GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #201
Kumbe tupo wengi😃Watu wanaweza dhani ni chai ila kweli kabisa, mie nimejifunza saving kwa ajili tu ya kusoma kitabu LOVE YOURSELF PAY YOURSELF FIRST nimetoa mule mbinu na kuibeba kama ilivyo imefanya kazi na inaendelea kufanya kazi.
Ongeza na THE RICHEST MAN IN THE BABYLON unakuwa kama muhindi.[emoji1787][emoji1787]Watu wanaweza dhani ni chai ila kweli kabisa, mie nimejifunza saving kwa ajili tu ya kusoma kitabu LOVE YOURSELF PAY YOURSELF FIRST nimetoa mule mbinu na kuibeba kama ilivyo imefanya kazi na inaendelea kufanya kazi.
Nmeanza kukisoma kina ile Old English ya thee, thy basi mtafutano.....ila nitakisomaOngeza na THE RICHEST MAN IN THE BABYLON unakuwa kama muhindi.[emoji1787][emoji1787]
Hili kwangu ni tatizo sugu kushika kitabu nisome ,sijuiSijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.
Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.
Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.
Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.
Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.
Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"
Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?
Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.
Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.
Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.
Soma vitabu vizuri, hutajutia.
Wanasema, LEADERS ARE READERS!
Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!
Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.
😅😅😅Hongera sana mkuu! Ila usije ukaacha kazi kama rafiki yangu😀
Alikuwa Mwalimu wa Sekondari! Baada ya kukisoma kitabu nilichompatia - WHO WILL CRY WHEN YOU DIE by Robin Sharma, "aligundua" kuwa kazi aliyokuwa akiifanya siyo aliyopaswa kuifanya, akaamua kuiacha na kwenda kwenye "yenyewe"
Tumia dictionary inaitwa wordweb au English shwahili dictionary hakuna kitu kimeachwa sometimes kimondo kikinishinda naangalia humo kwenye hzo dictionary.Nmeanza kukisoma kina ile Old English ya thee, thy basi mtafutano.....ila nitakisoma
Thanks, nikikwama huwa naangalia maana zake kwenye (gugu) translate.Tumia dictionary inaitwa wordweb au English shwahili dictionary hakuna kitu kimeachwa sometimes kimondo kikinishinda naangalia humo kwenye hzo dictionary.
Naomba pdf ya kitabu cha everyday hero manifesto cha Robbins Sharma kama unacho.Thanks, nikikwama huwa naangalia maana zake kwenye (gugu) translate.
Mkuu kama una kitabu cha everyday hero manifesto pdf book cha Robbins sharma naomba au yoyote mwenye nacho nakiomba nimekitafuta sana bila mafanikio.Kumbe tupo wengi[emoji2]
Hapana ndugu yangu sina, afu hata sijuagi site ya kupata vitabu. Mie huwa naomba tu kwa watu natumiwa.Naomba pdf ya kitabu cha everyday hero manifesto cha Robbins Sharma kama unacho.
Maana nimekitafuta ebook sijakipata nikidowload Google inaniletea SUMMARY wakati mimi nataka fully ok thanks for your response.Hapana ndugu yangu sina, afu hata sijuagi site ya kupata vitabu. Mie huwa naomba tu kwa watu natumiwa.
Zama kule bookworms wadau hawakosi....Maana nimekitafuta ebook sijakipata nikidowload Google inaniletea SUMMARY wakati mimi nataka fully ok thanks for your response.
Sawa nitafanya hvyoZama kule bookworms wadau hawakosi....
Jitahidi kusoma na vya Kiswahili ili kuboresha Kiswahili chako.Sijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.
Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.
Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.
Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.
Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.
Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"
Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?
Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.
Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.
Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.
Soma vitabu vizuri, hutajutia.
Wanasema, LEADERS ARE READERS!
Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!
Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.
Mbona wazee wa Kiislam wanakataa, wanasema kukariri Kiarab ndiyo mpango mzima wa maishaSijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.
Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.
Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.
Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.
Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.
Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"
Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?
Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.
Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.
Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.
Soma vitabu vizuri, hutajutia.
Wanasema, LEADERS ARE READERS!
Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!
Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.