To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kuna hatari SanaArusha visanga daily
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hatari SanaArusha visanga daily
Ova
U.U.K.K. yaani watu wanaua na kupewa risiti. Ushirikina ipigwe marufuku rasmi Tz!Tukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Ngoja wakutoe kafara kwanza
Mshana JrTukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
HahahaUnapajua Makandeni wewe kule zamani naskia ukikanyaga vile vifuu vya nazi kinakusemesha 🤣😂
Mie ni mwana ukoo wa pande za huko,,,imebidi kuukana ukoo na kabila lenyewe kabisa,,,,,asee pande zile wale jamaa sio binadamu,,,,wanatoa kafara kama kamchezo flani tu kadogo na mtu hata hawazi mara mbilimbili,,,,,kikubwa rada zikishasoma tu mtu fulani anatakiwa kuondoka kwa mustakabali wa neema za familia unaondolewa fasta, kwenye msiba watajifanya kulialia hapa na pale ila ukishapita msiba mambo yanaendelea kama kawaida inasubiriwa awamu ya mtu mwingine tenaUnapajua Makandeni wewe kule zamani naskia ukikanyaga vile vifuu vya nazi kinakusemesha 🤣😂
Aiseezamani ngarenaro ilikua ndo hatar lakin sasa hivi sokoni 1 na daraja mbili ni balaa
Anajitoa ufahamu huyo... itakua ni member.Vipi kuhusu kukutwa kwa viungo vya mtoto wa miaka 11? Pia ni mchango au geresha?
Mbona kawaida tu mkuuHili jambo ni la kikatili sana
Vimto tsh 75/-Sio sana, kama sikosei ulikuwa unapata soda 2 au 3
yani mara hii tu ushabadilisha avatar picha? Ebu sogeapo hapa karibu yangu nikupe "jotho".Aisee
Vimto tunakunywa sana huku Sweden soda tamu sana ya strawberry maamaee.Vimto tsh 75/-