GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Safi sana mkuu! Keep it up.Hakika yake,
For wonderers and adventurers!
Vitabu vinakusafirisha kiakili utajikuta places na nyakati zisizofikika kabisa.
tuwahimize watoto wetu kusoma ni utamaduni mzuri sana, kuna majibu mengi ya changamoto zetu kwa namna ya tofauti ya kipekee sana, mimi nasoma naye page kwa page, tunaulizana tumejifunza nini? author kafail wapi, kafaulu kufikisha ujumbe gani nk
It sharpens his mind zaidi na zaidi, siyo rahisi kwa sababu ya hizi games na animated series ila tunapambana hivyo hivyo kuna kukasirikiana kabisa lakini tunasonga.
Naamini, kama alau nusu ya the so called Wasomi nchini mwetu wangevidhamini Vitabu zaidi ya wanavyodhamini vyeti vyao, kungeweza kuleta utofauti mkubwa sana. Usomi wao ungethihirika kwa vitendo!!!
Kwa mara nyingine tena, hongera! Unamwonesha mwanao njia sahihi! Keep it up.