Mwanafalsafa katika ubora wake,jiwe gizani limempata mlengwa....Baba Askofu katupa jiwe gizani sijui nani limempata upande wa pili? Asante kwa kutufikirisha AKILI na IMANI
Askofu wangu katika hili kubali tu ulimkaribisha shetania Askofu Bagonza
AKILI na IMANI
Hivi kipi kinaanza? Kipi kinawezesha kingine? Imani ndiyo inakuongoza kuwa na akili au akili inakuongoza kuwa na imani na kuitegemea?
Wanaopuuza umuhimu wa kutumia akili, wawaulize wazazi ambao kwa bahati mbaya wana watoto au jamaa waliopungukiwa na akili, kwa kuzaliwa au kupata tatizo hilo ukubwani. Zawadi kubwa, ya pekee na ya thamani aliyotupa Mungu ni akili. Tunaitumia kutambua na kufanya maamuzi. Hata imani tunayoienzi na kumwamini muumba wetu, tunawezeshwa na akili aliyotupa muumba huyo huyo.
Ndiyo maana pamoja na kwamba Mungu yupo:
1. Tunajenga nyumba na kulala ndani yake, hatulali nje ili Mungu atulinde.
2. Tunajenga uzio mkubwa kuzunguka nyumba, hatuaiachi nyumba ili Mungu atulinde.
3. Tunafuga mbwa wakali, licha ya kuwa na uzio.
4. Tunaajiri walinzi wenye silaha, kana kwamba uzio na mbwa havitoshi.
5. Tunaweka na CCTV kamera licha ya kuwa tuna walinzi, uzio na mbwa wakali.
6. Tunanunua na bima kubwa kuonyesha kuwa wizi bado upo licha ya kuwa tuna yote hayo.
7. Usiku tunaamka mara tatu tatu kuona kama walinzi wapo. Tunaajiri walinzi na wao wanatuajiri kuwachunga usiku.
Pamoja na yote hayo, Mungu aweza kutuchukua kutoka katikati ya ulinzi wote huo. Anatupa akili tuzitumie kujilinda, lakini anabaki na uwezo wa mwisho juu ya maisha yetu.
Hatuwezi kuacha kutumia akili eti kwa sababu yeye yupo. Na hatuwezi kutegemea akili tu eti kwa sababu akili katupa yeye. Imani na akili vyote ni mali ya Mungu, yeye katukabidhi tuvitumie.
TUSIHUKUMIANE na TUSILAUMIANE.
Wale akina nabii tito wanafanya ni? Au sababu mungu wenu kapigwa za uso? Tumia akili kufikiri hayo matako tumia kukaliaBishop, fanya huduma acha siasa.....over
Huyu askofu ni Mtanzania? Na je,mbona kanisa lote la KKKT yeye tu ndio ana maneno ya shobo hivyo? Wakubwa wake hawamwoni? Rais Na information nyingi kuliko yeye anayelala church hivyo kuna baadhi ya mambo anaweza kufanya akiwa anaijua siri yeye tu, sio kila kitu yapasa kumpinga.a Askofu Bagonza
AKILI na IMANI
Hivi kipi kinaanza? Kipi kinawezesha kingine? Imani ndiyo inakuongoza kuwa na akili au akili inakuongoza kuwa na imani na kuitegemea?
Wanaopuuza umuhimu wa kutumia akili, wawaulize wazazi ambao kwa bahati mbaya wana watoto au jamaa waliopungukiwa na akili, kwa kuzaliwa au kupata tatizo hilo ukubwani. Zawadi kubwa, ya pekee na ya thamani aliyotupa Mungu ni akili. Tunaitumia kutambua na kufanya maamuzi. Hata imani tunayoienzi na kumwamini muumba wetu, tunawezeshwa na akili aliyotupa muumba huyo huyo.
Ndiyo maana pamoja na kwamba Mungu yupo:
1. Tunajenga nyumba na kulala ndani yake, hatulali nje ili Mungu atulinde.
2. Tunajenga uzio mkubwa kuzunguka nyumba, hatuaiachi nyumba ili Mungu atulinde.
3. Tunafuga mbwa wakali, licha ya kuwa na uzio.
4. Tunaajiri walinzi wenye silaha, kana kwamba uzio na mbwa havitoshi.
5. Tunaweka na CCTV kamera licha ya kuwa tuna walinzi, uzio na mbwa wakali.
6. Tunanunua na bima kubwa kuonyesha kuwa wizi bado upo licha ya kuwa tuna yote hayo.
7. Usiku tunaamka mara tatu tatu kuona kama walinzi wapo. Tunaajiri walinzi na wao wanatuajiri kuwachunga usiku.
Pamoja na yote hayo, Mungu aweza kutuchukua kutoka katikati ya ulinzi wote huo. Anatupa akili tuzitumie kujilinda, lakini anabaki na uwezo wa mwisho juu ya maisha yetu.
Hatuwezi kuacha kutumia akili eti kwa sababu yeye yupo. Na hatuwezi kutegemea akili tu eti kwa sababu akili katupa yeye. Imani na akili vyote ni mali ya Mungu, yeye katukabidhi tuvitumie.
TUSIHUKUMIANE na TUSILAUMIANE.
Usipo jihusisha na siasa uta tawaliwa na wajinga! Siasa ni maisha ya kila siku kupitia siasa ndipo unapangiwa Bei ya vywakula, bima , Afya nk..Asilimia 90 ya vitu alivyoviorodhesha mimi sina katika hivyo mimi nina Akili na Imani tu.
Barakoa sivai ndani sijifungii na Corona sipati hii homa imekuzwa sana kuliko uhalisia wa madhara yake.
Corona ni homa ya kawaida ambayo naamini asilimia kubwa ya watanzania wamewahi kuugua kabla lakini walikuwa hawajijui lakini baada ya kuwapata wazungu na kuwaathiri sana ndio shida ilipoanzia.
Mtumishi fanya kazi ya Mungu achana na siasa Watanzania tuchape kazi.
HONGERA JPM NAIPENDA TANZANIA
Huyo kaishiwa hojaWazazi wameingiaje?
Hata sauli alikua chaguo la MunguMungu ni mwema wakati wote
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu!
Mbona hujamkemea yeye kuingia madhabauni na kuongea siasa!!Bishop, fanya huduma acha siasa.....over
Asilimia 90 ya vitu alivyoviorodhesha mimi sina katika hivyo mimi nina Akili na Imani tu.
Barakoa sivai ndani sijifungii na Corona sipati hii homa imekuzwa sana kuliko uhalisia wa madhara yake.
Corona ni homa ya kawaida ambayo naamini asilimia kubwa ya watanzania wamewahi kuugua kabla lakini walikuwa hawajijui lakini baada ya kuwapata wazungu na kuwaathiri sana ndio shida ilipoanzia.
Mtumishi fanya kazi ya Mungu achana na siasa Watanzania tuchape kazi.
HONGERA JPM NAIPENDA TANZANIA
Ulikuwa umeanza vizuri lkn ulipoanza nukuu za hiyo mistari umechemka, hiyo mistari mtu mwongo na mkweli wanaweza kuitumia na wakaonekana ni wakweli juu ya wanachokusudia, abarikiwe sana Baba AskofuMimi kwa mtazamo wangu IMANI uanza ndipo zinafuata AKILI
1. Imani ujenga HAKIKA/Hakikisho ambapo AKILI utumika kuchakata Kama Mashine na kutoa kitu ambacho Imani Imekijenga.
2.Kuna AKILI na MAARIFA, akili ujengwa na Binadamu lakini MAARIFA utoka kwa MUNGU.
Unaweza ukawa na AKILI lakini Mwenyezi MUNGU asikufunulie MAARIFA ya kutumia Akili zako.
2 mambo ya nyakati : Mlango 1
10 Basi sasa nipe hekima na maarifa, nijue kutoka na kuingia mbele ya watu hawa; kwa kuwa ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?
Mathayo : Mlango 11
25 Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.
Warumi : Mlango 10
2 Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
AmeenNiko upande wa Bangoza mtu mwenye PhD fake apashwi kupewa heshima
Mungu alikiri mwenyewe kuwa alifanya kosa kumuumba binadam (Mwanzo 6:6), je hapa hakufanya kosa lingine kweli?Mungu ni mwema wakati wote
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu!
Nadhani hujafikiri sawasawa,wewe ni kati ya wale wa ndiyo baba.Panda,ndiyo baba, shuka,ndiyo baba kaa,ndiyo baba,simama,ndiyo baba.ili tu tumbo lako lijae.Hujaelewa hata chembe ya pointi yoyote aliyoitoa Dr.Unataka tuchape kazi ipi,uliyotupa wewe,unayetulipa wewe.Wapendwa,pelekeni watoto shule wasome,waweze kupambanua mambo.Asilimia 90 ya vitu alivyoviorodhesha mimi sina katika hivyo mimi nina Akili na Imani tu.
Barakoa sivai ndani sijifungii na Corona sipati hii homa imekuzwa sana kuliko uhalisia wa madhara yake.
Corona ni homa ya kawaida ambayo naamini asilimia kubwa ya watanzania wamewahi kuugua kabla lakini walikuwa hawajijui lakini baada ya kuwapata wazungu na kuwaathiri sana ndio shida ilipoanzia.
Mtumishi fanya kazi ya Mungu achana na siasa Watanzania tuchape kazi.
HONGERA JPM NAIPENDA TANZANIA
Kinyume na wenzetu kina nani?Mjiulize ninyi mnaosema Mungu kawaepushia korona!! Yaani mnaenda kinyume na wenzenu kisa Mungu atawalinda sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyo askofu wako alifunga makanisa na sasa anafungua, je corona imeisha?Mjiulize ninyi mnaosema Mungu kawaepushia korona!! Yaani mnaenda kinyume na wenzenu kisa Mungu atawalinda sio?
Sent using Jamii Forums mobile app