Uchaguzi 2020 Askofu Gamanywa: Mungu amemteua Rais Magufuli kuwa kiongozi wa Tanzania, uchaguzi ni utaratibu wa kikatiba tu!

Muulize huyo Gamanywa wako, tangu lini mwenye hofu ya Mungu akateka watu, kuamuru watu wapigwe risasi na akabambikia watu makesi?
 
Asikofu njaa anamsemea Mungu yupi? Maana Mungu wa wote hawezi kutaka Mkoloni mweusi kaburu mtesi muonevu mnyanyasaji arejee ikulu tena
 
Barua ya wizara ya mambo ya ndani huyu haimuhusu?
 
Maskofu njaa hakuna kitu hapo ndio maana kafupi kama mavi ya mwisho. Kina leta usuukuma
 
Mwambie akadanganyane na mamke.
 
Tunachojua huyu ni Mnyarwanda. Hawa ndiyo wanatuharibia nchi yetu, mnafiki mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…