Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Kushindwa kuondoa flouride kwenye maji inaonesha kwamba hawana elimu.

Ile dhana ya kwamba eti wameelimika ni urongo mtupu!

Hawajaelimika ndio maana majino mekundu bwashee!
Anae manage vyanzo vya maji ni nani? Anae gawa maji mjini ni nani?
Simple Kupitia idara Ya maji ambayo ni chombo cha serikali. Serikali imeajiri wataalam wa maji..
Ambao kimsingi top management yote si wenyenyeji.

unataka kusema serikali ilifeli?
 
Wanafanikiwa kwa kupora na kutapeli.

Mbona umeshajijibu sasa? Ama?

Fuatilia ripoti ya majizi na matapeli ya mjini, asilimia 90 ni wachaga.

Akina Mushi, masawe, kimboka, manka...

Ukisikia tu "aseee babaangu".... ujue tayari kumekucha... JIZI hilo.
naona unapindisha maneno yangu.
Namaanisha Mafanikio kimaendeleo, lakin mostly kielimu.. mwizi anawezaje lakin kuwa na haya yote?

unaweza kuni direct hiyo report inayodai 90% ya wahalifu ni wachaga?
lakin pia ningependa kujua imefanywa na taasisi gani au nani? lini? methodies gani zilitumika?
 
Anae manage vyanzo vya maji ni nani? Anae gawa maji mjini ni nani?
Simple Kupitia idara Ya maji ambayo ni chombo cha serikali. Serikali imeajiri wataalam wa maji..
Ambao kimsingi top management yote si wenyenyeji.

unataka kusema serikali ilifeli?
Mbowe si ni mbunge wa huko uchagani?

Alikuwa mjumbe wa halmashauri za huko toka enzi na enzi, mbona hakuwasaidia kuondoa hiyo flouride!!?

Akina mrema, sijui Lema...na wachaga wenzao wale...

Shida ni elimu duni na utapeli.
 
unaweza kuni direct hiyo report inayodai 90% ya wahalifu ni wachaga?
lakin pia ningependa kujua imefanywa na taasisi gani au nani? lini? methodies gani zilitumika?
Wewe elewa hivyo mangi.

Kasome kwenye website ya mapolisi wameweka data za majizi.

Akina massawe wamejazana mule.
 
Mbowe si ni mbunge wa huko uchagani?

Alikuwa mjumbe wa halmashauri za huko toka enzi na enzi, mbona hakuwasaidia kuondoa flouride!

Akina mrema, sijui Lema...na wachaga wenzao wale...

Shida ni elimu duni!
naona unachanganya mafile hapa. Mbowe ni mbunge wa hai.. si mbunge wa arusha.
Arusha ndio wenye shida ya maji yenye flouride.
 
Wewe utakuwa na tatizo, lini walikuambia Mbowe, Lema, Marehemu Sendeka, Mgwila ni wabaya?!?!
 
Huku cchuga hatunaga misukule arifu afu hizo mbanga fanya kuzidekeree tu afu uvunge.
 
Samia alisema wazi Mghwira alipata taabu kukubalika, Sadiki yeye alikuwa bora siku zipite. Gama hakutaka upuuzi wenu alipigiwa kelele sana eti wachaga wakitaka haki ya kufyeka misitu ya kilimanjaro. Wachaga tunawajua.
Pumbavu kweli, alisumbuliwa na Wana CCM kwakua yeye alitokea upinzani, pimbi mkubwa wewe
 
Wewe elewa hivyo mangi.

Kasome kwenye website ya mapolisi wameweka data za majizi.

Akina massawe wamejazana mule.
actualy hakuna latest data kama hizo kwenye tovuti ya jeshi la polisi.
Okay maybe sijaona? unaweza kunipa link?
 
Hata wachaga pia mna mijino.
[emoji23][emoji23][emoji23] tanturum and blame shifting.
mm si mchaga.. but since inaonyesha unawajua sana is why nakuuluza hayo maswali.

so bwana samike? nani alaumiwe hapa ? nani ana manage vyanzo vya maji? lakin pia nani mwenye mamlaka ya kuhakikisha maji yako salama?
 
Wanajitambua na wako tayari kwalolote ilimradi haki isipindishwe. Wale sio waswahili wanajitambua na hawacheki kinafiki.
 
Back
Top Bottom