Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Tuambie wewe uliishia wapi, tuonyeshe ata medali ya wizi uliyonayo, kichwa umepewa kitunze akili wewe umetunza makamasi tu!Kuipongeza timu iliyokosa ubingwa mbele ya timu inayoshika nafasi ya kumi kwenye ligi ni zaidi ya UTAHIRA.
PoleHii nchi uhuru umezidi sana! Yaani sisi mashabiki wa Yanga kwa kauli moja tumeamua kuipongeza timu yetu baada ya kuridhishwa na kiwango chao msimu huu!!
Cha kushangaza kuna mimbumbumbu inaumia!! Hivi hata ujasiri wa kuchangia kwenye huu uzi sijui yanautoa wapi!!
Imagine msimu mzima timu yao haijaambulia chochote, huku wananchi wakichukua Ngao ya Jamii, Ubingwa ligi kuu, msindi wa pili kombe la shirikisho Barani Africa, na tarehe 12 Juni wanacheza fainali nyingine ya ASFC!!
Kweli Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu.
Mmekufa kifo gani vileeeee😅😅😅?Hii nchi uhuru umezidi sana! Yaani sisi mashabiki wa Yanga kwa kauli moja tumeamua kuipongeza timu yetu baada ya kuridhishwa na kiwango chao msimu huu!!
Cha kushangaza kuna mimbumbumbu inaumia!! Hivi hata ujasiri wa kuchangia kwenye huu uzi sijui yanautoa wapi!!
Imagine msimu mzima timu yao haijaambulia chochote, huku wananchi wakichukua Ngao ya Jamii, Ubingwa ligi kuu, msindi wa pili kombe la shirikisho Barani Africa, na tarehe 12 Juni wanacheza fainali nyingine ya ASFC!!
Kweli Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu.
Unanipa pole ya nini sasa!! Kuumia uumie wewe, halafu pole unipe mimi!
Usiwaangushe.Wao ni "mabingwa wa pili"!😂😂😂😂Kuipongeza timu iliyokosa ubingwa mbele ya timu inayoshika nafasi ya kumi kwenye ligi ni zaidi ya UTAHIRA.
Na huu ndo ukwelimnajifariji .mwenzenu alikua na mtaji wa bao 2.wala hakuwa na presha ya kutafuta magoli.BAO LA UGENINI TAMU
Poleni, ishakwisha hiyo, msivisumbue vichwa kwa kuendelea kuwaza "tungecheza hivi". Najua usiku wa jana haukuwa mzuri.Tuambie wewe uliishia wapi, tuonyeshe ata medali ya wizi uliyonayo, kichwa umepewa kitunze akili wewe umetunza makamasi tu!
Pole.Unanipa pole ya nini sasa!! Kuumia uumie wewe, halafu pole unipe mimi!
Mimi hapa nilipo, nimejaa furaha tele kutokana na mafanikio makubwa yaliyofikiwa na timu yangu msimu huu.
Vipi kuhusu wewe mwenzangu! Msimu umeisha. Timu yako imevuna nini? Hata medali ya bati tu hamjapata.
Rage ana mademu wengi sana huko Yanga hamuishi kumtaja taja jinsi anavyowapelekea moto.Hii nchi uhuru umezidi sana! Yaani sisi mashabiki wa Yanga kwa kauli moja tumeamua kuipongeza timu yetu baada ya kuridhishwa na kiwango chao msimu huu!!
Cha kushangaza kuna mimbumbumbu inaumia!! Hivi hata ujasiri wa kuchangia kwenye huu uzi sijui yanautoa wapi!!
Imagine msimu mzima timu yao haijaambulia chochote, huku wananchi wakichukua Ngao ya Jamii, Ubingwa ligi kuu, msindi wa pili kombe la shirikisho Barani Africa, na tarehe 12 Juni wanacheza fainali nyingine ya ASFC!!
Kweli Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu.
Sio watanzania wote ni Utopolo mpaka unataka kuwapangia namna ya kufurahi. Tulia kenge Wewe mkitaka kupongezana jikusanyeni kidimbwi.Hii nchi uhuru umezidi sana! Yaani sisi mashabiki wa Yanga kwa kauli moja tumeamua kuipongeza timu yetu baada ya kuridhishwa na kiwango chao msimu huu!!
Cha kushangaza kuna mimbumbumbu inaumia!! Hivi hata ujasiri wa kuchangia kwenye huu uzi sijui yanautoa wapi!!
Imagine msimu mzima timu yao haijaambulia chochote, huku wananchi wakichukua Ngao ya Jamii, Ubingwa ligi kuu, msindi wa pili kombe la shirikisho Barani Africa, na tarehe 12 Juni wanacheza fainali nyingine ya ASFC!!
Kweli Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu.
🚮Sio watanzania wote ni Utopolo mpaka unataka kuwapangia namna ya kufurahi. Tulia kenge Wewe mkitaka kupongezana jikusanyeni kidimbwi.
Simba hawakufa kiume, Bali walikosa nguvu za kiume.si tulikubaliana hakuna kufa kiume ?
Mimi binafsi matokeo yale nimeyapokea kama alivyoyapokea Karia
Hii nchi uhuru umezidi sana! Yaani sisi mashabiki wa Yanga kwa kauli moja tumeamua kuipongeza timu yetu baada ya kuridhishwa na kiwango chao msimu huu!!
Cha kushangaza kuna mimbumbumbu inaumia!! Hivi hata ujasiri wa kuchangia kwenye huu uzi sijui yanautoa wapi!!
Imagine msimu mzima timu yao haijaambulia chochote, huku wananchi wakichukua Ngao ya Jamii, Ubingwa ligi kuu, msindi wa pili kombe la shirikisho Barani Africa, na tarehe 12 Juni wanacheza fainali nyingine ya ASFC!!
Kweli Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu.
Kwani wewe ni Mwananchi? mbona kama kipere G kinakuwasha?Mashujaa wako mm usinishirikishe😂😂😂