Mimi kwa mtazamo wangu IMANI uanza ndipo zinafuata AKILI
1. Imani ujenga HAKIKA/Hakikisho ambapo AKILI utumika kuchakata Kama Mashine na kutoa kitu ambacho Imani Imekijenga.
2.Kuna AKILI na MAARIFA, akili ujengwa na Binadamu lakini MAARIFA utoka kwa MUNGU.
Unaweza ukawa na AKILI lakini Mwenyezi MUNGU asikufunulie MAARIFA ya kutumia Akili zako.
2 mambo ya nyakati : Mlango 1
10 Basi sasa nipe hekima na maarifa, nijue kutoka na kuingia mbele ya watu hawa; kwa kuwa ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?
Mathayo : Mlango 11
25 Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.
Warumi : Mlango 10
2 Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa.
Sent using
Jamii Forums mobile app