Asanteni sana mashujaa wetu Yanga, Wananchi hatuna cha kuwadai, cha msingi tumemkanda Mwarabu kwao

Asanteni sana mashujaa wetu Yanga, Wananchi hatuna cha kuwadai, cha msingi tumemkanda Mwarabu kwao

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Waarabu walicheza mbele ya mashabiki wao full house, viongozi wote wa CAF wakiwa uwanjani kushuhudia fainali Yanga imemkanda Mwarabu kwao na aggregate ni 2-2, Waarabu wananufaika na kanuni za mashindano, Ulaya hakuna upumbavu huu kwa level ya fainali.

Sisi wananchi hatuna la kuwadai mashujaa wetu wamepambana kwa jasho na damu.

Tuna medali, tuna kiatu cha dhahabu cha mfungaji bora Mayele, tuna Man of the match Diara.

Thank you our heroes.
FB_IMG_1685849272973.jpg
FB_IMG_1685829131664.jpg
FB_IMG_1685811806971.jpg
 
👀😅😁😄😆😂😂👀😂😆😄😁😅
 
Hii nchi uhuru umezidi sana! Yaani sisi mashabiki wa Yanga kwa kauli moja tumeamua kuipongeza timu yetu baada ya kuridhishwa na kiwango chao msimu huu!!

Cha kushangaza kuna mimbumbumbu inaumia!! Hivi hata ujasiri wa kuchangia kwenye huu uzi sijui yanautoa wapi!!

Imagine msimu mzima timu yao haijaambulia chochote, huku wananchi wakichukua Ngao ya Jamii, Ubingwa ligi kuu, msindi wa pili kombe la shirikisho Barani Africa, na tarehe 12 Juni wanacheza fainali nyingine ya ASFC!!


Kweli Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu.
 
Back
Top Bottom