Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Hii habari bado tu haija futwa? Mkuu alishatoa order,ifutwe,, ila hao ndiyo aina ya polisi tulionao,kwenye daladala hawataki kulipa,kwenye baa wanakuwa kero,mbususu wanatapeli,nna uhakika hata hizo chips alikwapua pahala,aende huko!
 
Hiyo force number ya jeshi gani la polisi.? Kama ni Tanzania hii hamna force number ya dizaini hiyo nadhan.
 
Hahaha

Alikuwa anatoroka,akaruka geti ...

Akangukia kichwa ....

Any way pole askari

Ova
 
Kwanza kalala njaa( chips zake hajala)pili ni mwizi (alikuwa anatoroka cm ya huyo mwanamke wake)tatu tumwesabu kama kibaka (kwa nini aruke ukuta)nne ni nanga (unaruka ukuta unafikia kichwa?)ina maana kwenye mafunzo hakupitia vikwazo?ua alikuwa doja labda.

R.i.p pot uliekufa kizembe.
Alafu ukute hata mzigo hajala.
Inauma sana
 
Sasa si angepita getini?

Unamuambia tu mlinzi, mimi askari. Unatoa kitambulisho na Radio call, over.

Umepata taarifa ya tukio fulani kutokea. Unatokomea unakojua wewe.
Huenda hakutaka macho mengi, labda ana mke akaona asijaze nzi
 
Back
Top Bottom