Askofu Emaus Mwamakula akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha Maandamano ya kudai Katiba Mpya

Hahaha sawa bwana
Usirudie kubishania usilojua. Unamlia yamini mzee wa ziwani! Anaenda hovyo. Kamata hovyo. Mbwembwe kibao. Busha nini? Kesho akikutana na changamoto ya upumuaji, je? Kuna yule awezaye kunyofoa roho na kuitupa jehanamu. Paulo na Sila walimwimbia milango ya gereza ikafunguka. Yeye aliyemfunika Farao kwa maji katika Bahari ya Shamu. Ni Yeye yuleyule zama hizo, zetu hizi na milele yote. Mwana Kondoo Ameshinda, Tumfuate!
 
Huu mpango una watanzania wengi sana nyuma yake - aliyetangulia hayupo peke yake, ni mjumbe tu!! Hoja ya Katiba ya watanzania haikwepeki.. ni muda muafaka sasa, hatutaki vidonda vitoneshwe tena 2025 hapana - na wakati wa kutatua kiini cha tatizo ni sasa.
 
Mtaenda kuliwa shauri yenu mfuateni
 
Bagonza na Mwamakula walifanya maombi eti Lisu awe Rais wa hii nchi!!.
Maombi yao yakaishia juu ya bati ayakufika Mbinguni kwa BABA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…