Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Pamoja na kuwa wametangulia mbele kimaendeleo ila wana hali ya ubinafsi,,ukabila na ukanda.
Kwa ambao tulishafanya job katika hiyo mikoa mitatu na Manyara na kutoka kwenda mikoa mingie mna ushahidi,
Ukiwa mkuu wa idara utapigwa vita na watu wa hiyo mikoa mitatui ili tu wakae wao katika idara husika,ila ukitoka mikoa hiyo na kwenda mikoa mingine hutauona huo utoporo.
Swali kwako na kwa Serikali,kwa nini Wachaga,Wamaasai na Wairaki/Wamburu wengi wanakimbia mikoani na kurudi makwao?.
Na kama Serikali ikiamua kufatilia upandandaji wa vyeo katika hii mikoa mitatu pamoja na hifadhi,palipo na wakuu wa idara wa kutoka hii mikoa mitatu kutakuwepo na upendeleo katika kupanda vyeo.
Ushauri,mtu asiwe boss mkoa ama wilaya aliyotokea.
 
Pumbavu kweli, alisumbuliwa na Wana CCM kwakua yeye alitokea upinzani, pimbi mkubwa wewe
Haya uliyajua lini? Mbona kama upumbavu uko kwako. Nani vile! Mshana! Akina Mshana hawatambuliki Kilimanjaro. Ndo maana yule rais wa matumaini Mbowe anaposema kanda ya kaskazini hutasikia akisema wapare wamo. Ukweli hata Arusha haoni kama wamo!
 
Unataka kusema Mbowe ndio kafungua kesi? but why sabaya? why wakuu wa wilaya waliopita hapo kabla yake hawakuwa na shida? lakin why wakuu wa wilaya nchi nzima hawakuwa na uhasama? why yeye?
Ukabila. Mbowe anasema kanda ya kaskazini, lakini wachaga huamini kanda yote hiyo wao tu ndo walio bora. Safari hii wakajikuta wanatawaliwa na mtu wa Arusha, dah! wakawa ni watu wa matukio kwake. Mbona hawasemi wizi na biashara haramu zilizokuwa zinaendeshwa Hai? Au kwa kuwa ziliendeshwa na wachaga?
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Ni kati ya watu wanaojitambua baada ya Wahaya.
 
naona unachanganya mafile hapa. Mbowe ni mbunge wa hai.. si mbunge wa arusha.
Arusha ndio wenye shida ya maji yenye flouride.
Angalieni! Munachezea sayansi isiyohitaji hoja, ni facts tu! Arusha kuna sehemu kuna fluoride, kuna sehemu hakuna, Kilimanjaro kuna sehemu kuna fluoride kuna sehemu hakuna, Singida, shinyanga, Simiyu hivyo hivyo!
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Jibu ni rahisi.. No size fits all..
Kiongozi atakayeenda huko anatakiwa afit kwa culture ya watu wa huko.. Akienda Ruvuma lazima akajifit na culture ya kule pia.
Wewe Mzaramo huwezi kwenda Njombe halafu unataka watu wa Njombe waanze kucheza ngoma za Pwani
 
Ni kati ya watu wanaojitambua baada ya Wahaya.
Mmh! Hapana! Usitafute kabila jingine la kukuunga mkono. Ndivyo mulivyo. Mukianikwa ukabila munatafuta na wengine. mara kaskazini, mara sawa na wahaya. Kuna kipindi hapa mulijidai kusoma sana lakini ikaonekana kusoma sana kuko wilaya fulani ndogo tu.

Kujitambua ni kukataa makabila mengine mkoani kwenu? Mbona sasa mumejaa Arusha mjini na Mwanza? Wiki jana nilikuwa Mwanza, Hoteli ya mchanga inaitwa JA karibu na nyingine ya Mchaga inaitwa Vizano. Eti hadi leo wageni wanalazimishwa kunywa maji ya Kilimanjaro. Mji ambao wanahusudu sana taste ya maji ya Jambo! Ukabila mtupu!
 
Ukabila. Mbowe anasema kanda ya kaskazini, lakini wachaga huamini kanda yote hiyo wao tu ndo walio bora. Safari hii wakajikuta wanatawaliwa na mtu wa Arusha, dah! wakawa ni watu wa matukio kwake. Mbona hawasemi wizi na biashara haramu zilizokuwa zinaendeshwa Hai? Au kwa kuwa ziliendeshwa na wachaga?
"Ukabila" if that the case? waliopita kabla yake waliwazaje kuish nao? walikuwa ni voongozi wachaga?

"wachaga huamini kanda yote ni yao" well sidhani maana wachaga wanapatikana mkoa mmoja tu.. the rest zimekuwa occupied na makabila mengine makubwa ambayo si wachaga.

how unadai wanaamini?
 
Ukienda CRDB unakuta yamejazana mule kama nyumbu!

Utawabaini tu kwa ile mijino na lafudhi yao ya "Arooo Mangi".

Ni wakabila na matapeli wa kutupwa.
Angalia usije kufa kabla ya siku zako kwa chuki tu,basi ukiwaona wauwe kama wanakukera sana
 
Angalieni! Munachezea sayansi isiyohitaji hoja, ni facts tu! Arusha kuna sehemu kuna fluoride, kuna sehemu hakuna, Kilimanjaro kuna sehemu kuna fluoride kuna sehemu hakuna, Singida, shinyanga, Simiyu hivyo hivyo!
flouride ziko kote but hapa todaufi ni quatinty ya flouride kwenye maji. arusha wana quantity kubwa kuliko hata Kilimanjaro.
 
Nimeishi nao Sana Hawa watu,ni wabaguzi hatari,kila kitu lazima waanze wao,

Hawa watu hawafai kupata nafasi za juu katika serikali yetu
Sasa kama umezubaa unataka na mm nizubae tufanane? Acha uboya bana!!
 
flouride ziko kote but hapa todaufi ni quatinty ya flouride kwenye maji. arusha wana quantity kubwa kuliko hata Kilimanjaro.
Wewe mtu una elimu gani bhana? Nakusahihisha neno fluoride wewe unarudia kuandika yako, umesomea wapi? Huwezi hata kukopi! Nawe useme ajira ngumu! aaah!
 
Haya uliyajua lini? Mbona kama upumbavu uko kwako. Nani vile! Mshana! Akina Mshana hawatambuliki Kilimanjaro. Ndo maana yule rais wa matumaini Mbowe anaposema kanda ya kaskazini hutasikia akisema wapare wamo. Ukweli hata Arusha haoni kama wamo!
Huna hadhi ya kujibiwa na mimi
 
Huku kwetu songea hata asiye na elimu analetwa tu na hakuna anayemchalenge kiongoz huyo

Huku sisi tunaamin nyerere Bado RAIS na upinzani wakichukua dola inabuidi wawe na jeshi lao ikulu yao Sasa kuwapa nchi upinzan watatumia hela vibaya kujenga hayo yote

RUVUMA TUNAOMBA MTUJENGEE SHULE NYINGI ILI TUJITAMBUE KAMA KILIMANJARO NA ARUSHA
 
Kinyume ni kuchangamka
Najua kimya kimya munaambizana kwamba wametustukia. Ni aibu aliyechangamka kuonekana anahangaika na mafanikio kupitia ukabila. Hivi CRDB bado inatoa mikopo kwa wachaga tu? Maana ilikuwa hadi utambulishwe kwa Kimei.
 
Pamoja na kuwa wametangulia mbele kimaendeleo ila wana hali ya ubinafsi,,ukabila na ukanda.
Kwa ambao tulishafanya job katika hiyo mikoa mitatu na Manyara na kutoka kwenda mikoa mingie mna ushahidi,
Ukiwa mkuu wa idara utapigwa vita na watu wa hiyo mikoa mitatui ili tu wakae wao katika idara husika,ila ukitoka mikoa hiyo na kwenda mikoa mingine hutauona huo utoporo.
Swali kwako na kwa Serikali,kwa nini Wachaga,Wamaasai na Wairaki/Wamburu wengi wanakimbia mikoani na kurudi makwao?.
Na kama Serikali ikiamua kufatilia upandandaji wa vyeo katika hii mikoa mitatu pamoja na hifadhi,palipo na wakuu wa idara wa kutoka hii mikoa mitatu kutakuwepo na upendeleo katika kupanda vyeo.
Ushauri,mtu asiwe boss mkoa ama wilaya aliyotokea.
Uko sahihi lakini ulivyoanza ndo sikubali. Yaani unaamini wametangulia mbele kwa kitui gani maana nami huko nimeishi. Au ile mtu akiwa na milioni 5 najiita bilionea fulani? Hawa wamekuwa na tabia ya kutishana kwa kipato. Ndo maana yeyote aliyepata milioni 20 alijenga uchagani kwanza. sasa ukitaka kujua wako nyuma nenda usikilize ufahamu wa waliobaki vijijini maana ndo wengi. Ndo maana ulisikia Mwamposa alipoitisha uponyaji, walifika kwa maelfu. Aliye mbele atamfuata tapeli?
 
Back
Top Bottom