Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?

Kuna muda Pascal Mayalla anarudi na kujiteka mwenyewe. Niseme pia maisha ni bahati unaweza ukasifia sana na usibahatike kamweee

Unaweza ukatumia akili mno na usipate kitu, unaweza kuwa mropokaji na ukapata kila kitu mpaka usivyokua ukihitaji.
Mkuu Tape measure sijui ni kwanini watu humu mnadhani natafuta uteuzi?. Hili mbona nimelisema sana tuu humu! Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza! na hata makala nimeliandikia
Hiki ninachofanya sasa
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=rvw5xRKq8ry8fDN_Kina maslahi makubwa kwa taifa kuliko ningeteuliwa position yoyote!.
P
 
Bandiko hili liliomba mambo 4.
1. "tunaamini soon Rais Samia ataruhusu mikutano ya vyama vya siasa,:"
2. ataifanyia marekebisho Tume yetu ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuifanya kuwa tume huru zaidi na shirikishi,
3. atazifanyia marekebisho sheria kandamizi zinazonyima haki
4. sheria batili, kwasababu zinakwenda kinyumbe cha Katiba ya JMT, ubatili huo, bado umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!.

Rais Samia ametimiza mambo matatu, bado moja hili la katiba.
Tuendelee kumuombea ili hili aliweze.
P
 
Mkuu Lax karibu pande hii ushuhudie.
P
 
Reactions: Lax
Kwa vile leo ni birthday ya Rais Samia, nawaomba wana jf wote ambao ni well wishers, tuungane kumu wish Happy Birthday this lovely lady Rais wetu mpendwa, Rais wetu mpenzi, Rais wetu kipenzi, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, Chifu wa kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, ambayo Kanda ya kabila hilo ndio Kanda determinant ya kura za urais wa JMT, Chifu Hangaya. View attachment 2497334
Happy Birthday.

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…