Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Wachagga ni wabinafsi, wanafiki, wenye dharau, na wabaguzi sana ...chunguza hata hapa we angalia tu post zao ni rahisi uwatambua utaona .."wanaojitambua", "Akili mingi", " Wenye hela", "ELIMU ELIMU", "Wajanja", "Wasomi wa kweli", "New York ya Africa" na kauli zingine za tambo na kinafiki.
Hivi huo muda wakuchunguza mnaupata wapi? Kila mtu ana Mambo yake na familia yake. Yaani waache kushughulikia maisha yao waje wahangaike na familia zenu?

Tuongee ukweli Magufuli alisema kuhusu maendeleo kaskazini watulie kwanza. Watu wa kaskazini hawakuuliza Wala Nini japo Kodi wanalipa na waliendelea na maisha yao. Je wangeambiwa kabila lako si Vita ingetokea?

Hapo mbinafsi, mnafiki na mwenye dharau ni Nani? Embu mjitagakari.
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Shemeji zangu wachaga na kanda ya kaskazini tulieni mniombee niwe Rais wa Tanzania. Nawakatia pande la ardhi hapo pwani na Moro uuyaendeleze. Hawa ndugu zangu waache walale na uvivu wao wa kufikiria na chama chao.

Ukishindwa kuishi na mchaga basi ukaishi porini.
 
Wachagga ni wabinafsi, MKE WANGU NI MCHAGGA HUWA NAONA ELEMENT ZA KIPUUZI SANA. KINACHOMSAIDIA NI KWAKUWA ALIBADILI DINI KUWA MUISLAM NDIO NAKOMAA NAE KIBISHI.
Ila akili zao wanazijua wenyewe.
Pole sana mzee baba pambana na hio Ngurupi!
 
issue sio ati kuna shida, no no no, issue ni hii hapa, ile mikoa 2, watu wako na uelewa sana, wamesoma, wako na akili poa, sio mataga au sio mikoa kaa kigoma, geita, lindi au tanga au simiyu, hii mikoa 2 pia iko na watu ambao kielimu, kibiashara na kujielewa kwao kuko mbela sana, huwezi linganisha hii mikoa 2 na mikoa ingine kaa hio niliyoitaja hapo,maana yake ukipelekwa kule kaa RC, DC, au RPC, mpaka ujifahamu, na uelewe ya kuwa kule ukileta ujinga wako wale watu hata kukumaliza sio issue kubwa, in short, do your wok with integrity once you are posted to these 2 regions, hope nimekujibu
 
Kwa ufahamu wangu ninaona hii mikoa tayari imeshajitambua wanajua mamluki, matapeli na wanafiki. Ukiona hivyo ujue wanaona wapo nyuma kimaendeleo wakati walikuwa waone wanasonga mbele.

Sio mikoa hiyo tuu naomba niongeze mingine ambao wanafanyaoazi. Mkoa wa Mara, kagera, Iringa, Mbeya, Mwanza n,k. Hawa wananchi ukifuatia ni watu ambao wanapenda kusonga mbele sio kurudi nyuma.

Kama serikali itakubali kodi zibaki katika kanda zao, maeneo yao wangejisimamia na baada ya miaka kumi Tanzania ingekuwa na hatua kubwa kimaendeleo na tungewapata wanaotumia Kodi za wananchi vibaya. Wangejitengenezea ajira na wangehimizana kufanyakazi. Happy zile sheria za Halmashauri zingefanya kazi kwa ufanisi zaidi.

Serikali itoe Uhuru wao kazi yao ni kuhakiki mapato yanayoingia kila mkoa na matumizi yake. Haya Mambo ya gawio na kujenga miradi ambayo haikamiliki ni kuwatesa wananchi.

Serikali itafute pesa kwa ajili ya miradi mikubwa.
Wachaga uwaachie fuko la hela si utakuta hao wasimamizi na familia zao ndio wananufaika na hizo hela pekeyake huku wengine wakilia lia na ukata! Unawajua wachaga kweli au unawaona kwenye TV?
 
Mmmh, wenzio ni special, CHADEMA. Kumbuka Mrema from nowhere akawa mgombea enzi za TLP vyama vingi mwanzoni kabisa ilibidi Nyerere atoke mapumzikoni amnadi Mkapa? Bado akachukua viti vyote Mkoa huo tukajiuliza kulikoni?

Usisahau pia wana Airport 3 za kimataifa, within 45 kilometres of each other, lakini Chato kilometa 400 from anywhere wanasema ukabila? Pia Unajua wana Vyuo Vikuu 5, lakini ukijenga VETA moja tu kwa Kassim Majaliwa wanasema ukabila? Ni wabinafsi mno ona hata vitimaalum.

Mind you, to be very fair, Wachagga wa kawaida ni Watanzania wazuri tu; shida ni ruling elites kina Mbowe. Ya Lowassa hatujayasahau (aliitwa na Maaskofu wa KkKT, yeye na Sumaye), wengi weshawajulia, wakajiona ni ujinga hata Lowassa mwenyewe. Sasa wameabza kumtishia Samia.
mkuu tangu lini chadema ikawa na ruling elites, au hujui maana ya ruling elite, mbowe to the best of my knowledge has never ever held state power, now issue ya 3 airports with a radius of 45km , this is very simple to explain, you cannt have such airports if there is no economic activities to support such, look at chato kwa sasa ile uwaja wao pengine watumie kukausa mahindi na mihogo, hizo airport 3 bado biashara zipo kibao, kuhusu veta wale wengi wamesoma, veta peleka ile mikoa ambayo watu hawana elimu, good day sir
 
sorry kwanza hai ni wilaya , Arusha ni mkoa. ila ndani ya arusha kuna wilaya ya arusha mjini. ungekuwa specific kidogo.

kwanza hiyo mikoa ni ya watu wanao jitambua. ukiwa kiongozi ndani ya hiyo mikoa lazima uwe makini na mienendo yako.
Fanya kama kiongozi lakin kamwe usije vuka mipaka kujarib kuwaonea au kuwavuruga. huwa wana tabia ya kulipiza
Acha ubinafsi! Mkoa gani watu hawajitambui. Watanzania wote kutoka mikoa yote bara na visiwani tunajitambua.
 
Wachaga uwaachie fuko la hela si utakuta hao wasimamizi na familia zao ndio wananufaika na hizo hela pekeyake huku wengine wakilia lia na ukata! Unawajua wachaga kweli au unawaona kwenye TV?
Tutupie jicho kwa pamoja. Ni Nani ambaye hapendi hela?

Kiukweli fanya utafiti utapata ukweli. Wachaga asilimia kubwa ni waaminifu kwa kazi. Ingia mikoa mingine uone utakavyochezewa rafu. Wape kazi uone usumbufu wake? Ila Cha Kwanza ni pesa wape uone kazi yako itafanyika. Wanajua kutumbua na mdomo mwiiiiingi.

Mimi nimepiga kazi na wachaga na sijutii katika maisha yangu. Pesa ni kila mtu anasitaka hata mzungu hapo humtoi. Ni sabuni ya Roho.
 
sorry kwanza hai ni wilaya , Arusha ni mkoa. ila ndani ya arusha kuna wilaya ya arusha mjini. ungekuwa specific kidogo.

kwanza hiyo mikoa ni ya watu wanao jitambua. ukiwa kiongozi ndani ya hiyo mikoa lazima uwe makini na mienendo yako.
Fanya kama kiongozi lakin kamwe usije vuka mipaka kujarib kuwaonea au kuwavuruga. huwa wana tabia ya kulipiza
Maeneo hayo ni Wakabila hilo ndilo tatizo na walizoea kubebwa sana awamu zilizopita. Jamii imebadilika na sisi kusini na magharibi Kigoma tunajitambua
 
Utamwona
Acha ubinafsi! Mkoa gani watu hawajitambui. Watanzania wote kutoka mikoa yote bara na visiwani tunajitambua.
Utamwona je mwenzako ni mbinasi Kama sio mbinafsi? Labda ungeweka ushauri wako ili waendelee kuongeza idadi ya ya ujinga katika daftari lao.
 
Tutupie jicho kwa pamoja. Ni Nani ambaye hapendi hela?

Kiukweli fanya utafiti utapata ukweli. Wachaga asilimia kubwa ni waaminifu kwa kazi. Ingia mikoa mingine uone utakavyochezewa rafu. Wape kazi uone usumbufu wake? Ila Cha Kwanza ni pesa wape uone kazi yako itafanyika. Wanajua kutumbua na mdomo mwiiiiingi.

Mimi nimepiga kazi na wachaga na sijutii katika maisha yangu. Pesa ni kila mtu anasitaka hata mzungu hapo humtoi. Ni sabuni ya Roho.
Sawa ila wachaga kwenye pesa siwaamini aisee wana ubinafsi san
 
Wachagga ni wabinafsi, MKE WANGU NI MCHAGGA HUWA NAONA ELEMENT ZA KIPUUZI SANA. KINACHOMSAIDIA NI KWAKUWA ALIBADILI DINI KUWA MUISLAM NDIO NAKOMAA NAE KIBISHI.
Ila akili zao wanazijua wenyewe.
Mkuu yaan unamnanga mke wako kisa ukabila,?nahc huyo mke anakuendesha maana kichwan ni empty,iv huwez kutofautisha tabia ya mtu na kabila?yawezkana ungeoa wa kabila jingne na akawa mbaya zaid ya huyo,je ungekuja kumnanga hapa jukwaan?acheni ujinga wa kujadili ukabila zama hizi,kama mwnzko kakuzid kielim au kiuchum usimuonee wivu ila muombe akupe mbinu alizotumia kufikia hapo alipo
 
Wachaga uwaachie fuko la hela si utakuta hao wasimamizi na familia zao ndio wananufaika na hizo hela pekeyake huku wengine wakilia lia na ukata! Unawajua wachaga kweli au unawaona kwenye TV?
Wachaga Wala hawapendi kua viongozi, wachaga wanapenda biashara na ni wabunifu.

Katika biashara kunahitaji uthubutu na wachaga ni "risk takers". Wachaga kichwani wapo vizuri na ndo maana unaona hata wazungu walipokuja Tanganyika waliwekeza Sana kwenye Elimu. Na ukumbuke pia wachaga waliwah kuanza siasa na magazeti yao kabla hata ya ukoloni na ndo maana unaona huko walikosambaa Arusha, Kilimanjaro na Dar wakizinguliwa na wabunge wanaweza kuchagua hata opposition bila kuogopa.

Kizuri zaidi wengi wamesoma na pia waliwasomesha watoto wao. Na Wana misimamo hata kwenye maswala ya uongozi ref. Professor Mkenda hakukubali kigwa afanye mambo "sio".

Ni kawaida hapa Africa mtu mwenye mafanikio anazushiwa, ushamba Sana kumwita hustler eti ni Freemason wakati yeye akipambana usiku na mchana wewe umelala. Hii haina tofauti na kwa mambo wachaga wanazushiwa, wao wanapambana na fursa na ubunifu katika KAZI wengine wamelala na kusubiri ajira, matokeo yake mnawaita waizi. Ulishawahi kuibiwa na mchaga nini????

Tukatae tukubali kwa hapa Tanzania mchaga, muhindi na mpemba ndo wanafahamu pesa iko wapi na wataileta kwenye mzunguko. Ukiwazingua hawa pesa lazma ilete tabu. Mchaga, mhindi na mpemba wanafaham biashara mnoooo
 
Maeneo hayo ni Wakabila hilo ndilo tatizo na walizoea kubebwa sana awamu zilizopita. Jamii imebadilika na sisi kusini na magharibi Kigoma tunajitambua
ukabila wao uko wapi sasa? that my question?
wamezoea kubebwa? nadhani watu wa maeneo hayo wangekuwa jamii ya mbeleko nadhani wangekuwa jamii ya wavivu. isiuojituma.. maskini wa kutupwa.
probably wasingekua ma maendeleo waliyokuwa nayo leo.
kielim wangekuwa nyuma sana...

lakin haiko hivyo? kwann,?
 
Acha ubinafsi! Mkoa gani watu hawajitambui. Watanzania wote kutoka mikoa yote bara na visiwani tunajitambua.
sijasema mikoa mingine hawajitambui. ila wao waliwahi kuionja elimu toka enzi za mkoloni.
is why wamekuwa wagum kutawalika na wanasiasa wajanja wajanja.
pale mwanasiasa unapotaka kuwaburuza.. wao wanafaham haki zao.. wanajua nn wafanye..wapi waende.
Sio watu wa mdio mzee
 
Tanzania tumerudi nyuma sana. Haya tunayojadili leo hayakuwepo miaka ya sabini, Mwalimu alimaliza yote miaka ya sitini. Mtu yeyote anayehubiri ukabila ni ishara ya udumavu wa akili. Popote ukianza kuangalia watu kwa makabila yao basi ujue wewe ndio mkabila na sio wao. Wivu, huvivu, husda, umaskini, ujinga na mengine yanayo fanana na haya ni chanzo cha neno ukabila.
 
Back
Top Bottom