Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Kwa ufahamu wangu ninaona hii mikoa tayari imeshajitambua wanajua mamluki, matapeli na wanafiki. Ukiona hivyo ujue wanaona wapo nyuma kimaendeleo wakati walikuwa waone wanasonga mbele.

Sio mikoa hiyo tuu naomba niongeze mingine ambao wanafanyaoazi. Mkoa wa Mara, kagera, Iringa, Mbeya, Mwanza n,k. Hawa wananchi ukifuatia ni watu ambao wanapenda kusonga mbele sio kurudi nyuma.

Kama serikali itakubali kodi zibaki katika kanda zao, maeneo yao wangejisimamia na baada ya miaka kumi Tanzania ingekuwa na hatua kubwa kimaendeleo na tungewapata wanaotumia Kodi za wananchi vibaya. Wangejitengenezea ajira na wangehimizana kufanyakazi. Happy zile sheria za Halmashauri zingefanya kazi kwa ufanisi zaidi.

Serikali itoe Uhuru wao kazi yao ni kuhakiki mapato yanayoingia kila mkoa na matumizi yake. Haya Mambo ya gawio na kujenga miradi ambayo haikamiliki ni kuwatesa wananchi.

Serikali itafute pesa kwa ajili ya miradi mikubwa.
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Siyo kweli kwamba kila kiongozi anayepangwa kilimanjaro na Arusha anaonekana mbaya

Wapo wengi walikuwa viongozi wazuri na mpaka wanaondoka waliacha alama na wanakumbukwa mpaka leo

Mfano Mkuu wa mKoa wa Kilimanjaro enzi hizo

Ammos Makala (sasa ni mkuu wa mkoa Dar)

Said Meck sadick,

Leonidas Gama,

Bila kusaha u mama Anna Mgwira mpaka anaondoka watu hawaamini....

nakumbuka tulipishana na mama Anna Mgwira akienda Marangu kwenye shughuli moja ya Serikali yaani alikuja na gari moja tu kakaa yeye na dereva wake tu hakukuwa na msafara wa magari wala nini mpaka watu wanashangaa....

Pia aliyekuwa RPC kwa muda mfupi Kamanda Issa (sasa nadhani yuko Morogoro) yaani huyu alikuwa hana makuu kabisa hana shida na mtu kabisa alikuwaga anatembea na mguu peke yake bila kuongozana na askari stendi na anazungukia vibanda na kusalimia watu mpaka kule wanakokatia tiketi ,kirungu chake kakibania kwapani yaani kiongozi au Kamanda kama huyu kwanini watu wasimpende?

Kamanda Hamduni vile vile

Mkuu wa wilaya ya Hai kpindi hicho
Antony Mtaka (sasa ni RC Dodoma) alipendwa na kuheahimiwa sana kuanzia viongozi wa Kiimani mpaka mwananchi mmoja mmoja

Wote hao walikaa na watu vizuri, hawakuwafunga wapinzani kwa makosa ya kubambika,

Walikuwa sio watu wa vituko mbwembwe na kuongea tu ili kujipatia umaarufu majukwaani,

Ukiweza kukaa na watu wa Moshi na Arusha vizuri yaani wanakupenda

Kibaya ni ukianza kujipendekeza ka kukamata watu hovyo,

Kutumia majukwaa kujitafutia umaarufu kwa kauli za vituko na Ucheshi usio na maaana....

Kudharau watu ,

Kila unapokwenda unaambatana na msafara wa magari ya polisi....

Kutaka watu wakuogope wewe kuliko Katiba...

Kutumia changamoto zilizopo kwenye maeneo ya watu kujipatia umaarufu wa kisiasa....

Kupenda kuonekana mbele ya Camera kwenye kila tukio hata ukialikwa kwenye sherehe ya Ubatizo

Kwa matendo kama haya Kilimanjaro au Arusha utadharaulika

Watu watakuwa wanakuogopa tu kwa sababu ya nafasi uliyo nayo ila hawakupendi...
 
Siyo kweli kwamba kila kiongozi anayepangwa kilimanjaro na Arusha anaonekana mbaya

Wapo wengi walikuwa viongozi wazuri na mpaka wanaondoka waliacha alama na wanakumbukwa mpaka leo

Mfano Mkuu wa mKoa wa Kilimanjaro enzi hizo

Ammos Makala (sasa ni mkuu wa mkoa Dar)

Said Meck sadick,

Leonidas Gama,

Bila kusaha u mama Anna Mgwira mpaka anaondoka watu hawaamini....

Mkuu wa wilaya ya Hai kpindi hicho
Antony Mtaka (sasa ni RC Dodoma)

Wote hao walikaa na watu vizuri, hawakuwafunga wapinzani kwa makosa ya kubambika,

Walikuwa sio watu wa vituko mbwembwe na kuongea tu ili kujipatia umaarufu majukwaani,

Ukiweza kukaa na watu wa Moshi na Arusha vizuri yaani wanakupenda

Kibaya ni ukianza kujipendekeza ka kukamata watu hovyo,

Kutumia majukwaa kujitafutia umaarufu kwa kauli za vituko na Ucheshi usio na maaana....

Kudharau watu ,

Kila unapokwenda unaambatana na msafara wa magari ya polisi....

Kutaka watu wakuogope wewe kuliko Katiba...

Kutumia changamoto zilizopo kwenye maeneo ya watu kujipatia umaarufu wa kisiasa....

Kupenda kuonekana mbele ya Camera kwenye kila tukio hata ukialikwa kwenye sherehe ya Ubatizo

Kwa matendo kama haya Kilimanjaro au Arusha utadharaulika

Watu watakuwa wanakuogopa tu kwa sababu ya nafasi uliyo nayo ila hawakupendi...
Na Usipopendwa na Watu hawa, Hupendwi na Tanzania nzima.
 
Pslmp umeshikilia sana hiyo point yako moja ya ukabila. Ukabila unahusianaje na uongozi wa mkoa? Hakuna mtu anayedai kuwa viongozi wa mikoa hiyo wawe wa makabila ya mikoa yenyewe. Watu wanataka viongozi watakaosimamia shughuli za maendeleo ipasavyo, regardless walikotokea. Kumbuka, sisi watu wa mikoa hiyo tunatambua kuwa viongozi wako pale kwa sababu tumewachagua. Ni kiongozi, siyo mtawala. Unamlipa mshahara wake akufaniye kazi ya kuongoza. Kama hilo hujalielewa wewe utaendelea kulalamikia ukabila huku viongozi wako wanakuminya na unazidi kubaki nyuma. Wake up!!
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
" Watu waliofilisika kiakili au kimawazo, hujihalalisha au huwakilisha hoja zao kwa kutumia Ukabila, Udini na hata Rangi ya ngozi ya mtu ( race)".
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Hao jamaa walipaswa wawe Kenya. Ndio kuna siasa zao za kishamba.
 
Ni kwamba, hawa kinachowasumbua ni ukabila, hawata mtu wa kabila lingine awe kiongozi kwao

wanasahau kwamba wao wanamajimbo ambayo wanayaongoza yasiyo ya kwao, Ni wabinafsi sana lakini cha wengine wanakitaka

Wakiendelea, Ni kuwakomesha tu, Kuwakataa kila jimbo wanaloomba kuwa wabunge, Walimtimua, Mkuu wa mkoa Mlongo, walikuwa wakijiapiza kabisa kuwa watamfanyia kitu mbaya, kisa sio mchaga, huyu tena Lengai, kisa siyo mchaga, kuna huyu tena mkuu wa wilaya Arusha tayari washaanza kumfolea

Ninamashaka na mkuu wa mkoa huyu mpya kama atakaa kwa amani, ni eidha afanye wanavyotaka wao, lakini akitaka aongoze kwa mjibu wa utaratibu, sidhani

Wanaongozwa na ukabila hawa watu,
Wewe unachuki na hayo makabila. Mbona yule mama aliekuwa mkuu wa Mkoa Moshi hakusembuliwa.

Tabia na chuki nazo zinachangia. Mfano wewe huwezi kuwaongoza.
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Na mimi nakuuliza ni kwanini, viongozi wengi wanaopangiwa mikoa ya mtwara na lindi na wilaya zake siku zote wanaonekana wazuri sana?tukipata jibu hili tutakuwa na pa kuanzia
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Kwasababu watu wa huku wameenda shule, wanamuingiliano mkubwa na wageni kutoka dunia nzima, wana exposure kubwa ya kutembea sehemu mbalimbali duniani, wamepakana na Kenya, nchi ambayo imeendelea kiuchumi na kisiasa katika Africa mashariki na kati. Hivyo watu wa huku usiwafananishe na watu wa kijijini kwenu.
 
Back
Top Bottom