IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Aibu sana kwa jeshi la polisi Tanzania 🇹🇿walipekua begi la marehemu na kukuta chupa ya bia moja,chips ,radio ya mawasiliano simu mbili ikiwemo ya huyo mwanamke pamoja na vitu vingine.
Hivi huyu marehemu Askari kibaka mlevi alikua kichwa maji nini?
Pamoja na upoti ameshindwa kujongeza na kutumia wadhifa kweli hadi kuparamia fance za gest house ðŸ¤ðŸ˜‚😂😂