Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Kama una akili timamu,emu weka bandiko LA kudai katiba mpya.Nijue dhamira yako.maana sijakuelewa.
 
mm nafikili sehem zenye baridi uwezo wa akili unakua juu kuliko sehem zenye joto.
ukianangalia kwa makini utaona watu wanaioshi maeneo kama arusha,kilimanjaro,mbeya,iringa .
akili zao tofauti kabisa na msitari wenye joto hasa wa katikati ya tanzania.
😀😀😅😅
 
Chasaka umepaniki! Kwani uongo? Kabila zingine Tena zile ambazo atleast zimeadvance km Nyakyusa,Haya bado wakifika uchagani wanakiri mchaga amesonga mbele! Kubali tu wala huugui!
Muendelezo ....wa ujinga. Siwezi panic kwa mchumba kama wewe never, nimeona we ndio ushapanic kwa kuanza na chasaka ni panic tosha.
 
Acha ujinga we , lifestyle ya uchagani ni sawa na kule kwenu porini na nyumba za tembe?

Hujatembea uchagani kidogo ni tofauti huwezi fananisha na singida,Namanyere,mahuta shimoni.

Hata Wahaya,Wanyakyusa wakifika uchagani wanakubali wamezidiwa.

Ukweli utabaki kuwa ukweli.Kama kwenu hakuna Maendeleo huwezi kuyaona au kuyajua maendeleo kwa sababu mentality yako ni ya umaskini.
We umekariri tu hakuna maendeleo ya maana huko.
 
Pole Mkuu,kwan kwenu ni wapi tulinganishe.Ndiyo ubishi utaisha.Chasaka umepaniki hadi matusi 😂😂
Muendelezo ....wa ujinga. Siwezi panic kwa mchumba kama wewe never, nimeona we ndio ushapanic kwa kuanza na chasaka ni panic tosha.
 
Aaawapi!! ukabila na kijicho ndicho kinasumbua majimbo hayo

Mimi sio mtu wa kaskazini lakini ninaishi huko. Nimegundua kitu kimoja, watu wa huko wana mitazamo tofauti - wanataka kiongozi asiyepeleka siasa itakayoharibu uchumi wao. Bahati mbaya hila za viongozi wengi si zile zimeleta shughuli za kiuchumi!! Maeneo mengine ya nchi mengi huwaona viongozi kama sehemu yao ya maisha - kaskazini sio hivo!
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayoipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa.

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wanaamini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walioteuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana.

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Hawa ni mazezeta tu.
 
Tarakea ni eneo ulilofanikiwa kufika na si unatokea Tarakea.kwa ulivyoandika we si mchaga.saikolojia haidanganyi.Na haijawahi kudanganya.
 
Back
Top Bottom