Arusha: Mzee Iddi Maganga abomoa nyumba zake mbili(200M) baada ya wanawe kuacha kufanya kazi na kusubiri urithi

Tena huyo kijana ashukuru sana mwingine angemshitaki kwa kosa la attempt to killing intentionally!
 
Mnasemaga story ina pande mbili mbona haraka mnakuwa majaji ilihali hamna uelewa na story ya upande wa pili?
 
Dawa ni kuwapiga chini hata urithi wa kandambili wasipate
 
Mzee wangu wa karibu sana. Huo ushauri nlimpa mimi. Ili watoto wake wawe na akili. Na ilitokea sababu mtoto wake mmoja alianza kumtongoza demu wangu akimwahidi kuwa atampa pesa akipata urithi wake. Nikamwambia mzee hawa watoto wako watakuja kukuua sababu ya nyumba ,zichome moto. Akafikiria akasema nmeshauri vizuri akaenda choma moto
 
Hapo ni mshikemshike wa Rashia na Ukraine ni kutiana hasara tu!
 
Kaskazini hakunaga ujinga wa kusubiri urithi
Thubutu. Mbona migogoro ya mirathi huko Kaskazini ndio inaongoza ? Watoto wa Mrema, Wa Mengi na Erato Msuya ? Usijitekenye. Huko ndio vinara wa kumendea urithi. Kawadanganye wanywa mbege wenzio
 
Hao watoto wa Mrema na wa Mengi wanaogombania mirathi in Wanyamwezi ?
 
Daah haya maisha ya wahuni kusubiri urithi imekomaa sana hata majibu ya vijana humu pakiwa na fursa yeyote unaona kabisa hawa wanasubiri mali ya kugawiwa...
 
Mzee chai sana, nmemskiliza vizuri mwanae, mdogo wake na majirani nmegundua Mzee ni hamnazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…