Jamaa una chuki moja mbaya sana na hiyo umeirithi kutoka kwa wazee wako.Uo ndo utajiri wa wachagga! Hii mijitu miuaji!
Tunaandamana liniMpare na mchaga ni kama kyupi na kota......mchaga kwenye ndumba ni mweupee,,,,ni wateja wakubwa wa ndumba za wapare na watu wengine wa Tanga
Sawa SawaKwa wapare...........acha tuone
KeshoTunaandamana lini
Ukifuatilia vizuri taarifa za serial killers wengi hapa nchini, siyo matajiri…. Ni masikini wa kutupwaNyumba za watu hasa matajiri zina siri nyingi wakuu, unadhani kumiliki pesa ni suala lelemama. Kuna tofauti kubwa sana ya kumiliki pesa na kupata pesa... Kama ni kupata pesa wote tunapata ila kipengele ni pale kwenye kuzimiliki sasa!
Sahv kaamua kuandika makala tuMbona ghafla sana?
Sativa awepo lakini
Wengi wanawafanyia kazi hao wateja wao......unakuta hivyo vitu anaehitaji ni mganga na mteja alishatoa hela ili vipatikane kwa ajili ya kazi zao,,,,,,,,,,,wauaji wengi ni wafanyakazi wa vilinge, na tunaishi nao uraiani bila kuwashtukia sababu wanakuaga na shughuli nyingine na unaweza ukawaona ni watu wa hali za kawaida tu au ni masikini fulani,,,ila nyuma ya pazia wana yaoUkifuatilia vizuri taarifa za serial killers wengi hapa nchini, siyo matajiri…. Ni masikini wa kutupwa
I think we are twisting the narrative ili kujipa moyo tu
Rambi rambi ndio iwe sh 100.....
Bado maelezo zaidi yanahitajika,kuelewa hizo risiti sio kazi ndogo.
Ada ya tsh 100,200,kwa ajili ya kifo mbona ni vitu visivyoeleweka?,Je ni vifo kweli au wameamua kutumia neno "Vifo" kumaanisha kitu kingine?
Pia inawezekana ni mchango wa chama kwa ajili ya rambirambi kwa waliofiwa.
Still…. Mtoa roho ni masikiniWengi wanawafanyia kazi hao wateja wao......unakuta hivyo vitu anaehitaji ni mganga na mteja alishatoa hela ili vipatikane kwa ajili ya kazi zao,,,,,,,,,,,wauaji wengi ni wafanyakazi wa vilinge, na tunaishi nao uraiani bila kuwashtukia sababu wanakuaga na shughuli nyingine na unaweza ukawaona ni watu wa hali za kawaida tu au ni masikini fulani,,,ila nyuma ya pazia wana yao
Na hatoi kwa kujifurahisha tu hasa kwa huku Africa,,,wanakua tayari wameshatumwaStill…. Mtoa roho ni masikini
Mkuu mbona sasa natafuta konekshen pande hizo nakosa ?Ndio pigia mstari kabisa...............matajiri wengi wa kaskazini wanaotumia ndumba ,,wataalam wao ni kutoka upareni na mkoa wa Tanga
kuna mtu anafiwa watu 11 tarehe ya moja?.....
Bado maelezo zaidi yanahitajika,kuelewa hizo risiti sio kazi ndogo.
Ada ya tsh 100,200,kwa ajili ya kifo mbona ni vitu visivyoeleweka?,Je ni vifo kweli au wameamua kutumia neno "Vifo" kumaanisha kitu kingine?
Pia inawezekana ni mchango wa chama kwa ajili ya rambirambi kwa waliofiwa.
Mtabaki kua mafukara tu,, kila kitu ni uchawi. Akili za kimaskini. Hata mama ako anaweza kua mchawi japo anaenda kanisani kila siku.Naona Wachawi wa JF wamevamia huu uzi wanajaribu kutuaminisha kwamba hicho kifo ni cha kawaida,hizo risiti ni za mchango wa msiba ,n.k. Oya acheni kuroga wenzenu nyie mafala,msitake kuhalalisha uchawi wenu hapa.
Sio Wakinga tenahao sio wachaga ni wapare
Mpaka mwaka 2003 kwa hiyo hiyo mia mbili mtu alikuwa anakunywa supu chapati na soda anabaki na Tsh 20 ya kunywa maji ya kiroba .Sio sana, kama sikosei ulikuwa unapata soda 2 au 3