Askofu Emaus Mwamakula akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha Maandamano ya kudai Katiba Mpya

Mungu wa kweli, yaani Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo. Siyo yule Mungu wenu wa kuchonga aliyetangazwa na Lugola.
Wangekuwa wanamwamini huyo wangeomba tu Mungu mambo yakabadilika.Israel walitoka misri bila kurusha jiwe wala maandamano!!! Hawana nguvu yeyote ya KIroho wala MUNGU HAO
 
Mambosasa nakusalimia popote ulipo , Umezimika kama mshumaa jangwani

Ama Hakika Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! unasalimiwa na MO

RIP Akwilina
 
Weldone. Hawa wachunaji wanatupotezea muda kwa kujiingiza kwenye siasa chini ya kisingizio cha neno la Bwana. Waunde vyama. Wavue majoho waonje joto ya jiwe wanayoonja akina Mbowe. Vinginevyo ni uonga wa kawaida unaotaka kuonyeshwa kama ushujaa.
 
Polisi waliomkamata Mwamakula kwa kuhamasisha Katiba mpya wanajisikiaje leo
 
Weldone. Hawa wachunaji wanatupotezea muda kwa kujiingiza kwenye siasa chini ya kisingizio cha neno la Bwana. Waunde vyama. Wavue majoho waonje joto ya jiwe wanayoonja akina Mbowe. Vinginevyo ni uonga wa kawaida unaotaka kuonyeshwa kama ushujaa.
Wewe mpumbavu unajisikiaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…