#COVID19 Askofu Gwajima amshukia Waziri Doroth Gwajima. Awataka Mawaziri wa Wizara ya Afya wajiuzulu

Huna hoja wameleta ushoga haya kuwa shoga
 
Siku hizi uchungaji sio karama ila" biashara" ni mwendo wa kupinga dili mpaka kununua ndege. Yesu mwana wa Mungu alipanda punda, wewe ni nani uwe na ndege?
Kisingizio chao punda kwa wakati ule ni sawa na ndege sasa, wanasema kama Yesu angekuja kipindi hiki basi angepanda the most luxurious ndege, hawa jamaa tapeli sana! Ila ukiangalia hata waumini wao ni watu wanaotia huruma kwa kweli
 
Yule msemaji anayedaiwa fidia..ingekuwa magu yupo.

Sijui wangefika wapi na gwajima....

Bahati mbaya sana...

Hapo ndio tutajua kama ni realy au maigizo
 
Bwana Yesu aliye mponya na apewe sifa.

Askofu Gwajima leo ataongoza ibada katika kanisa la ufufuo na uzima kabla hajaelekea bungeni Dodoma ambako kesho atahojiwa na kamati ya maadili ya bunge.

Updates;
Taperi huyo
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mkuu umeenda kupata neno la Mungu au kusikiliza mapigo ya coviuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…