Asanteni sana mashujaa wetu Yanga, Wananchi hatuna cha kuwadai, cha msingi tumemkanda Mwarabu kwao

Mimi shabiki wa USM Alger na hii thd inahusu Yanga vs USM Alger,sasa hicho kituko ulichopost kinahusiana nini na hii thd?
 
Hii jf na hili suLa la yanga kufika fainali limenifundisha mambo mengi sana lakini kubwa ni uwezo wa kufikiri wa mtu mweusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…