hivi jamaa angesimama tu,wakaongea vizuri kitumishi tu na akaomba radhi angepungukiwa nini,huenda hata asingelipishwa faini,tena wangekuwa marafiki na huuo trafiki,nimeamini kujishusha kunainua.
Kama ameshtakiwa mahakama ya kiraia,maana yake kuna mengine yatampata lazima.
Nakufurahisha sana,nipe mbususu😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mtu khaaaah
aisee nimejifunza sana kujishusha,kama una mwanamke ana akili akiona unaomba radhi tena kwa mtu aliye chini yako atakuheshimu sana.Sasa demu angemuonaje[emoji23][emoji23].
wanakuwa mabos hawana hizo tabia za huyo jamaa au wewe za kuita watu takataka.Mwanajeshi anaweza kuwa boss wa hizo taasisi ila huyo wa hizo taasisi hawezi kuwa mwanajeshi THINK
Mkuu wanajeshi wepi wenye maisha mazuri kuliko takataka zote,hawa hawa au wa nchi gani?. Usitake tuseme tuonekane tunalidharau jeshi. Naishia hapo.Wanajeshi wana maisha mazuri kuliko takataka yoyote Tanzania. Tatizo linakuja unavyoyatazama wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbna hunambii wee km mtoto wa kotaz, na uko kambiniiii, nianze kukuogopaaa.Nakufurahisha sana,nipe mbususu[emoji23]
Mwanajeshi siyo raia. Sheria za kiraia azimuhusu ingawa baadh ya sheria za kijeshi zinashabihana na za kiraia
Nipe mbususu tu😂,hayo mengine niachie mwenyewe, au unaonaje😋[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbna hunambii wee km mtoto wa kotaz, na uko kambiniiii, nianze kukuogopaaa.
Hilo jinga hivi hakuna namna lipewe kesi ya kujaribu kuua ?Kajifunze kwanza,sheria zote za kiraia ni sheria zinazomhusu mwanajeshi pia na zinatambulika mahakama ya kijeshi.ila za kijeshi hazimhusu raia.
Huyu kafanya kosa,tena la kipuuzi uraiani,kabla hata mahakama ya kiraia haijakaa tayari ya kijeshi imeshamhukumu na kumwacha akalale polisi akahukumiwe ktk mhakama za kiraia.
Sasa Kayumba si mdiyo shule zetu mkuu? Hivi itawezekana kweli kila mtanzania anayepokea mshahara apeleke mtoto wake Private??
Ooh! Kumbe alirudisha mpira kwa kipa😃😃Mwanzoni alimpeleka private akashindwa ikabidi ampeleka kayumba.
Haiwezeken kamanda maji kupanda mlimaSengwile makamanda?
Sengwile kumanya?
Haiwezekani kamanda kupigwa na polisi.
Atailipia, aeh
Atailipia aeh.
Abandu bandu bandu bandu banduba baba
Abandu???
Mwanajeshi siyo raia. Sheria za kiraia azimuhusu ingawa baadh ya sheria za kijeshi zinashabihana na za kiraia
Sheria ipi ya kiraia haimuhusu mwanajeshi? Sheria zote za kiraia zinamuhusu askari yeyote, akimshambulia mtu utafunguliwa kesi ya Shambulio na atawajibika, akimtukana mtu atafunguliwa kesi ya kutoa lugha ya matusi na atawajibika, akivunja Sheria za barabarani kama huyu anapelekwa mahakamani Kama hivi, kwahiyo Askari Sheria zote anatakiwa azifate na yeye ndo awe mfano, akifanya kosa lolote la jinai atafukuzwa kazi kupitia mahakama za kijeshi na atafikishwa mahakama ya kirai kuchukiliwa hatua zaidiMwanajeshi siyo raia. Sheria za kiraia azimuhusu ingawa baadh ya sheria za kijeshi zinashabihana na za kiraia
Mkuu watu wanadanganyana vijiweni, wanajisahau mpaka wanaleta kwenye platform yenye kila aina ya watu wenye maarifa tofauti tofauti.Sheria ipi ya kiraia haimuhusu mwanajeshi? Sheria zote za kiraia zinamuhusu askari yeyote, akimshambulia mtu utafunguliwa kesi ya Shambulio na atawajibika, akimtukana mtu atafunguliwa kesi ya kutoa lugha ya matusi na atawajibika, akivunja Sheria za barabarani kama huyu anapelekwa mahakamani Kama hivi, kwahiyo Askari Sheria zote anatakiwa azifate na yeye ndo awe mfano, akifanya kosa lolote la jinai atafukuzwa kazi kupitia mahakama za kijeshi na atafikishwa mahakama ya kirai kuchukiliwa hatua zaidi
Usidanganyike kuwa eti Sheria za kiraia hazimuhusu huo ni uongo
Labda useme kwamba Wanajeshi wote ni Raia ila kuna Raia wengine siyo wanajeshi.....Mwanajeshi neno raia kwake ni TUSI ila anashindwa kuelewa kwamba jeshi ni kazi tu haimuondolei uraia wake ,ni same as engineer naye asiwe raia kisa title ya u-engineer?
Pia hakuna mtu aliyejuu ya sheria ,hao wanajeshi kama ametenda jinai anashitakiwa kama kawaida.
Kuna baadhi ya vyeo/kazi nchini unakuwa na Immunity.