Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Kwa nini wakili amleweshe kijana hadi asijitambue kama wanajuana kuhusu huo mchezo?
Yaweza kuwa aliigiza kupoteza fahamu.
Mtu akichanganyiwa pombe na madawa ya kulevya hupoteza net work muda mrefu sana, kwa muda mfupi huo asingeamka.

Nakumbuka kulikuwa na jamaa moja punga, lilikuwa linakunywa pombe linaigiza kupoteza fahamu ili wahuni walishughulikie.

Na kweli mtego ulikuwa ukinasa vuzuri tyuu.

Nina mashaka sana na utimamu wa ulijari wa huyo boda boda.
 
sema hii taarifa ina walakini sana.

Huyo hakimu alihamia hivi katibuni?

Kaka mtu akamkuta mdogo mtu akinywa pombe chumbani kwake na huyo hakimu ambaye hakimu huyo anamnunulia? sasa anamnunulia vipi hizo pombe chumbani?

Mbona hii stori inakosa flow
Ina walakini kwasababu aliyehusika ni BENSON, ingekuwa muhusika ni ABDALLAH wala usingeona uwalakini
 
kumbuka yote haya ni makisio tu.
huyu hakimu awe kiazi kiasi gani kutopiga hesabu za vita atakayokumbana nayo baada ya tukio,yaani mtu anarudiwa na fahamu anagundua hana linda😱😱,anakuua.

kuhusu majadirio ya muda inawezekana chini ya kilevi walishindwa kukadiria wakati sahihi.

nampa pole sana huyu kijana boda boda kama sio mdau wa hayo mambo.
Wanasema kichwa cha chini kikisimama chajuu hakifanyi kazi
 
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Loliondo,Benson Ngowi(32) anashikiliwa na jeshi la Polisi katika kituo cha Loliondo,Wasso kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Wasso wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha .
Hakimu huyo , ambaye pia ni wakili unaweza kumuona kwenye mfumo wa mawakili, ameacha uwakili hivi miaka ya karibuni na kuwa hakimu.

Kwa mujibu wa chanzo cha Habari wilayani humo,tukio hilo limetokea jana majira ya saa tatu na saa nne usiku nyumbani kwa kijana huyo ambaye hufanyakazi ya kuendesha pikipiki maarufu bodaboda katika eneo la Wasso.

Mtoa taarifa alifafanua kwamba Hakimu huyo ambaye hivi karibuni alihamia kikazi,alionekana majira ya mchana akiwa na kijana huyo na baadaye jioni walienda kunywa pombe nyumbani kwa kijana hiyo ambaye ànaishi chumba kimoja na sebule

Alisema ilipofika majira ya usiku kaka yake na kijana aliyelawitiwa (jina linahifadhiwa) alifika katika nyumbani kwa mdogo wake na kumkuta mdogo wake wakiwa na hakimu wakiendelea kunywa pombe aina ya Safari huku hakimu ndiye aliyekuwa akimnunulia kijana hiyo.

Taarifa inasema kwamba majira ya saa tatu usiku Hakimu alimtuma kaka yake na huyo kijana kwenda kuchukua chakula na wakati aliporejea alikuta mlango umefungwa na kuamua kugonga

"Baada ya kugonga Hakimu alienda kufungua mlango lakini chaajabu alionekama sehemu zake za siri zikiwa Imesimama ndipo kaka yake aliposhtuka na kuamua kuingia chumbani kwa mdogo wake kujua kulikoni na kumkuta akiwa amelala kitandani kifudifudi akiwa utupu hajitambui"alisema mtoa taarifa.

Alisema baada ya tukio hilo aliamua kutoa taarifa kwa watu mbalimbali ndipo hakimu wenzake na mtuhumiw walifika Eneo la tukio na baadaye polisi walikuja na kumkuta kijana hajitambui kitandani na baada ya kumwamsha na kuzinduka alihisi maumivu sehemu zake za haja kubwa ndipo askari hao walipomtia nguvuni mtuhumiwa .

Kijana huyo alipelekwa katika hospitali ya Wasso kwa matibabu na taarifa za daktari zimethibitisha kuwepo na michubuko sehemu za haja kubwa pamoja na mbegu za kiume.

Taarifa zinadai kwamba hakimu hiyo alikuwa na mazoea na kijana hiyo kutokana na kumtuma mara kwa mara ikiwemo kumsafirisha kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kutumia pikipiki yake .
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Justin Masejo alipotafutwa alisema bado hajapata taarifa ila anafuatilia tukio hilo na atatoa taarifa.
Pole sana mawakili wasomi Pascal Mayalla Petro E. Mselewa kwa tasnia yenu kupakwa matope
 
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Loliondo,Benson Ngowi(32) anashikiliwa na jeshi la Polisi katika kituo cha Loliondo,Wasso kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Wasso wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha .
Hakimu huyo , ambaye pia ni wakili unaweza kumuona kwenye mfumo wa mawakili, ameacha uwakili hivi miaka ya karibuni na kuwa hakimu.

Kwa mujibu wa chanzo cha Habari wilayani humo,tukio hilo limetokea jana majira ya saa tatu na saa nne usiku nyumbani kwa kijana huyo ambaye hufanyakazi ya kuendesha pikipiki maarufu bodaboda katika eneo la Wasso.

Mtoa taarifa alifafanua kwamba Hakimu huyo ambaye hivi karibuni alihamia kikazi,alionekana majira ya mchana akiwa na kijana huyo na baadaye jioni walienda kunywa pombe nyumbani kwa kijana hiyo ambaye ànaishi chumba kimoja na sebule

Alisema ilipofika majira ya usiku kaka yake na kijana aliyelawitiwa (jina linahifadhiwa) alifika katika nyumbani kwa mdogo wake na kumkuta mdogo wake wakiwa na hakimu wakiendelea kunywa pombe aina ya Safari huku hakimu ndiye aliyekuwa akimnunulia kijana hiyo.

Taarifa inasema kwamba majira ya saa tatu usiku Hakimu alimtuma kaka yake na huyo kijana kwenda kuchukua chakula na wakati aliporejea alikuta mlango umefungwa na kuamua kugonga

"Baada ya kugonga Hakimu alienda kufungua mlango lakini chaajabu alionekama sehemu zake za siri zikiwa Imesimama ndipo kaka yake aliposhtuka na kuamua kuingia chumbani kwa mdogo wake kujua kulikoni na kumkuta akiwa amelala kitandani kifudifudi akiwa utupu hajitambui"alisema mtoa taarifa.

Alisema baada ya tukio hilo aliamua kutoa taarifa kwa watu mbalimbali ndipo hakimu wenzake na mtuhumiw walifika Eneo la tukio na baadaye polisi walikuja na kumkuta kijana hajitambui kitandani na baada ya kumwamsha na kuzinduka alihisi maumivu sehemu zake za haja kubwa ndipo askari hao walipomtia nguvuni mtuhumiwa .

Kijana huyo alipelekwa katika hospitali ya Wasso kwa matibabu na taarifa za daktari zimethibitisha kuwepo na michubuko sehemu za haja kubwa pamoja na mbegu za kiume.

Taarifa zinadai kwamba hakimu hiyo alikuwa na mazoea na kijana hiyo kutokana na kumtuma mara kwa mara ikiwemo kumsafirisha kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kutumia pikipiki yake .
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Justin Masejo alipotafutwa alisema bado hajapata taarifa ila anafuatilia tukio hilo na atatoa taarifa.
Shida ni uadilifu, uaminifu, kumcha Mungu kwa dhati. Kujua kusudi la Mungu kwa wanaume, wanawake, viumbe vyake vyote duniani.

Video, mitandao, webisites inabidi zithibitiwe na serikali vyote vinayohamasisha ulawiti, gay, ufirauni, ubakaji vizuiwe, visionekane.
 
Mmmh
Kwamba alikuywa mpk akazima?
Au alimwekea kitu?
Na km aliofanya hivyo,how come amfungulie kaka mtu kirahisi tu,hakuogopa?
Nina maswali mengi , sielewi 🤷
Safari 5 kubwa TU zinatosha kukuangusha km sio Mlevi konkodi
 
Huwa na jiulizaga inakuwaje mpka unaanza kutamani inye ya mwanaume mwenzako
Juzi jamaa kaleta Uzi humu wa wanaume kulala kitanda kimoja kapondwa weee

Haya Jibu hilo hapo ukilewa mwenzio anakuingizia mkia
 
Wenda hakimu anachafuliwa tu ,lbda Kuna kesi amegoma kupokea rushwa Sasa wanamuwekeaaa mitego ya namna hyo

Miak 29 uulawitiwe
Endeleeni hivyo hivyo ya kisema huenda....huku watu wakizidi kufilw na kfln

Ova
 
Back
Top Bottom