Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Ni kwamba, hawa kinachowasumbua ni ukabila, hawata mtu wa kabila lingine awe kiongozi kwao

wanasahau kwamba wao wanamajimbo ambayo wanayaongoza yasiyo ya kwao, Ni wabinafsi sana lakini cha wengine wanakitaka

Wakiendelea, Ni kuwakomesha tu, Kuwakataa kila jimbo wanaloomba kuwa wabunge, Walimtimua, Mkuu wa mkoa Mlongo, walikuwa wakijiapiza kabisa kuwa watamfanyia kitu mbaya, kisa sio mchaga, huyu tena Lengai, kisa siyo mchaga, kuna huyu tena mkuu wa wilaya Arusha tayari washaanza kumfolea

Ninamashaka na mkuu wa mkoa huyu mpya kama atakaa kwa amani, ni eidha afanye wanavyotaka wao, lakini akitaka aongoze kwa mjibu wa utaratibu, sidhani

Wanaongozwa na ukabila hawa watu,
Uchaga ndio iliomtuma sabaya kwenda kukata watu masikio? Next time kabla hujaandika waza kwanza
 
Si kweli, Mama Mghwira alikua na tatizo na nani? Meck Sadiki? Acheni unafiki
Samia alisema wazi Mghwira alipata taabu kukubalika, Sadiki yeye alikuwa bora siku zipite. Gama hakutaka upuuzi wenu alipigiwa kelele sana eti wachaga wakitaka haki ya kufyeka misitu ya kilimanjaro. Wachaga tunawajua.
 
Uchaga ndio iliomtuma sabaya kwenda kukata watu masikio? Next time kabla hujaandika waza kwanza
Hadithi za kutunga. subiri mahakama itoe uthibitisho. Zingine ni hasira za Mbowe kukosa ubunge. Nani akatwe masikio asiende hospitali na kuombwa PF3, basi nchi nzima ilitawaliwa na Sabaya.
 
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya watanzania wengine?

Hawa watu wanajiytambua na ndio maana " ni Spesho" huwezi sikia Profesa mchaga anasema kaokotwa jalalani, upumbav mtupu.

askofu shoo alimwambia Bashite aache kujifutua kama kifutu, where is Bashite? shooalikuwa anampinga dikteta wazi wazi wakati wengine wa mikoa mingine wakisema Mungu amemshusha Dikteta kututoa misri kwenda Israel Nchi ya ahadi.
Wengi wao bangi imewakolea sana.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Ukienda CRDB unakuta yamejazana mule kama nyumbu!

Utawabaini tu kwa ile mijino na lafudhi yao ya "Arooo Mangi".

Ni wakabila na matapeli wa kutupwa.
Nimeishi nao Sana Hawa watu,ni wabaguzi hatari,kila kitu lazima waanze wao,

Hawa watu hawafai kupata nafasi za juu katika serikali yetu
 
Ukabila, ubaguzi na ujuaji na kuzania kila kitu wao ndo wanajua na kustahili ndo tatzo lao kubwa, makabila mengi yanaendelea kujitambua ila sijawahi kusikia Wana kazia hii, ebu vuta picha watu kama wasukuma ndo wangekuwa wachaga kwa ukubwa wa kabila lao ndo ujue mungu nae ni fundi sana, yote kwa yote tanzania ni kwa ajili ya watanzania wote
 
sorry yanasababishwa na flouride iliyopo kwenye vyanzo vya maji.
Kushindwa kuondoa flouride kwenye maji inaonesha kwamba hawana elimu.

Ile dhana ya kwamba eti wameelimika ni urongo mtupu!

Hawajaelimika ndio maana majino mekundu bwashee!
 
Wachaga ni WEZI (MAJIZI).
I doupt allegation zako. Large percent ya watuhumiwa,wafungwa, mbona si wachaga?

Kama wangekuwa wezi nadhani wasinge ajirika mahali, ingekuwa jamii ya kimaskini kutupwa, wasingekuwa na maendeleo..wasingekuwa top kielimu..

but why wanafanikiwa licha wa kuitwa MAJIZI?
 
Hadithi za kutunga. subiri mahakama itoe uthibitisho. Zingine ni hasira za Mbowe kukosa ubunge. Nani akatwe masikio asiende hospitali na kuombwa PF3, basi nchi nzima ilitawaliwa na Sabaya.
Unataka kusema Mbowe ndio kafungua kesi? but why sabaya? why wakuu wa wilaya waliopita hapo kabla yake hawakuwa na shida? lakin why wakuu wa wilaya nchi nzima hawakuwa na uhasama? why yeye?
 
Samia alisema wazi Mghwira alipata taabu kukubalika, Sadiki yeye alikuwa bora siku zipite. Gama hakutaka upuuzi wenu alipigiwa kelele sana eti wachaga wakitaka haki ya kufyeka misitu ya kilimanjaro. Wachaga tunawajua.
Ana mgwira alipata taabu sababu ya viongozi wa chini yake walikuwa hawataki kumsikiliza.
hakupata tabu sababu wananchi walimkataa.

Nadhani umechukua kauli nusu ya mhe rais SsH.
 
but why wanafanikiwa licha wa kuitwa MAJIZI?

Wanafanikiwa kwa kupora na kutapeli.

Mbona umeshajijibu sasa? Ama?

Fuatilia ripoti ya majizi na matapeli ya mjini, asilimia 90 ni wachaga.

Akina Mushi, masawe, kimboka, manka...

Ukisikia tu "aseee babaangu".... ujue tayari kumekucha... JIZI hilo.
 
Back
Top Bottom