Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

walipekua begi la marehemu na kukuta chupa ya bia moja,chips ,radio ya mawasiliano simu mbili ikiwemo ya huyo mwanamke pamoja na vitu vingine.
Aibu sana kwa jeshi la polisi Tanzania 🇹🇿

Hivi huyu marehemu Askari kibaka mlevi alikua kichwa maji nini?

Pamoja na upoti ameshindwa kujongeza na kutumia wadhifa kweli hadi kuparamia fance za gest house 🤭😂😂😂
 
Najiuliza wamejuaje kwamba alikuwa anamtoroka mwanamke!??

Je huyu marehemu alimwambia mtu kuwa nipo na demu nakula show, ila nikimalizana nae nitamtoroka!?...
Alionekana anaingia na mwanamke ila wakati wa kutoka anatoka mwenyewe kwa kuruka ukuta ,huko nikutoroka, tena na simu ya malayer
 
Kama alinunua chips kwann hawakuila mpaka anarudi nayo?

Kama bia aliingia nayo kwann hakuinywa au kumpa mwenzie mpaka anaamua kurudi nayo?

Kama mchezo umepewa mpaka mtu kalala fofo na wakati umeingia wahudumu walijua lazima utakuwa n Askari sababu ya rediokol sasa kulikuwa na ulazima gani aruke ukuta?

Kwa mazingira yale Kama alifanikiwa kumwacha Mwanamke akiwa amelala fofofo na kumchukulia simu yake huku chakula na bia akiwa navyo mkononi pamona na kutambulika kuwa n Askari sidhan Kama alishindwa kupitia njia ya mlangoni.

Hapa kuna shida nyingine zaidi ya hili mnalojadili humu.

Nataka hilo faili litoke polisi walikete ofisini kwangu kwa uchunguzi zaid
 
Alisema majira ya saa 9 usiku askari huyo alitoka ndani ya chumba hicho na kumwacha mwanamke huyo akiwa amelala fofofo. Aliendelea kudai kuwa marehemu alikwenda nyuma ya nyumba hiyo na kuruka geti la nyumba hiyo akiwa na lengo la kumtoroka mwanamke huyo, ndipo alipoangukia kichwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali kichwani.

Taarifa zinadai kwamba baada ya mlinzi kusikia kishindo alienda katika geti hilo na kumkuta askari huyo akiwa ameanguka chini akivuja damu nyingi kwenye paji la uso na kutoa taarifa polisi ambapo majira ya alfajiri polisi wenzake walifika na kukuta amepotez maisha.
Yaani taarifa itolewe saa 9 usiku halafu Polisi wamekuja alfajiri?
 
Askarii mwizii na malayaaa wee..
Askariii we pita hukuuuu.mbwaaa wee
 
Sasa si angepita getini?

Unamuambia tu mlinzi, mimi askari. Unatoa kitambulisho na Radio call, over.

Umepata taarifa ya tukio fulani kutokea. Unatokomea unakojua wewe.
akili iyo anaitoa wap.
 
Back
Top Bottom