Askari wa JWTZ aliyemuua Mkewe na yeye afariki Dunia akipatiwa matibabu

Dah watoto Sasa shida wanatia hasira kwa visirani vyao yaani unakuta kakosea halafu bado analeta kisirani ona Sasa.
 
Tuelezee kidogo juu ya hyo elimu mkuu. Unaweza kutusaidia wengi
 
WE ARE THE SAD GENERATION WITH HAPPY PICTURES
 
Nmejifunza kitu kikubwa sana kwenye huu mkasa.

Imagine kama jamaa angejua before kuwa matokeo yatakuwa ni haya,nina uhakika ange control hasira zake.
 
Na ndiyo maana Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunaojijua kuwa tuna Hasira za Kishalubela ( Kikatili ) tumeshaapa kuwa hatutakuja Kuoa tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah,yaani mara pah watoto 3 ghafla wanakuwa yatima hivi hiviii,😭😭😭😭😭😭
 

Handsome kama huyu.... si angeqchana nae aoe wengine waliojaa mitaan bila waume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…