Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Ni ukabilga tu ndio unawasumbua!

Tunaona hata huku makanisani mfano kama dar hasa KKKT akiletwa mchungaji au mwinjilisti mpya utasikia wachaga wanauliza ni kabila gani?
Akiwa si wa kabila lao utaona wanasepa mdogo mdogo wanahama kanisa, akiwa mchaga utaona wanajazana kila jumapili na sadaka na michango watatoa sana.


Kwa ufupi mchaga ni mtu mbinafsi sana.
Duj
 
wakati wengine wa mikoa mingine wakisema Mungu amemshusha Dikteta kututoa misri kwenda Israel Nchi ya ahadi.
Hebu acha unafiki kama wewe unajitambua, kama bado teenage sawa endeleza unafiki.

Yule askofu 'Bagonza' aliye kuwa anamponda late Pombe mbona humtaji au anatoka kaskazini?.

Na yule aliyetaka kufukuzwa nchini je?.
 
Siku kukiwa na ujenzi, angalia kamati ya ujenzi ilivyo. M/kiti akiwa mchaga tu jueni mkandarasi atafutawa moshi.
Kabisa!

Na mchungaji au Mwinji akiwa mchaga jueni mhasibu na mweka hazina lazima awe mchaga!

Wana shida sana hawa watu.
 
Kuna taasisi kubwa sana hapa nchini. ambayo hivi majuzi imeingia mfumo wa kijeshi.
taasisi hiyo top engineer na afisa manunuzi ni wachaga.. mmoja mkibosho mwingine mmachame.

hawa wazee wanan 20+ years kwenye hizo nafasi bila doa au kesi yoyote.
wamesimamia miradi kibao yanhiyo taasisi.. tena project maalum za ujenzi.. zikaisha kwa wakati.
Audit both internal na external.. mpaka CAG wamepitia hizo hidara.. wanakagua hiyo miradi na hawajapata doa lolote.

how do i know. because i was there.

so issue yako kuwa eti mwenyekit akiwa mchaga mambo hayaendi.. nikwambie tu its down to mtu husika na ethics na performance yake.
Hajasema haendi bali anasema lazima awekwe mchaga kwa misingi ya kikabila. Na ili hata kupiga 10% iwe rahisi.
 
sijaona mahali kijana kutokea moshi analalamika ajira sikuiz.
Hali ya ajira nchini inajulikana.. its not about kabila lako.. qualification na perfomance yako.

Mchaga angekuwa mtu wa kutegemea ajira.. leo hii wangekuwa mkoa masikini kuliko mkoa wowote. wangekuwa fukara wa kutupwa
Kwa hiyo unahisi hao vijana wa kichaga hatuko nao huku mitaani wao wana sehemu yao wanaishi?
 
Ni ukabilga tu ndio unawasumbua!

Tunaona hata huku makanisani mfano kama dar hasa KKKT akiletwa mchungaji au mwinjilisti mpya utasikia wachaga wanauliza ni kabila gani?
Akiwa si wa kabila lao utaona wanasepa mdogo mdogo wanahama kanisa, akiwa mchaga utaona wanajazana kila jumapili na sadaka na michango watatoa sana.


Kwa ufupi mchaga ni mtu mbinafsi sana.
Jamaa wanaangalia maslahi tu. Hata haya mashirika ya waroma wao wenyewe ndio wako juu. Wakipewa msaada wa kujenga shule badala ya kuangalia penye uhitaji Ila bado wanaenda kujenga huko Rombo kwa mama Bureta jamani na watafugiamo kuku Sasa.
Na huku Kuna mahali watt wanasomea za matope.yaani hakuna Cha dini Wala nini suala la kupiga dili tu kwenda mbele
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Huko ndio canan nchi ya asali n maziwa,ndipo elimu ilipoanzia na machief wao walienda shule,huko kwenu mlilowea kwenye ulonzi
 
Hajasema haendi bali anasema lazima awekwe mchaga kwa misingi ya kikabila. Na ili hata kupiga 10% iwe rahisi.
DG wa shirika si mchaga.. ni mtu wa nyanda za kati.. msaidizi wake mtu wa mbeya..
wakuu wa idara wako almost 8. wawili tu ndio wachaga.
kama top management si wachaga.. wamewekwaje hapo?
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Hakika
 
Hiyo mikoa wanataka mtu anayesikiliza mawazo ya watu,kujadili Mambo ya maendeleo,kiongozi akija Kama ni Mambo ya maendeleo yasiyo na ubaguzi wapo tayari hata kuchangia,siyo unakuja unaleta tu mawazo yako ya kijinga na Mambo ya kujimwambafay tunakuingiza chocho
 
Wachagga ni wabinafsi, wanafiki, wenye dharau, na wabaguzi sana ...chunguza hata hapa we angalia tu post zao ni rahisi uwatambua utaona .."wanaojitambua", "Akili mingi", " Wenye hela", "ELIMU ELIMU", "Wajanja", "Wasomi wa kweli", "New York ya Africa" na kauli zingine za tambo na kinafiki.
 
Wachagga ni wabinafsi, MKE WANGU NI MCHAGGA HUWA NAONA ELEMENT ZA KIPUUZI SANA. KINACHOMSAIDIA NI KWAKUWA ALIBADILI DINI KUWA MUISLAM NDIO NAKOMAA NAE KIBISHI.
Ila akili zao wanazijua wenyewe.
 
Back
Top Bottom