Huyu JWTZ alitaka polisi asifanye kazi yake kisa tu yeye ni abiria ktk Hilo gariameingiliaje, fafanua, au ni ile kusimamishwa na traffick kama tulivyozoea namna wanavyoonea watu barabarani huko. kama Mungu amekujalia unamiliki gari, utakuwa unaelewa na kuwafahamu hawa viumbe. inawezekana askari wa jw alikasirika tu kutokana na traffick kumdharau wakati kicheo JW ni mkubwa kwake. tangu lini traffick police akamuonya JWTZ? tangu lini. si ndio kumkosea heshima hapo.kwanni asimwite nyau?
Wale wanaotafuta fingerprints kwenye kifaa kilichotumika kwenye mauaji wamesoma forensic chemistry mkuuHuoni ganzi forensic gani,IT??
Mamburula wote jeshini ndio wanaishia hivyo na wengine wameshastaafu,jeshi la sasa hivi ni la wasomi..sasa hivi huwezi kuingia JWTZ na division 4 kule wanaingia watu wenye taaluma zao.JWTZ kuna wanaoandika kwa shida hata majina yao. Ukitaka ushahidi njoo pm
Foresinc, IT,na upelelezi looooooo, honestly mkuu hivi vitengo tunavyo ndani ya jeshi letu la police?,police hata to secure a crime scene ni shida, police anafika kwenye eneo lililotokea ajali hajui aanzie wapi (elewa kuna procedures zake),ngoja niendelee kupata mbeta za ulanzi hapa lingusenguseForensic , IT, upelelezi, n.k
Clip nenda Instagram na Facebook huko utaiona. Acha uvivu mkuusi ukute jwtz alikuwa anamtetea raia dhidi ya police hapo. ndo maana tunaema weka clip
Aaaah sawa bhanaWale wanaotafuta fingerprints kwenye kifaa kilichotumika kwenye mauaji wamesoma forensic chemistry mkuu
Wale wanaong'amua fingerprints kwenye silaha zilizohusika ktk mauaji wamesoma forensic chemistry mkuu. Usiwaone vile hawajikwezi tu.Foresinc, IT,na upelelezi looooooo, honestly mkuu hivi vitengo tunavyo ndani ya jeshi letu la police?,police hata to secure a crime scene ni shida, police anafika kwenye eneo lililotokea ajali hajui aanzie wapi (elewa kuna procedures zake),ngoja niendelee kupata mbeta za ulanzi hapa lingusenguse
Pls mkuu, foresinc yetu ni zero, acha hizi politics, unachukua finger prints then unazipeleka wapi?,wenzetu wanapeleka to run kwenye ile database ya raia wa nchi nzima, sisi IDs zetu ni vichekesho na eti zina muda maalum wakati ID ni life book yako ,unazaliwa nayo na kufa nayo!Wale wanaotafuta fingerprints kwenye kifaa kilichotumika kwenye mauaji wamesoma forensic chemistry mkuu
Nyau ww Nani kakwambua form 4 ni usomiWewe Akili zero JWTZ ndio linaongoza kwa wasomi sasa hivi JWTZ hauingii na division 4, police division zero na darasa la saba zipo za kutosha na bado wanaendelea kuchukua vihiyo
Common mkuu,acha hadithi hii !,mimi nimetumia LMG kufanya uhalifu bank, nimedondosha hii silaha na Kuja kujificha huku lingusenguse, sasa niambie hizo finger prints zangu zita nilinks vipi na crime scene?Wale wanaong'amua fingerprints kwenye silaha zilizohusika ktk mauaji wamesoma forensic chemistry mkuu. Usiwaone vile hawajikwezi tu.
Wewe ni JWTZ hatuwaogopi, mkizingua mnazinguliwa hadi akili ziwakae sawa.Mod futa huu upuuzi
Nyingi zina-expire kabla ya 2025.sisi IDs zetu ni vichekesho na eti zina muda maalum wakati ID ni life book yako ,unazaliwa nayo na kufa nayo!
Polisi alikuwa anamuonya dereva lkn yule JWTZ kwa kimbelembele chake tu akaingilia
Umeelewa ulichoandika?Nyau ww Nani kakwambua form 4 ni usomi
Watazipeleka NIDA. Kule itaoana na kitambulisho chako cha NiDA, simu cards zako zote na kitambulisho cha uraiaCommon mkuu,acha hadithi hii !,mimi nimetumia LMG kufanya uhalifu bank, nimedondosha hii silaha na Kuja kujificha huku lingusenguse, sasa niambie hizo finger prints zangu zita nilinks vipi na crime scene?
Polisi huwa wanatumia maswali babaifu ili kumbaini mhalifu.Alikuwa akimuonya nini Dereva?