Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume

Oa utulie acha utukutu
 
h
Njoo tubanane hapahapa mkuu kuna ka nafasi hapa!
Hili jibu ma nazazi yamelipendaaaa duuu! ukichanganya na kapicha mwee! sijui wamerogewa chini hawa??nilikuwa naona maafanbe walivyokuwa wana shobokea makuruta wa kike loooo! haifi ile! hata kuku, mbwa, nyau yaani
 
Kwa kuwa mtunzi wa hii makala ni mwanaume basi sita amini.. HOW DO YOU KNOW WHAT WOMEN WANT WHEN YOU'RE NOT A WOMAN ?
 
Athanteee yule mtoto wa mama mkwe kweli siku nilikutana nae kikazi moyo ulistuka ila ndo hivyo dah yule kaka majuu sana he is smart he speaks nice anyway!!!! Kazi ya macho ni kuona kweli ukimuona mtu face to face ndo majibu unapata. Anywayyyyyyyy
Hongerah kwa kuopolewa naye.
 
Hongerah Mkuu. Sasa ulimkula kimasikhara au hii tuiache kwanza.
 
Aisee. Ninahisi ninahitaji kufanyia kazi suala la six packs.
 
Sawa acha tubuni tozo nyingine ili akil mbovu mbovu kama hiz ziwakae sawa vijana ..Mnawaza waza ngonoooo tu mara kunyegeshana mara kulowanishana..

Ngoja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…