Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Wachagga ni wabinafsi, MKE WANGU NI MCHAGGA HUWA NAONA ELEMENT ZA KIPUUZI SANA. KINACHOMSAIDIA NI KWAKUWA ALIBADILI DINI KUWA MUISLAM NDIO NAKOMAA NAE KIBISHI.
Ila akili zao wanazijua wenyewe.
umeoa wa nn sasa?
unaoa mke unakuja kumlalamikiabjf kisa kabila,?
ungemuacha au mpe talaka kabisa. wapo watu watamuoa bila malalamiko
 
Halmashauri ya wachaga ilaumiwe.
hamna almashauri ya wachaga tanzania. kuna almashauri ya mji mdogo boma.. almashauri ya hai..
Lakin hslmashauri zote zimeanzishwa na serikali na zinaendeshwa na serikali na mhe dc hata huyu mpya si mchaga.

kwa hiyo unasema ilaumiwe serikali iliyoanzisha halmashauri?
 
Kwa kifupi wachaga ni wabinafsi sana
Na hawapendi kusikia mtu wa kabila lingine amefanikiwa na kuwa story mjini
Hawapendi kabisa.
Wana ukabila sana sana.
Ila kwa hili la Sabaya hajasingiziwa
 
Ktk mabishano haya nimeshafahamu kiwango cha ufahamu wako. Naomba usiwe mbishi. Usitake kubishana kila wakati. kuna wakati unajifunza kwa wenzako. Hizi bundle tunazotumia mitandaoni ni vizuri ukafaidika pia kielimu. Hata ukinishinda kwa ubishi, utafiaid nini wakati hatufahamiani?
Mkuu wewe sio muelewa ka unatetea Utopolo wa sabaya jichunguze kwenye hata maisha yako mtaani
 
hamna almashauri ya wachaga tanzania. kuna almashauri ya mji mdogo boma.. almashauri ya hai..
Lakin hslmashauri zote zimeanzishwa na serikali na zinaendeshwa na serikali na mhe dc hata huyu mpya si mchaga.

kwa hiyo unasema ilaumiwe serikali iliyoanzisha halmashauri?
Wabunge ambao ni wajumbe katika halmashauri ni wachaga.

Halafu sio "Almashauri", ni HALMASHAURI.
 
[emoji3][emoji3]mfupi ka kibamia chako eeeh
Nina ndonga kama muhogo wa jang'ombe!

Unaujua muhogo wa jang'ombe wewe?

Nikiuzamisha kwenye hiyo papuchi yako fupi lazima upasuke kizazi.

Na ulivyo mfupi, nitakukunja kama mdoli wa sufi huku nikikushindilia vilivyo.
 
Ni vema watu tukawa wakweli wa nafsi zetu. Tanzania ni nchi maskini kwa vigezo vinavyofahamika. Lakini ndani ya Tanzania, kuna mikoa ni maskini sana, na kuna mikoa yenye unafuu mkubwa.

Ndani ya Tanzania, kuna mikoa ambayo watu wake wengi wameelimika na kuna mikoa, mpaka leo, unaweza kufika kwenye kijiji kizima, hakuna mtu ambaye ana elimu angalao hata ya shahada moja.

Kuna mikoa ambayo watu wake wana elimu kubwa ya fursa za kiuchumi zinazopatikana kwenye maeneo yao, kuna mikoa hawajitambui na wala hawajui wayatumie namna gani mazingira kujipatia maendeleo.

Mambo mengi yamechangia hali hiyo. Lakini kwa sura ya haraka, mikoa ya wafugaji, kwa kiasi kikubwa ni duni katika vigezo vingi. Ukiwa duni katika elimu, duni katika kipato, duni kuhusiana na elimubya mazingira yako, huwezi kujitambua, huwezi kuwa na ujasiri, na utabakia kuwa mshangiliaji wa watawala hata kama watawala hao hawakufanyii chochote cha pekee na cha maana.

Mikoa kama Kilimanjaro, Arusha, Iringa, Njombe, Mbeya, Dar, ni nadra sana kuona wakimhusudu mtawala. Hawana haja ya kujikomba kwa watawala kwa sababu wanaamini kuwa wana uwezo wa kuyategemeza maisha yao bila ya kumtegemea mtawala. Wanajua kuwa mtawala ni binadamu kama wao, kuwa mtawala hakujamwongezea chochote katika ubinadamu wake. Wanatambua kuwa mtawala anaweza kufanya vizuri au kukosea.

Umaskini wa elimu unakufanya kuwa maskini wa kipato, umaskini wa kipato unakufanya kuwa dhaifu na kukuondolea kujiamini.
 
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya watanzania wengine?

Hawa watu wanajiytambua na ndio maana " ni Spesho" huwezi sikia Profesa mchaga anasema kaokotwa jalalani, upumbav mtupu.

askofu shoo alimwambia Bashite aache kujifutua kama kifutu, where is Bashite? shooalikuwa anampinga dikteta wazi wazi wakati wengine wa mikoa mingine wakisema Mungu amemshusha Dikteta kututoa misri kwenda Israel Nchi ya ahadi.
[emoji817]%
 
Unapoelekea panaeleweka. Toa mifano ya walioonewa. Isijekuwa wanapelekwa kwa lengo maalum lililofichika, wenyeji wanawagudua.
Ss tulioko huku tunayajua hayo.Kila anayeletwa huku anakuja kimkakati.Na hata km hajatumwa wakaifika huko hawaheshimu misimsmo ya kisiasa ya wenyeji wanaingia kichwa kichwa ktk mapambano yasiyo na tija.Mfano Jerry Muro,Jambazi Sabaya.

Na wakuu wa wilaya wengi wamekuwa na mawazo kwamba ukipelekwa penye kiongozi wa upinzani basi ili uonekane unatenda ipasavyo basi ni kuadhibu,kuwatengenezea kesi viongoz wa upinzani.

Ni km ujinga fulani hivi,na enzi zae shujaa basi unapandishwa cheo mfano kina Mnyeti,Biyakanwa.
 
Back
Top Bottom