Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayoipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa.

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wanaamini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walioteuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana.

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
 
ELIMU ELIMU ELIMU!
... huwezi kuwapelekea ujingaujinga wasomi wa kikwelikweli!
😅
1624085297130.png
 
sorry kwanza hai ni wilaya , Arusha ni mkoa. ila ndani ya arusha kuna wilaya ya arusha mjini. ungekuwa specific kidogo.

kwanza hiyo mikoa ni ya watu wanao jitambua. ukiwa kiongozi ndani ya hiyo mikoa lazima uwe makini na mienendo yako.
Fanya kama kiongozi lakin kamwe usije vuka mipaka kujarib kuwaonea au kuwavuruga. huwa wana tabia ya kulipiza
 
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na wa'angaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya watanzania wengine?

Hawa watu wanajiytambua na ndio maana " ni Spesho" huwezi sikia Profesa m'chaga anasema kaokotwa jalalani, upumbavu mtupu.

askofu Shoo alimwambia Bashite aache kujifutua kama kifutu, where is Bashite? shoo alikuwa anampinga dikteta mwendazake wazi wazi wakati wengine wa mikoa mingine wakisema Mungu amemshusha "Dikteta uchwara" kututoa misri kwenda Israel Nchi ya ahadi.
 
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya watanzania wengine?

Hawa watu wanajiytambua na ndio maana " ni Spesho" huwezi sikia Profesa mchaga anasema kaokotwa jalalani, upumbav mtupu.

askofu shoo alimwambia Bashite aache kujifutua kama kifutu, where is Bashite? shooalikuwa anampinga dikteta wazi wazi wakati wengine wa mikoa mingine wakisema Mungu amemshusha Dikteta kututoa misri kwenda Israel Nchi ya ahadi.
Ni kwamba, hawa kinachowasumbua ni ukabila, hawataki mtu wa kabila lingine awe kiongozi kwao

wanasahau kwamba wao wanamajimbo ambayo wanayaongoza yasiyo ya kwao, Ni wabinafsi sana lakini cha wengine wanakitaka

Wakiendelea, Ni kuwakomesha tu, Kuwakataa kila jimbo wanaloomba kuwa wabunge, Walimtimua, Mkuu wa mkoa Mlongo, walikuwa wakijiapiza kabisa kuwa watamfanyia kitu mbaya, kisa sio mchaga, huyu tena Lengai, kisa siyo mchaga, kuna huyu tena mkuu wa wilaya Arusha tayari washaanza kumfolea

Ninamashaka na mkuu wa mkoa huyu mpya kama atakaa kwa amani, ni eidha afanye wanavyotaka wao, lakini akitaka aongoze kwa mjibu wa utaratibu, sidhani

Wanaongozwa na ukabila na u King'ang'anizi na ubishi wa Umangi meza!!
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha nikama watu haya maeneo ni watu parfect sana.. kwa hiyo kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuimini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kwenye mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana.....bado nimekuwa nikijiuliza why si mikoa mingine? kwanini viongozo wa hii mikoa lazima wakutane na vizingiti sana hasa wakiwa wanatoka katika milengo isiyo ambatana na mikoa husika?

Kwanini wananchi hasa vikundi vya hii mikoa vina amini ndio watanzania pekee wanaotakiwa kupewa kipaumbele?

Kwenye hii mikaoa kama kiongozi mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha viongozi kila leo...............

Wasalaaam
Mmmh, wenzio ni special, CHADEMA. Kumbuka Mrema from nowhere akawa mgombea enzi za TLP vyama vingi mwanzoni kabisa ilibidi Nyerere atoke mapumzikoni amnadi Mkapa? Bado akachukua viti vyote Mkoa huo tukajiuliza kulikoni?

Usisahau pia wana Airport 3 za kimataifa, within 45 kilometres of each other, lakini Chato kilometa 400 from anywhere wanasema ukabila? Pia Unajua wana Vyuo Vikuu 5, lakini ukijenga VETA moja tu kwa Kassim Majaliwa wanasema ukabila? Ni wabinafsi mno ona hata vitimaalum.

Mind you, to be very fair, Wachagga wa kawaida ni Watanzania wazuri tu; shida ni ruling elites kina Mbowe. Ya Lowassa hatujayasahau (aliitwa na Maaskofu wa KkKT, yeye na Sumaye), wengi weshawajulia, wakajiona ni ujinga hata Lowassa mwenyewe. Sasa wameabza kumtishia Samia.
 
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya watanzania wengine?

Hawa watu wanajiytambua na ndio maana " ni Spesho" huwezi sikia Profesa mchaga anasema kaokotwa jalalani, upumbav mtupu.

askofu shoo alimwambia Bashite aache kujifutua kama kifutu, where is Bashite? shooalikuwa anampinga dikteta wazi wazi wakati wengine wa mikoa mingine wakisema Mungu amemshusha Dikteta kututoa misri kwenda Israel Nchi ya ahadi.
Ogopa Sana mtu anaejitambua huwez kumburuza hata siku moja

Kwa sababu anajua haki zake

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Akili Mingi so watawala wajinga hawawakubali mambo kama hayo nafanyie Songea huko ambako kwao cccm wanaona kama mungu
kwa hiyo wananchi wa mikoa mingine hawana akili? hahaha
 
Back
Top Bottom