Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mnoko sana nasikia
Akiacha Kazi atakuwa salama maana atokuwa ni mwenzao so hawezi pata info zao.Na hata akiacha kazi akiajiriwa uraiyani watampa kesi ya ugaidi
alijidai mnyonge analia kwa Rais kwamba Aijipii kamshusha cheo kwa kumuonea, kilichomkuta ndio hikiKumbe alichokoza mamba
Thats where WORK FORCE DIVERSITY FALLS, Ukiwa Kiongozi watu wa aina hii kwa taasisi kubwa hawawezi kukosekana. Kilichoshindikana hapa ni weledi wa Kiutawala ndani ya Jeshi otherwise huyu Jamaaa ni Jembe sana, Jeshi lingeweza kumpa Kazi huko Madawa ya Kulevya, Bandarini, Reli, Airport, nk nk kama waliona Behaviour ya GD ameishindwa. Pole nyingi sana kwa Mzalendo huyupamoja na kwamba Afande IGP hakulihandle vizuri swala la huyu askari lakini pia huyu askari anaonekana anashida mahari
Huwezi kugombana na askari wenzako na mpaka mkuu wa jeshi kabisa ukagombana nae pia huwezi kuongea kila kitu Cha jeshi kwa majeshi mengine yaani unawaamini usalama wa taifa pasipo kumuamini aliekuajiri,tena unaenda kumchomea kwa rais kabisa na tena ni askari wa cheo kidogo Cha chini kabisa haifai kabisa
Sawa kiongoziAcha kebehi basi kwangu hiyo video ilikuwa Kama picha tu sikusikiliza laiti ningeiona nisingeuliza
Yes ,huyu askari anapiga sana kazi lakini shida yake kubwa ni anaropoka sana yaani Hana break Kuna walaka wake nilisoma unaosema IGP anataka kumuua ,Sasa unajifikilia ivi kweli wewe kama askari unaeda kuongea hadharani kwamba mkuu wa jeshi alieaminiwa na rais anataka kumuua kisa rushwa kweli ,nikijuacho mimi askari yeyote yule anafanya kazi kwa maelekezo ya viongozi wae Wala hajipangi kazi na hata akikama kitu jeshi ndio linabidi li ongee kwa niaba yake sio wewe unaropoka ropoka tu then unamlalamikia vyeo ,vyeo ivi kweli vyeo nivyakulalamikia kiasi kwamba ukosane na muajiri wako ,na ndio maana nikasema askari huyo anawalakini kidogo ,afu IGP ndio ana mandate ya kufukuza Askari wa cheo Kama chake Sasa IGP sio mjinga kiasi icho mpka aamue kutoa maelekezo ya kufukuzwa kwa askari huyo bila kosa lolote na wakati anajua Malalamiko ya uyo askari yalishamfikia mpka mkuu wa inchi pamoja na waziri mkuuThats where WORK FORCE DIVERSITY FALLS, Ukiwa Kiongozi watu wa aina hii kwa taasisi kubwa hawawezi kukosekana. Kilichoshindikana hapa ni weledi wa Kiutawala ndani ya Jeshi otherwise huyu Jamaaa ni Jembe sana, Jeshi lingeweza kumpa Kazi huko Madawa ya Kulevya, Bandarini, Reli, Airport, nk nk kama waliona Behaviour ya GD ameishindwa. Pole nyingi sana kwa Mzalendo huyu
Wakubwa wanalindana na awatupani we ndo utaumia.alijidai mnyonge analia kwa Rais kwamba Aijipii kamshusha cheo kwa kumuonea, kilichomkuta ndio hiki
Tena angepata mtaji tosha,Ukikataaje Rushwa na wewe Askari??hiyo Milioni Kumi uliyoikataa kujifanya mnoko utaijutia maisha yako yote huku Mtaani[emoji23]
1. Hafai kabisaAlikuwa mnoko sana nasikia