivi karibuni alihamia kikazi,alionekana majira ya mchana akiwa na kijana huyo na baadaye jioni walienda kunywa pombe nyumbani kwa kijana hiyo ambaye ànaishi chumba kimoja na sebule
Alisema ilipofika majira ya usiku kaka yake na kijana aliyelawitiwa (jina linahifadhiwa) alifika katika nyumbani kwa mdogo wake na kumkuta mdogo wake wakiwa na hakimu wakiendelea kunywa pombe aina ya Safari huku hakimu ndiye aliyekuwa akimnunulia kijana hiyo.
Taarifa inasema kwamba majira ya saa tatu usiku Hakimu alimtuma kaka yake na huyo kijana kwenda kuchukua chakula na wakati aliporejea alikuta mlango umefungwa na kuamua kugonga
"Baada ya kugonga Hakimu alienda kufungua mlango lakini chaajabu alionekama sehemu zake za siri zikiwa Imesimama ndipo kaka yake aliposhtuka na kuamua kuingia chumbani kwa mdogo wake kujua kulikoni na kumkuta akiwa amelala kitandani kifudifudi akiwa utupu hajitambui"alisema mtoa taarifa.
Alisema baada ya tukio hilo aliamua kutoa taarifa kwa watu mbalimbali ndipo hakimu wenzake na mtuhumiw walifika Eneo la tukio na baadaye polisi walikuja na kumkuta kijana hajitambui kitandani na baada ya kumwamsha na kuzinduka alihisi maumivu sehemu zake za haja kubwa ndipo askari hao walipomtia nguvuni mtuhumiwa .
Kijana huyo alipelekwa katika hospitali ya Wasso kwa matibabu na taarifa za daktari zimethibitisha kuwepo na michubuko sehemu za haja kubwa pamoja na mbegu za kiume.
Taarifa zinadai kwamba hakimu hiyo alikuwa na mazoea na kijana hiyo kutokana na kumtuma mara kwa mara ikiwemo kumsafirisha kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kutumia pikipiki yake .
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Justin Masejo alipotafutwa alisema bado hajapata taarifa ila anafuatilia tukio hilo na atatoa taarifa.
TLS na Judiciary ibadili namna inachukua wanafunzi wa Sheria, sasa kama hakimu ndio anakula tigo, hak i wapi?Pole sana mawakili wasomi Pascal Mayalla Petro E. Mselewa kwa tasnia yenu kupakwa matope
Shida ni uadilifu, uaminifu, kumcha Mungu kwa dhati. Kujua kusudi la Mungu kwa wanaume, wanawake, viumbe vyake vyote duniani.Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Loliondo,Benson Ngowi(32) anashikiliwa na jeshi la Polisi katika kituo cha Loliondo,Wasso kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Wasso wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha .
Hakimu huyo , ambaye pia ni wakili unaweza kumuona kwenye mfumo wa mawakili, ameacha uwakili hivi miaka ya karibuni na kuwa hakimu.
Kwa mujibu wa chanzo cha Habari wilayani humo,tukio hilo limetokea jana majira ya saa tatu na saa nne usiku nyumbani kwa kijana huyo ambaye hufanyakazi ya kuendesha pikipiki maarufu bodaboda katika eneo la Wasso.
Mtoa taarifa alifafanua kwamba Hakimu huyo ambaye hivi karibuni alihamia kikazi,alionekana majira ya mchana akiwa na kijana huyo na baadaye jioni walienda kunywa pombe nyumbani kwa kijana hiyo ambaye ànaishi chumba kimoja na sebule
Alisema ilipofika majira ya usiku kaka yake na kijana aliyelawitiwa (jina linahifadhiwa) alifika katika nyumbani kwa mdogo wake na kumkuta mdogo wake wakiwa na hakimu wakiendelea kunywa pombe aina ya Safari huku hakimu ndiye aliyekuwa akimnunulia kijana hiyo.
Taarifa inasema kwamba majira ya saa tatu usiku Hakimu alimtuma kaka yake na huyo kijana kwenda kuchukua chakula na wakati aliporejea alikuta mlango umefungwa na kuamua kugonga
"Baada ya kugonga Hakimu alienda kufungua mlango lakini chaajabu alionekama sehemu zake za siri zikiwa Imesimama ndipo kaka yake aliposhtuka na kuamua kuingia chumbani kwa mdogo wake kujua kulikoni na kumkuta akiwa amelala kitandani kifudifudi akiwa utupu hajitambui"alisema mtoa taarifa.
Alisema baada ya tukio hilo aliamua kutoa taarifa kwa watu mbalimbali ndipo hakimu wenzake na mtuhumiw walifika Eneo la tukio na baadaye polisi walikuja na kumkuta kijana hajitambui kitandani na baada ya kumwamsha na kuzinduka alihisi maumivu sehemu zake za haja kubwa ndipo askari hao walipomtia nguvuni mtuhumiwa .
Kijana huyo alipelekwa katika hospitali ya Wasso kwa matibabu na taarifa za daktari zimethibitisha kuwepo na michubuko sehemu za haja kubwa pamoja na mbegu za kiume.
Taarifa zinadai kwamba hakimu hiyo alikuwa na mazoea na kijana hiyo kutokana na kumtuma mara kwa mara ikiwemo kumsafirisha kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kutumia pikipiki yake .
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Justin Masejo alipotafutwa alisema bado hajapata taarifa ila anafuatilia tukio hilo na atatoa taarifa.
Safari 5 kubwa TU zinatosha kukuangusha km sio Mlevi konkodiMmmh
Kwamba alikuywa mpk akazima?
Au alimwekea kitu?
Na km aliofanya hivyo,how come amfungulie kaka mtu kirahisi tu,hakuogopa?
Nina maswali mengi , sielewi 🤷
Juzi jamaa kaleta Uzi humu wa wanaume kulala kitanda kimoja kapondwa weeeHuwa na jiulizaga inakuwaje mpka unaanza kutamani inye ya mwanaume mwenzako
Endeleeni hivyo hivyo ya kisema huenda....huku watu wakizidi kufilw na kflnWenda hakimu anachafuliwa tu ,lbda Kuna kesi amegoma kupokea rushwa Sasa wanamuwekeaaa mitego ya namna hyo
Miak 29 uulawitiwe
Wapenzi haoHakimu alikua anamla huyo siri imevuja tu.
Ndio kashafirwa lakiniHapo hamna kesi hapo watu wamekutwa kwenye 18 zao tu
Kupenda kulala ghetto moja wanaume kumbe mwenzio anakulia timing akuvunjie mayai unaamka asubuhi unajigusa nyuma unakuta maulenda ulenda unafanyaje?Wapenzi hao
Ova