Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu wa Jamii ya Maasai wa Ngorongoro na Loliondo yuko Jukwaani anatema cheche.
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.

Usiondoke JF.

View attachment 2918030View attachment 2918031
View attachment 2918101View attachment 2918106View attachment 2918107View attachment 2918108
View attachment 2918167
Jogging linaendelea arusha yaani wananyoosha tu viungo maandamano hayana effect yeyote kijamii wala kisiasa ukiiuliza wanasema tunafikisha ujumbe

Yaani ujumbe afu hakuna kusikilizwa ni lijogging tu
 
Vipi hilo tambiko lako uwanja wa Sheikh Amri Abeid?
Screenshot_2024-02-27-15-50-38-1.png
 
27 February 2024
CILAO asasi ya wanaharakati wanaochagiza Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora waunga mkono maandamano Arusha awapongeza chadema kwa kutafuta haki kwa njia ya amani.


View: https://m.youtube.com/watch?v=Sc4L-Et0Ebw
CILAO is the National Advocacy Organization that aim at Promoting and Protecting :Human Rights, Democracy, Good governance in Tanzania
 
Back
Top Bottom