Miaka 50 mwanaume kuzalisha siyo issue . Ingekuwa ni mwanamke mjadala ungekuwepo kwamba aliwezaje kushika mimba katika umri huo!Miaka 50 bado unazaa, stress lazima zikuue tu.
Anyway, pole kwa wafiwa.
Kuna dalili za kupindisha ukweli mahali.
Poleni wafiwaAlifafanua kuwa siku moja kabla ya tukio hilo mumewe alikuwa akilalamika kuumwa na tumbo na alienda kutibiwa hospitali na kugundulika kusumbuliwa na Amueba ,Jambo ambalo mkewe alikanusha kuwa chanzo Cha mumewe kujinyonga.
kumbe ni kila mtu wlanaweza kuitwa mwendazake nilijua ni utambilisho maalumR.I.P Mwendazake
#wenyemapovutunzenisioJPMni huyo dereva
Maelelezo yapo kwenye qoute hapo chiniTuelekeze tuje kwako ni wapi vile,mizigo imezidi
Binadamu wanapitia mengi. Tena kimya kimya.Depression is real
Sana sana sana! Watu wanapitia na wengine wanapitishwa kwenye magumu mnooBinadamu wanapitia mengi. Tena kimya kimya.
NakaziaHuo ujumbe mzito uko wapi?
Hawa wanawake wanaweza kukuua ili tu wapate rambirambi na mirathiMwenyewe nimeshtuka. Mtu kafiwa na mumewe anaongea kama chiriku.
Sio kweli, hajajinyonga, chunguza penshemi ya kustaafu ni kiasi gani, na amebakisha siku ngapi kustaafu udereva, na beneficiary next in line ni nani?At the age of 50 anajinyonga, siku hizi kujinyonga imekua jambo la kawaida sana
Halafu ana mtoto wa mwezi mmoja maskini
Ndio nikasema taarifa haieleweki, vurugu tupu, alafajiri mpangaji alikuwa kaenda wapi asubuhi yote, na funguo huwa anamwachia nani?Hicho chumba Cha mpangaji Kuna uwalakini!
1. Huyo mpangaji ni jinsia Gani?
2. Huyo mpangaji hafanani na hicho kichanga Cha Mzee?
3. Huyo mpangaji alikuwa wapi?
4. Huyo Mpangaji yupo wapi sasa?
Sure.Kuanza kutrace sababu za kujinyonga kwa kuangalia tukio la siku moja au mbili kabla lazima utaishia kupata sababu ya uongo.Hii ni accumulation ya mambo tena ya muda mrefuKunakuaga na gradual decision making kuelekea kuamua kujiua.
A person never wakes up na kuamua leo najiondoa duniani.
Ndio hapo sasa, kama ameamua kuandika ujumbe ili waliobaki wasifungwe (mke) means angesema sababu angalau, ila kwa stule hii ni lazima mke awekwe ndani kwanzaHaya maelezo hayaendani na tukio halisi! Mtu ajinyonge na kuacha ujumbe bila sababu. Kuna namna hapo