Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Ukiwa na akili timamu lazima utawakataa viongozi wengi kwani utendaji wao ni mbovu.
 
Siyo kweli kwamba kila kiongozi anayepangwa kilimanjaro na Arusha anaonekana mbaya

Wapo wengi walikuwa viongozi wazuri na mpaka wanaondoka waliacha alama na wanakumbukwa mpaka leo

Mfano Mkuu wa mKoa wa Kilimanjaro enzi hizo

Ammos Makala (sasa ni mkuu wa mkoa Dar)

Said Meck sadick,

Leonidas Gama,

Bila kusaha u mama Anna Mgwira mpaka anaondoka watu hawaamini....

nakumbuka tulipishana na mama Anna Mgwira akienda Marangu kwenye shughuli moja ya Serikali yaani alikuja na gari moja tu kakaa yeye na dereva wake tu hakukuwa na msafara wa magari wala nini mpaka watu wanashangaa....

Pia aliyekuwa RPC kwa muda mfupi Kamanda Issa (sasa nadhani yuko Morogoro) yaani huyu alikuwa hana makuu kabisa hana shida na mtu kabisa alikuwaga anatembea na mguu peke yake bila kuongozana na askari stendi na anazungukia vibanda na kusalimia watu mpaka kule wanakokatia tiketi ,kirungu chake kakibania kwapani yaani kiongozi au Kamanda kama huyu kwanini watu wasimpende?

Kamanda Hamduni vile vile

Mkuu wa wilaya ya Hai kpindi hicho
Antony Mtaka (sasa ni RC Dodoma) alipendwa na kuheahimiwa sana kuanzia viongozi wa Kiimani mpaka mwananchi mmoja mmoja

Wote hao walikaa na watu vizuri, hawakuwafunga wapinzani kwa makosa ya kubambika,

Walikuwa sio watu wa vituko mbwembwe na kuongea tu ili kujipatia umaarufu majukwaani,

Ukiweza kukaa na watu wa Moshi na Arusha vizuri yaani wanakupenda

Kibaya ni ukianza kujipendekeza ka kukamata watu hovyo,

Kutumia majukwaa kujitafutia umaarufu kwa kauli za vituko na Ucheshi usio na maaana....

Kudharau watu ,

Kila unapokwenda unaambatana na msafara wa magari ya polisi....

Kutaka watu wakuogope wewe kuliko Katiba...

Kutumia changamoto zilizopo kwenye maeneo ya watu kujipatia umaarufu wa kisiasa....

Kupenda kuonekana mbele ya Camera kwenye kila tukio hata ukialikwa kwenye sherehe ya Ubatizo

Kwa matendo kama haya Kilimanjaro au Arusha utadharaulika

Watu watakuwa wanakuogopa tu kwa sababu ya nafasi uliyo nayo ila hawakupendi...
Upo sahihi sana mkuu. RPC Hamisi Issa yuko Njombe hivi sasa. Ilitangazwa anahamia Morogoro lakini akapelekwa Njombe.
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Kwanza inawezekana hujasoma historia ya Africa, dunia na Tanzania. Na kama ulisoma hukuelewa.
Awareness ya watu wa hiyo mikoa ipo juu kwa sababu ya historia co ya chadema ni ya tangu ukoloni.
Pakiwa na uelewa ni rahisi watu kujua mapungufu ya kiongozi na kupaza sauti! Hata mwendazake hakuwa maarufu miongoni mwa wanataaluma nje ya wale aliowateua!
SABAYA ANA AKILI NDOGO INAYOWAKILISHA VIJANA WA CCM( UVCCM)
 
Ni kwamba, hawa kinachowasumbua ni ukabila, hawata mtu wa kabila lingine awe kiongozi kwao

wanasahau kwamba wao wanamajimbo ambayo wanayaongoza yasiyo ya kwao, Ni wabinafsi sana lakini cha wengine wanakitaka

Wakiendelea, Ni kuwakomesha tu, Kuwakataa kila jimbo wanaloomba kuwa wabunge, Walimtimua, Mkuu wa mkoa Mlongo, walikuwa wakijiapiza kabisa kuwa watamfanyia kitu mbaya, kisa sio mchaga, huyu tena Lengai, kisa siyo mchaga, kuna huyu tena mkuu wa wilaya Arusha tayari washaanza kumfolea

Ninamashaka na mkuu wa mkoa huyu mpya kama atakaa kwa amani, ni eidha afanye wanavyotaka wao, lakini akitaka aongoze kwa mjibu wa utaratibu, sidhani

Wanaongozwa na ukabila hawa watu,
Ukabila ndio umesababisha jambazi Sabaya ashitakiwe?. MATAGA bwana........
 
Wao hujiona walizaliwa kutawala tu,tatizo Mungu si Yohana, na wakipata tu tu madaraka hawaachiagi hawa.Haya twende na mifano
Mbatia tangu awe mwenyekiti wa chama chake hajawahi toka.
Mrema tangu awe mwenyekiti hajawahi kuachia kiti pamoja na uzee.
Mbowe tangu awe mwenyekiti hajawahi kuachia wengine.

Halafu uwape urais wa nchi watatawala mpaka wafie Ikulu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Huu ndio msingi wa thread. Inaweza ikafungwa sasa. Hizi chuki za mwenda zake zitawaua kwa hakika.
Ni kwamba, hawa kinachowasumbua ni ukabila, hawata mtu wa kabila lingine awe kiongozi kwao

wanasahau kwamba wao wanamajimbo ambayo wanayaongoza yasiyo ya kwao, Ni wabinafsi sana lakini cha wengine wanakitaka

Wakiendelea, Ni kuwakomesha tu, Kuwakataa kila jimbo wanaloomba kuwa wabunge, Walimtimua, Mkuu wa mkoa Mlongo, walikuwa wakijiapiza kabisa kuwa watamfanyia kitu mbaya, kisa sio mchaga, huyu tena Lengai, kisa siyo mchaga, kuna huyu tena mkuu wa wilaya Arusha tayari washaanza kumfolea

Ninamashaka na mkuu wa mkoa huyu mpya kama atakaa kwa amani, ni eidha afanye wanavyotaka wao, lakini akitaka aongoze kwa mjibu wa utaratibu, sidhani

Wanaongozwa na ukabila hawa watu,
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Tafuta kauki aliyoitoa Bashiru kumkemea Makonda kuhusiana na Makinda alivyotoa kauki ya kijinga kwenye msiba wa Mzee Reginald Mengi.

Bashiru inawezekqna ana matatizo yake, lakini usomi sehemu nyingine unaonekana na haujifichi.

Kifupi Bashiru, kama Katibu Mkuu wa CCM, alikiri kwamba kuna tatizo katika kuandaa viongozi vijana. Alitumia "vijana" kukisitiri chama tu kwamba hili ni tatizo la karibuni kwa viongozi vijana, lakini mimi naona kuna tatizo la kuandaa viongozi kiujumla. Ndiyo maana tumepata rais anayewaambia wananchi wabaki na mavi yao nyumbani wasichafue vyoo vya serikali.

Ile kauli ya Bashiru ni kauli iliyotakiwa kujadiliwa zaidi, kwa sababu ilikuwa na uwazi fulani ambao si wa kawaida katoka kuelezeq matatizo ya msingi kuhusu CCM kukosa mfumo wa kuandaa viongozi.

Na ukiona kama mimi nawasemq sana CCM, hili ni tatizo la kitaifa. Si la CCM tu. Hata katuka familia vijana wanalelewa vibaya, hakuna heshima, sehemu nyingine wakubwa hawatoi mifano mizuri, hakuna kujali maendeleo ya oamoja ya jamii, kila mtu kivyake.

Angalia video hapa. Kaanza kuongelea uongozi at 5:20

 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Ndiyo faida ya kuelimika, ulitaka jambazi kama Sabaya aheshimike?
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Wameelimika, wanazijua haki zao na wanajiamini
 
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya watanzania wengine?

Hawa watu wanajiytambua na ndio maana " ni Spesho" huwezi sikia Profesa mchaga anasema kaokotwa jalalani, upumbav mtupu.

askofu shoo alimwambia Bashite aache kujifutua kama kifutu, where is Bashite? shooalikuwa anampinga dikteta wazi wazi wakati wengine wa mikoa mingine wakisema Mungu amemshusha Dikteta kututoa misri kwenda Israel Nchi ya ahadi.
😂😂😂😂😂
 
Usisahau pia wana Airport 3 za kimataifa, within 45 kilometres of each other
Mhhh hebu tutajie hizi International Airport zilizoko Ausha na Kilimanjaro, mimi najua KIA pekee zingine ni zipi?
 
Mhhh hebu tutajie hizi International Airport zilizoko Ausha na Kilimanjaro, mimi najua KIA pekee zingine ni zipi?
Uwanja wa Ndege wa Moshi unaitwa Moshi Airport, KIA ambao ni Kilimanjaro int airport na Arusha unaitwa Arusha Airport bila kutaja viwanja vya manyara, seronera, Serengeti
 
Uwanja wa Ndege wa Moshi unaitwa Moshi Airport, KIA ambao ni Kilimanjaro int airport na Arusha unaitwa Arusha Airport bila kutaja viwanja vya manyara, seronera, Serengeti
Ndugu yangu kuitwa " Airport" haimaanishi kuwa ni viwanja vya Kimataifa kama ulivyosema, ukisema kuwa wana viwanja vya ndege kwa umbali wa 45 km sawa, Mikoa hiyo miwili kuna kiwanja kimoja tu cha Kimataifa nacho ni KIA, vingine ulivyotaja ni vya KITAIFA kama Songwe Airport (Mbeya) au Tanga Airport na vingine vingi vilivyoko hapa nchini!
 
Ndugu yangu kuitwa " Airport" haimaanishi kuwa ni viwanja vya Kimataifa kama ulivyosema, ukisema kuwa wana viwanja vya ndege kwa umbali wa 45 km sawa, Mikoa hiyo miwili kuna kiwanja kimoja tu cha Kimataifa nacho ni KIA, vingine ulivyotaja ni vya KITAIFA kama Songwe Airport (Mbeya) au Tanga Airport na vingine vingi vilivyoko hapa nchini!
Vya Moshi na Arusha ni vikubwa kuliko vya huku mikoani mwetu , nimetua huko kote na ninafahamu, wachaga ni wachagga tu, hata tuwachukie vipi wametutangulia, wanapenda kwao, sasa wangekuwa wametoa rais wa nchi aijui ingekuwaje.
 
Back
Top Bottom