Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Poti mwingine huyu,mnaiba hadi mbusu?laanakhumKwa hiyo serikali iwanunulie chakula?
Na chips atoroke nazoAskali mwizi na msiba wake sihudhurii na rambirambi sitoi. Penzi ale na simu aibe?. Marehemu jambazi
Chips nazo alikua na kazi nazo?Labda alikuwa kazini, hata hyo simu aloiba alikuwa anakazi nayo...
Labda lakini.
Ukishakuwa na damu ya ukibaka unaweza ukajiibia hata wewe mwenyewe,askari wezi sanaNajiuliza wamejuaje kwamba alikuwa anamtoroka mwanamke!??
Je huyu marehemu alimwambia mtu kuwa nipo na demu nakula show, ila nikimalizana nae nitamtoroka!?...
Yaani mafunzo yote ya medani anakimbia mwanamke? Angetumia zile mbinu wanazitumia kuwadunda Chadema na vibaka.
Yaani huyu alikula ugali wa chuo Cha polisi bure
Huenda hakutaka macho mengi, labda ana mke akaona asijaze nziSasa si angepita getini?
Unamuambia tu mlinzi, mimi askari. Unatoa kitambulisho na Radio call, over.
Umepata taarifa ya tukio fulani kutokea. Unatokomea unakojua wewe.