Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Wanafanikiwa kwa kupora na kutapeli.

Mbona umeshajijibu sasa? Ama?

Fuatilia ripoti ya majizi na matapeli ya mjini, asilimia 90 ni wachaga.

Akina Mushi, masawe, kimboka, manka...

Ukisikia tu "aseee babaangu".... ujue tayari kumekucha... JIZI hilo.
Na nyie kwenu kaporeni muondokane na umaskini wa mwili Hadi akili mkuu. Huko kwenu mnaishi na akili za kifisi na kinyumbu
 
Najua kimya kimya munaambizana kwamba wametustukia. Ni aibu aliyechangamka kuonekana anahangaika na mafanikio kupitia ukabila. Hivi CRDB bado inatoa mikopo kwa wachaga tu? Maana ilikuwa hadi utambulishwe kwa Kimei.
Na bado mtakufa kwa roho mbaya
 
Unataka kusema Mbowe ndio kafungua kesi? but why sabaya? why wakuu wa wilaya waliopita hapo kabla yake hawakuwa na shida? lakin why wakuu wa wilaya nchi nzima hawakuwa na uhasama? why yeye?
Swali kubwa ni hilo la mwisho. Why yeye? jibu ni xenophobia. Mtu wa Moshi huamini ni mkosi kutawaliwa na mtu wa Arusha. Namsema uongo ndugu yangu?
 
Na nyie kwenu kaporeni muondokane na umaskini wa mwili Hadi akili mkuu. Huko kwenu mnaishi na akili za kifisi na kinyumbu
Jaribuni kukopa tena CRDB uone matokeo. Si unajua Kimei hayupo!
Mbona unashauri wengine kupora wakati Sabaya munamchukia kwa kupora au kupora ni taaluma ya wachaga tu!
 
flouride ziko kote but hapa todaufi ni quatinty ya flouride kwenye maji. arusha wana quantity kubwa kuliko hata Kilimanjaro.
Sasa kuwa na flouride ni dhambi Kuna waja hawajielewi ni sawa na kulaumu mwa Africa kuwa mweusi. Kuna watu Wana chuki balaa wallah badala wajifunze kwa waliofanikiwa wao Wana laumu.
 
Jaribuni kukopa tena CRDB uone matokeo. Si unajua Kimei hayupo!
Mbona unashauri wengine kupora wakati Sabaya munamchukia kwa kupora au kupora ni taaluma ya wachaga tu!
Bwana wee magufuli aliwapendelea kila corner had ajira na ma vyeo lakini umaskini wenu huko palepale Sasa kafa mnarudisha chuki kwa wengine, msipobadilika na Dunia hii ya kibepari mtabaki kuanzisha mada za kichuki humu jf huku wenzenu wakichanja mbunga na nyie kuwa watumwa wao.
 
Mmmh, wenzio ni special, CHADEMA. Kumbuka Mrema from nowhere akawa mgombea enzi za TLP vyama vingi mwanzoni kabisa ilibidi Nyerere atoke mapumzikoni amnadi Mkapa? Bado akachukua viti vyote Mkoa huo tukajiuliza kulikoni?

Usisahau pia wana Airport 3 za kimataifa, within 45 kilometres of each other, lakini Chato kilometa 400 from anywhere wanasema ukabila? Pia Unajua wana Vyuo Vikuu 5, lakini ukijenga VETA moja tu kwa Kassim Majaliwa wanasema ukabila? Ni wabinafsi mno ona hata vitimaalum.

Mind you, to be very fair, Wachagga wa kawaida ni Watanzania wazuri tu; shida ni ruling elites kina Mbowe. Ya Lowassa hatujayasahau (aliitwa na Maaskofu wa KkKT, yeye na Sumaye), wengi weshawajulia, wakajiona ni ujinga hata Lowassa mwenyewe. Sasa wameabza kumtishia Samia.
Ndugu yangu umeongea vyema hawa watu ni wabinafsi sana tena sana wewe angalia hata kwenye vyama kukiwa na chama cha upinzani chenye nguvu kidogo kutoka kaskazini na hao watu wa kanda hiyo 80% wanahamia huko mf TLP,CHADEMA huwezi kuwaona CUF,UDP au ACT kwa kweli ni wabinafsi sana hawa ndugu zetu
 
Sasa kuwa na flouride ni dhambi Kuna waja hawajielewi ni sawa na kulaumu mwa Africa kuwa mweusi. Kuna watu Wana chuki balaa wallah badala wajifunze kwa waliofanikiwa wao Wana laumu.
Ulipokuwa unaandika neno flouride kifaa chako hakikusema unakosea? Kama neno ni geni kwako kwa nini usiangalie mtandaoni? Neno sahihi ni Fluoride Hii ndo inaonesha uzembe wa kujifunza na kung'ang'ania ubishi wa jf bila kunufaika.
 
Jaribuni kukopa tena CRDB uone matokeo. Si unajua Kimei hayupo!
Mbona unashauri wengine kupora wakati Sabaya munamchukia kwa kupora au kupora ni taaluma ya wachaga tu!
Wanaopora ndo wako mahabusu kina sabaya huko, hafu kukopa huwa ni lazima uwe na vigezo na sio kwa ajili ya kabila
 
Ndugu yangu umeongea vyema hawa watu ni wabinafsi sana tena sana wewe angalia hata kwenye vyama kukiwa na chama cha upinzani chenye nguvu kidogo kutoka kaskazini na hao watu wa kanda hiyo 80% wanahamia huko mf TLP,CHADEMA huwezi kuwaona CUF,UDP au ACT kwa kweli ni wabinafsi sana hawa ndugu zetu
Kwanini na nyie hamuhanii huko kwenye nguvu mumenyimwa au ni uzembe wenu?
Sasa hapo una mlaumu nani, lawama nyingine ni ujinga mtupu hasa kwa dunia ya ubepari watu wanaenda kwenye fursa no wonder watanzania wanawaogopa wakenya
 
Ulipokuwa unaandika neno flouride kifaa chako hakikusema unakosea? Kama neno ni geni kwako kwa nini usiangalie mtandaoni? Neno sahihi ni Fluoride Hii ndo inaonesha uzembe wa kujifunza na kung'ang'ania ubishi wa jf bila kunufaika.
Wewe hapa hatufanyi mtihani wa kiswahili au UE so ignore minor errors. Hafu mbona umekazania hyo flouride maana ni Jambo la kawaida tu sehemu yenye madini mengi na sawa na kuja hapa kulaumu wahanga wa kuugua cancer kutoka Kanda ya ziwa huo si unakuwa uzwazwa
 
Mmmh, wenzio ni special, CHADEMA. Kumbuka Mrema from nowhere akawa mgombea enzi za TLP vyama vingi mwanzoni kabisa ilibidi Nyerere atoke mapumzikoni amnadi Mkapa? Bado akachukua viti vyote Mkoa huo tukajiuliza kulikoni?

Usisahau pia wana Airport 3 za kimataifa, within 45 kilometres of each other, lakini Chato kilometa 400 from anywhere wanasema ukabila? Pia Unajua wana Vyuo Vikuu 5, lakini ukijenga VETA moja tu kwa Kassim Majaliwa wanasema ukabila? Ni wabinafsi mno ona hata vitimaalum.

Mind you, to be very fair, Wachagga wa kawaida ni Watanzania wazuri tu; shida ni ruling elites kina Mbowe. Ya Lowassa hatujayasahau (aliitwa na Maaskofu wa KkKT, yeye na Sumaye), wengi weshawajulia, wakajiona ni ujinga hata Lowassa mwenyewe. Sasa wameabza kumtishia Samia.
Hapo mwisho umewapoza kwamba wa kawaida ni Watanzania wazuri, nasema hapana! Tungependa wawe hivyo lakini wana hadithi za makuzi vichwani. Ni wazuri wanapokuwa mbele ya kabila jingine, wanaonesha unyonge na ni kwa sababu hawakujaliwa ushujaa wa misuri (aggression), lakini ujue akimaliza kuzungumza na wewe lolote analikimbizia kwa mchaga mwenzake kwa ajili ya editing. Kila akija ujue ni mambo yamejadiliwa kikabila.

Nimesema wazi hadi vyuo vikuu wao wanahangaika kupendelewa na walimu wa makabila yao na hadi leo inafanyika hivyo.
 
Wewe hapa hatufanyi mtihani wa kiswahili au UE so ignore minor errors. Hafu mbona umekazania hyo flouride maana ni Jambo la kawaida tu sehemu yenye madini mengi na sawa na kuja hapa kulaumu wahanga wa kuugua cancer kutoka Kanda ya ziwa huo si unakuwa uzwazwa
Yaani! Kichwa kigumu eti! Ni dalili za slow learning
 
Kwanini na nyie hamuhanii huko kwenye nguvu mumenyimwa au ni uzembe wenu?
Sasa hapo una mlaumu nani, lawama nyingine ni ujinga mtupu hasa kwa dunia ya ubepari watu wanaenda kwenye fursa no wonder watanzania wanawaogopa wakenya
Nadhani hujanielewa namaanisha chama chenye nguvu kinachoongozwa na mtu wa kaskazini utawaona watu wa kaskazini 80% wanajiunga na hicho chama wao huwa hawajiungi na chama chenye nguvu ambae kiongozi wake hatoki kaskazini na ndio maana kwa sasa Watanzania wengi tumewatambua kuwa ndugu zetu wana ukabila kutokana na tabia zao
 
Nadhani hujanielewa namaanisha chama chenye nguvu kinachoongozwa na mtu wa kaskazini utawaona watu wa kaskazini 80% wanajiunga na hicho chama wao huwa hawajiungi na chama chenye nguvu ambae kiongozi wake hatoki kaskazini na ndio maana kwa sasa Watanzania wengi tumewatambua kuwa ndugu zetu wana ukabila kutokana na tabia zao
Watu wanaangalia penye fursa na sio ukanda hata wewe unaangalia penye masilahi zaidi ndo unaenda so sioni hoja yako hapo Sasa chama kikikua na kuaminiwa si ndo fursa ya kupata ubunge, amkeni muachane na mentality za wakaskazini hata wewe ukiona sehemu Kuna unono na mema ya nchi join upate mteremko.
 
Aaawapi!! ukabila na kijicho ndicho kinasumbua majimbo hayo
Sure Wana wivu na wanaumia mwingine asipokuwa wa kwao. Elimu hata kuku siku hizi wamesoma jamani sio Kama enzi zile tra ya mramba mpaka akajibu nchi ilo jibu la kuitukana Tanzania.
 
Back
Top Bottom