Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Wao hujiona walizaliwa kutawala tu,tatizo Mungu si Yohana, na wakipata tu tu madaraka hawaachiagi hawa.Haya twende na mifano
Mbatia tangu awe mwenyekiti wa chama chake hajawahi toka.
Mrema tangu awe mwenyekiti hajawahi kuachia kiti pamoja na uzee.
Mbowe tangu awe mwenyekiti hajawahi kuachia wengine.

Halafu uwape urais wa nchi watatawala mpaka wafie Ikulu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Ikulu wataendelea kuisikia kwenye magazeti.

Waendelee tu kuuza mitumba kwa kweli...
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Wakipelekwa Kwa Lengo la kubomoa na kuumiza watu wasisemwe? Mbona Siha, Moshi Mjini na Vijijini hatujasikia ya Hai? Shida ilikuwa kummaliza FM tuu. Nokia hii watu wako Peace, Wapendwa Maendeleo na kujituma. Ndio mikoa ambayo Wanafunzi kuanzia Msingi wanakula Lunch
 
Hoja zimeenda skonga kabisa....
Kaskazini hamna ujinga, usisahau ujinga ndio mtaji wa ccm.
kwa hiyo mikoa mingine ni wajinga.........
kwa hiyo amuoni huu ujinga wa kuamini hivi ndio unawafanya mjione ninyi ni special sana kumbe sivyo...
 
kwa hiyo mikoa mingine ni wajinga.........
kwa hiyo amuoni huu ujinga wa kuamini hivi ndio unawafanya mjione ninyi ni special sana kumbe sivyo...
Rafiki angu nakusalimia katika jina la jamhuri.... mbona msg angu kule hukuijibu 😁

Point of correction: hapo kwenye nyie mimi ni kama wewe na unajua 😁, mi mtu wa rock city lakini kaskazini nawakubali sana kwenye swala zima la kujielewa na kudai haki zao.

Hebu weka siasa pembeni, kanda ya kati Dom specific ni ngome za chama miaka rudi miaka nenda palifanywa nini????
Narudia tena ujinga na umasikini ni mtaji wa chama
 
Kuna RC mmoja mtu wa usalama alikua anaitwa ntibenda nadhani aliwahi kua DC karatu pia huyu jamaa nadhani ni mtu wa kibondo alipendwa sana Arusha hakua na mambo ya kishamba hakubagua wapinzani, alipoondolewa Arusha watu walisikitika sana
 
Wao hujiona walizaliwa kutawala tu,tatizo Mungu si Yohana, na wakipata tu tu madaraka hawaachiagi hawa.Haya twende na mifano
Mbatia tangu awe mwenyekiti wa chama chake hajawahi toka.
Mrema tangu awe mwenyekiti hajawahi kuachia kiti pamoja na uzee.
Mbowe tangu awe mwenyekiti hajawahi kuachia wengine.

Halafu uwape urais wa nchi watatawala mpaka wafie Ikulu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Matako wewe
Unaongea uongo mweupe kabsaa mchana jua linawaka
Pumbavu mkubwa wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mmmh, wenzio ni special, CHADEMA. Kumbuka Mrema from nowhere akawa mgombea enzi za TLP vyama vingi mwanzoni kabisa ilibidi Nyerere atoke mapumzikoni amnadi Mkapa? Bado akachukua viti vyote Mkoa huo tukajiuliza kulikoni?

Usisahau pia wana Airport 3 za kimataifa, within 45 kilometres of each other, lakini Chato kilometa 400 from anywhere wanasema ukabila? Pia Unajua wana Vyuo Vikuu 5, lakini ukijenga VETA moja tu kwa Kassim Majaliwa wanasema ukabila? Ni wabinafsi mno ona hata vitimaalum.

Mind you, to be very fair, Wachagga wa kawaida ni Watanzania wazuri tu; shida ni ruling elites kina Mbowe. Ya Lowassa hatujayasahau (aliitwa na Maaskofu wa KkKT, yeye na Sumaye), wengi weshawajulia, wakajiona ni ujinga hata Lowassa mwenyewe. Sasa wameabza kumtishia Samia.
Kama kuna kaukweli fulani hivi.
 
Rafiki angu nakusalimia katika jina la jamhuri.... mbona msg angu kule hukuijibu 😁

Point of correction: hapo kwenye nyie mimi ni kama wewe na unajua 😁, mi mtu wa rock city lakini kaskazini nawakubali sana kwenye swala zima la kujielewa na kudai haki zao.

Hebu weka siasa pembeni, kanda ya kati Dom specific ni ngome za chama miaka rudi miaka nenda palifanywa nini????
Narudia tena ujinga na umasikini ni mtaji wa chama
wapi uko mwl sikujibu sms? kwa hiyo kule kwingine paliendelea kwa kuwa si ngome ya chama? kwa hiyo chama hicho hicho kilicho kataliwa kikapeleka maendeleo uko?
 
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.

Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa

Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?

Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana

Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.

Wasalaaam
Siku hizi sitaki kabisa mambo ya kuzungumza kwa mafumbo. Una maana hujui ukabila wa kanda hiyo? Tatizo umekosea kidogo; Tatizo liko Kilimanjaro na ni zile wilaya za uchagani. Mbona hili tumelijadili miaka mingi? Ni wabaguzi tangu kijijini hadi mkoani. Hadi makanisani padri lazima awe mchaga. Nilisoma pale Moshi eti tunatangaziwa kanisani mwenzao kanunua mabasi ya kuelekea Dar na Moro, tumuunge mkono. Waalimu kodisheni magari ya mwenzetu, bhala bhla! za ukabila ni kila kona.

Fika vijiji vya wachaga, angalia waalimu ktk shule za msingi hadi sekondari. Waalimu ni wachaga, hawataki kabila jingine. Angalia watendaji wa vijiji na kata. baada ya hapo sasa kuna wakuu wa wilaya na mkuu wa mkoa. Hawa ni wateule wa rais na wana vyombo vya mabavu. Hawana ubavu nao, lakini wananchi wanawaona kama ni wavamizi. Wanataka nao wawe ni wachaga!! Mpuuzi mmoja akikamatwa na vyombo husika kelele zinapigwa toka kwenye paa za nyumba; Tunaonewa! tunanyanyaswa! .......
 
Akili Mingi so watawala wajinga hawawakubali mambo kama hayo nafanyie Songea huko ambako kwao cccm wanaona kama mungu
Sijawahi soma na mchaga akaonesha ni genius. chuo Kikuu nilichoshuhudia ni waalimu wa kichaga kutoa marks za bure kwa wanafunzi wa kichaga.
 
Back
Top Bottom