πππ sawa bwana, labda kwenu huko, kwetu bia iilikuwa 600-700 back then hiyo '97Mpaka mwaka 2003 kwa hiyo hiyo mia mbili mtu alikuwa anakunywa supu chapati na soda anabaki na Tsh 20 ya kunywa maji ya kiroba .
Yaani unajikuta mdomo wazi wakati mwingine Kwakweli, dah!!Dunia inamengi saaana
Bia gani?πππ sawa bwana, labda kwenu huko, kwetu bia iilikuwa 600-700 back then hiyo '97
Great Thinker..!Mbona kama inaonekana ni risiti za malipo ya michango ya chama chao cha kufa na kuzikana?
Hakuna cha ajabu hapo
Watu mnachuki aisee.Uo ndo utajiri wa wachagga! Hii mijitu miuaji!
KwenyeTukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Tukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Wenye mamlaka ya kutoa risiti za vifo ni RITA, je izo zinazosemekana kuwa ni risiti zina muhuli wa RITA?, kama hakuna, zisiitwe risiti mana ni upotoshaji.Tukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Mbona kawaida tuAaaah, habari hii inatisha na kusikitisha!
Mkuu kongole. Jamaa anadanganya eti haya mambo ni ya nyumba za matajiri. Ukweli ni kwamba ushirikina na umaskini ni ndugu. Maskini huwa wanajaribu kudanganya kuwa ili uwe tajiri eti mpaka uwe mshirikina. Hii ni namna ya kujiliwaza na kujidanganya na kuwafanya maskini wengi wakimbilie ushirikina.Mambo haya yanapatikana kwa familia maskini zinazoamini bila kuwa mshirikina hutoboi.
Angalia nyumba hiyo ni ya mtu fukara
Hiyo familia ichunguzwe sana.Kwenye
Wenye mamlaka ya kutoa risiti za vifo ni RITA, je izo zinazosemekana kuwa ni risiti zina muhuli wa RITA?, kama hakuna, zisiitwe risiti mana ni upotoshaji.
Noma mwanangu... yani unakuta mtu anapambana kutuaminisha kwamba hili tukio ni la kawaida.. eti ni michango ya rambirambi imewekwa kwenye risiti πNaona Wachawi wa JF wamevamia huu uzi wanajaribu kutuaminisha kwamba hicho kifo ni cha kawaida,hizo risiti ni za mchango wa msiba ,n.k. Oya acheni kuroga wenzenu nyie mafala,msitake kuhalalisha uchawi wenu hapa.
Very hard to imagine mkuu, kifo hicho ni cha kikatili sana kwa kiumbe kama mtoto wa miaka 11 asie na hatia...binafsi hii inanipa kutomwamini kiumbe aitwae binadamu hata kwa sekunde moja.Dah, wanadamu tumekuwa wanyama sana apumzike kwa Amani π’ mtoto amepitia maumivu makali sana
Kilichoandikwa ndio unachokiona, usibadili ili ujifurahishe.na 1997 nazan ni 2017
97 juzi tu hapo, 200 haikuwa na ukubwa wowote wa kivile... hela ya sunvita 2 tuMia mbili ya mwaka 97 ilikuwa kubwa
Itakuwa milion 200 mzee.Mia mbili nadhani ni 200k
Kwanza Mimi ni mama sijazeeka badoItakuwa milion 200 mzee.
200k kisha unyofoe roho ya mtu dah! Hata mnyongaji wa serikali halipwi that low