Jiji la Mbeya naona mpk mkuu wa mkoa alienda kuzindua ghorofa ya Kwanza lenye lift mkuu.
Hili jina la Geneva of Africa tulipewa kufarijiwa tu nadhani.
Dar nayo ni jiji letu lkn BBC waliliita ni Kijiji kikubwa cha wavuvi.
Majiji yetu ni changamoto kiaina.
We fanya yako uridi kwenu kila mji una kitu kinachoweka identity yake. Nenda Johannesburg utakuta Wana hiace dungu zile new model hakuna mabasi unayotaka sijui coaster kwani unaenda mkoani?
Halafu route ni fupi pia abiria sio wa kivile unajua mji una baridi watu wengi wanatembea tu kwa coaster utapata hasara.
Kuhusu hiace hata Lagos na Harare pia ndio usafiri wa town.
Hizo hiace hapo Arusha zimekuwa pimped balaa mbona husemi? Zina muziki na tairi inapigwa rim sport kali. Hiyo ndio chuga mazee acha usoro jomba.
Nimekaa chuga kwa zaidi ya miaka mitatu na nimejifunza tu kuwa kwa sasa chuga haiwezi kuhama kutoka matumizi ya vfod na kuanza kutumia costa kutokana na sababu mbalimbali kama vile
Mji umejifunga sana sehemu moja na ndio unatanuka
Mfano mtu anaweza akatembea kuanzia mwanzo wa ruti mpaka mwisho wake kwa dk 25 tu...... Chukulia ruti hiziii...Soko kuu mpaka moshono chekereni, soko kuu mpaka sokomjinga nafikir pia panaitwa engo sengeu au ruti ya soko kuu mpaka kijenge juu... Yani ruti ndefu ni zile za kutoka nje ya mji kabisa kama soko kuu kwenda usa river,,,kiufupi bado sana kutumia costa
, watu sio wengi sana maana hata hvo vfod mpaka vijaze vinaitia sana abiria kwa muda mtefu so ukiweka costa biashara itakua ngumu sana.
Pia watu wengi chuga wana usafiri binafsi na wengi wana ndinga za maana
Kuna mdau juu kaponda et kuitwa Geneva ni kujidanganya... Friend lile jiji ni location tamu sana ya utulivu na n la kuponda mali sanaaaa
Vihiace vinaboa
Mtu unajikunjia kwenye gari kama unalima [emoji57][emoji57]
Hali ya barabara kwa baadhi ya maeneo sio nzuri. Let's be honest. Let's say route ya stendi kuu to ilboru via mianzini like juu ni kubovu Hadi ilkiding'a ulisema unapeleka gari laini ujue imekula kwako
Well, turudi kwenye mada tu. Uwepo wa aina ya magari inategemea na aina ya wafanyabiashara maana sio za serikali. Hata wakiwalazimisha sanasana utaishia mgomo ambao utaathiri usafiri kiujumla.
Wenye uwezo wa kuleta coaster waweke then may be with time hiace zitaondoka zenyewe tu kama ilivyokuwa Dar hiace ziliisha zenyewe
Mbeya bàjaji kama Mumbai
Mimi wakati naishi huko nilikuwa naonaga ni poa tu ila nilivyotoka nakenda Mbeya na Mwanza nikagundua Arusha ni jiji ambalo linatabia za kimanispaa ni kama hawakuwa tayari kuwa jiji. Kwa kweli Mwanza ni jiji bora sana.
Arusha mji mdogo, sawa hiace ni uchafu lakini wakiweka Coaster kuna gari zitalala hazijapata kitu, Arusha mtu anaweza tembea toka Kimandolu mpka town na jasho hatoki hasa wakati huu wa baridi, from Sakina to town hivyo hivyo, hizo Coaster zitatoa wapi abiria?
Route za Coaster Arusha ni zile za town to Usa, Katiti, Tengeru, kule mbele ya Sakina nimepasahau jina kwa wamasai, na kule kwingine uwanja wa ndege mbele napo nimepasahau jina, labda na njiro kidogo, kwingine kote nilikuwa natoboa kwa mguu enzi zangu.
Wacha hiace ziendelee kuwepo kutokana na jiografia ya eneo na wingi wa abiria, muhimu ziwe zile ndefu, hata kusimama abiria asipate shida, na akikaa asikunje magoti mpaka yaume.
mibangi siyo mbogaNaona chuchuba umeshapaniki.
Haha mkuu inaonekana ubwezini Malawi unakujua vizuriPigeni Coster Mayai zisanye abiria. Arusha hamstahili vigari vya Malawi, Malawi ndo muwaachie hivyo vigari vya watoto wa vidudu...Malawi wanatumia vi-Nissan Vanette na ninyi chuga mnawaiga hawa.
Route ndefu coaster itoke ngaramton,sakina,mianzin,mount meru,sanawari,mnazareti, tengeru mpka kikatiti....Arusha mji mdogo, sawa hiace ni uchafu lakini wakiweka Coaster kuna gari zitalala hazijapata kitu, Arusha mtu anaweza tembea toka Kimandolu mpka town na jasho hatoki hasa wakati huu wa baridi, from Sakina to town hivyo hivyo, hizo Coaster zitatoa wapi abiria?
Route za Coaster Arusha ni zile za town to Usa, Katiti, Tengeru, kule mbele ya Sakina nimepasahau jina kwa wamasai, na kule kwingine uwanja wa ndege mbele napo nimepasahau jina, labda na njiro kidogo, kwingine kote nilikuwa natoboa kwa mguu enzi zangu.
Wacha hiace ziendelee kuwepo kutokana na jiografia ya eneo na wingi wa abiria, muhimu ziwe zile ndefu, hata kusimama abiria asipate shida, na akikaa asikunje magoti mpaka yaume.
Za njiro sawa Ila hii njia ya sakina ,maziwa,kwa idd,njia ya ng'ombe mpka ngara mtoni nyingi Ni hizi panki..!Hiace za njiro je? Sakina hujaona? Superroof hizo.
#singapore[emoji630][emoji630]
Dah hadi kero,barabara zenyewe mbovu balaa,hawa wa bajaji inatakiwa watengenezewe njia yao ya kupita kwenye barabara kuu kama ilivyo Makambako.Mbeya bàjaji kama Mumbai
Sawa kitobo.mibangi siyo mboga
Unafananishaje Dar na Arusha? Dar kwa hili joto hata kituo kwa kituo unapanda basi sio Arusha aisee. Pia Arusha basi zinaisha saa tatu Ila Dar usiku mzima Kuna mishe. Dar haifanani kabisa na chuga hata population yake ni kubwa.Inashindwaje kulipa?
Dar kuna route fupi sana, mfano Makumbusho - Posta, pale ni kama km 5 au 6 ila kuna coaster tupu na zinajaza. Hapo hujaweka uber, bolt, bajaj n.k.
Coaster 1 sawa na viford 2. Kwahiyo kama route 1 ina voford 100, coaster 50 zinatosha.
Watu wana haki ya kusafiri kwenye vyombo visafi na kwa starehe, sio kujibana kama wapo gym.