Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mbona hamtoi habari za msiba hapo, tunaona habari za maandamano tu? Au hila imebuma?Watu tuko Sheikh Abeid kuaga ndugu zetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hamtoi habari za msiba hapo, tunaona habari za maandamano tu? Au hila imebuma?Watu tuko Sheikh Abeid kuaga ndugu zetu.
Wamepora mpaka wafiwa wamegoma kwenda uwanjani....Mbona hamtoi habari za msiba hapo, tunaona habari za maandamano tu? Au hila imebuma?
macho kama huna basi jaribu kupapasaPicha ya kimkakati hiyo,imepigwa pale watu wasipoishia ili uone ni wengi,hakuna kitu hapo
Kutoka Clocktower barabara ya Sokoine jijini Arusha Kuelekea viwanja vya reli maandamano ya wananchi kuunga mkono hoja za CHADEMA
Huku mvua ikinyesha jijini Arusha wananchi waunga mkono maandamano ya CHADEMA kwa kujitokeza kwa wingi
View: https://m.youtube.com/watch?v=kJWtgW9FlgY
Njaa na Ugumu wa Maisha ni hatari kuliko mvuaHakuna kukimbia Mvua.🫡✌️✌️✌️
Google Lady Godiva, statue yake ipo pale UK(C.city)Kweli?
Vipi hilo tambiko lako uwanja wa Sheikh Amri Abeid?Nipo Live hapa relini Mji ni Mafuriko jomba...
Professor Victor Chisanga, a seasoned academic in architecture who has taught for 35 years at Ardhi University in Dar es Salaam in engineering architecture...
Unateseka ukiwa wapi jini maimuna !!!!Sawa!.
But uandikage ukweli acha kuchaji akili za watu dogo!.
Eti "Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika. "
Jogging linaendelea arusha yaani wananyoosha tu viungo maandamano hayana effect yeyote kijamii wala kisiasa ukiiuliza wanasema tunafikisha ujumbeKama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.
Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.
Usiondoke JF.
View attachment 2918030View attachment 2918031
View attachment 2918101View attachment 2918106View attachment 2918107View attachment 2918108
View attachment 2918167
MMERU?Naam.
Vipi hilo tambiko lako uwanja wa Sheikh Amri Abeid?