Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #81
Mkuu Tape measure sijui ni kwanini watu humu mnadhani natafuta uteuzi?. Hili mbona nimelisema sana tuu humu! Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza! na hata makala nimeliandikiaKuna muda Pascal Mayalla anarudi na kujiteka mwenyewe. Niseme pia maisha ni bahati unaweza ukasifia sana na usibahatike kamweee
Unaweza ukatumia akili mno na usipate kitu, unaweza kuwa mropokaji na ukapata kila kitu mpaka usivyokua ukihitaji.
Hiki ninachofanya sasa
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=rvw5xRKq8ry8fDN_
Kina maslahi makubwa kwa taifa kuliko ningeteuliwa position yoyote!.
P