Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

Askofu wangu katika hili kubali tu ulimkaribisha shetani
Sasa unafungua makanisa corona imeisha?
Na ungejifungia hadi lini ?
Na jiuilize kwa nini maakofu wengine hawakufunga makanisa yao?
Je wewe ndiyo una akili zaidi kuliko maaskofu wote kwenye balaza la maaskofu?
Mtu mzima ukivuliwa nguo.chutama
Katika hili kubali imani yako imekuwa haba
 
Achunguzwe uraia huyo mchungaji, anaweza kuwa Mkenya.
 
Hivi
Huyu askofu ni Mtanzania? Na je,mbona kanisa lote la KKKT yeye tu ndio ana maneno ya shobo hivyo? Wakubwa wake hawamwoni? Rais Na information nyingi kuliko yeye anayelala church hivyo kuna baadhi ya mambo anaweza kufanya akiwa anaijua siri yeye tu, sio kila kitu yapasa kumpinga.
 
Usipo jihusisha na siasa uta tawaliwa na wajinga! Siasa ni maisha ya kila siku kupitia siasa ndipo unapangiwa Bei ya vywakula, bima , Afya nk..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni sawa kabisa kumpa hongera RAIS, Ila isiwe kigezo cha kuidharau CORONA hii covid 19 ipo tena hapa kwetu nchini ,Hata rais anasema chukua tahadhari jikinge .Tumpongeze kwa anayo ya sema .MUNGU IBARIKI NCHI YETU NA RAIS WAKE.
 
Ulikuwa umeanza vizuri lkn ulipoanza nukuu za hiyo mistari umechemka, hiyo mistari mtu mwongo na mkweli wanaweza kuitumia na wakaonekana ni wakweli juu ya wanachokusudia, abarikiwe sana Baba Askofu
 
Bagonza ni Mtumishi Wa Mwilini tu ndio maana anahangaika Mwilini.
Watumishi walio katika roho na wanaomjua Mungu walishapata maono ya maombi katika kipindi hiki, na kwa kuwa Mungu hajawahi kuwa mdogo Corona haiwezi kuwa kubwa kuliko Mungu, kama yeye ana Imani haba awaachie wenye Iimani wamtafute Mungu.
Katika Mungu kuishi ni Kristo na kufa ni Faida, Yeye anaogopa nini? Mpaka afunge Kanisa?
Hana Mungu? Hana Mungu? Hana Mungu?
Mungu ni utatu mtakatifu Baba,Mwana na Roho mtakatifu.
Mtafuteni Mungu kwanza na sio PhD mengine mtazidishiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hujafikiri sawasawa,wewe ni kati ya wale wa ndiyo baba.Panda,ndiyo baba, shuka,ndiyo baba kaa,ndiyo baba,simama,ndiyo baba.ili tu tumbo lako lijae.Hujaelewa hata chembe ya pointi yoyote aliyoitoa Dr.Unataka tuchape kazi ipi,uliyotupa wewe,unayetulipa wewe.Wapendwa,pelekeni watoto shule wasome,waweze kupambanua mambo.
 
7. Usiku tunaamka mara tatu tatu kuona kama walinzi wapo. Tunaajiri walinzi na wao wanatuajiri kuwachunga usiku.

🙌 🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…