jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Huna hoja wameleta ushoga haya kuwa shogaChanjo anayoipinga ni ya wazungu,makanisa yameletwa na wazungu,
Kwanini asiachane na kanisa aende kwenye matunguli ambayo ndiyo asili ya mtanzania na waafrika,alafu unajuta watul wazima na akili zai ambao yeye Gwajima anaowaita kondoo wamekusanyika kumsikiliza.
Kisingizio chao punda kwa wakati ule ni sawa na ndege sasa, wanasema kama Yesu angekuja kipindi hiki basi angepanda the most luxurious ndege, hawa jamaa tapeli sana! Ila ukiangalia hata waumini wao ni watu wanaotia huruma kwa kweliSiku hizi uchungaji sio karama ila" biashara" ni mwendo wa kupinga dili mpaka kununua ndege. Yesu mwana wa Mungu alipanda punda, wewe ni nani uwe na ndege?
Teknolojia bwashee!Siku hizi uchungaji sio karama ila" biashara" ni mwendo wa kupinga dili mpaka kununua ndege. Yesu mwana wa Mungu alipanda punda, wewe ni nani uwe na ndege?
Acha kuandika utumboMungu wa Gwajima ni Mkubwa kuliko kingine chochote [emoji123][emoji123]
Taperi huyoBwana Yesu aliye mponya na apewe sifa.
Askofu Gwajima leo ataongoza ibada katika kanisa la ufufuo na uzima kabla hajaelekea bungeni Dodoma ambako kesho atahojiwa na kamati ya maadili ya bunge.
Updates;
CCM ni hatari snMambo ya CCM kuchanganya dini na siasa hayo
yeye mwenyewe hana ameamua tu kusumbua watuTupe update
Tunaongeza siku za kuishi mkuu[emoji846][emoji846]Mkuu umeenda kupata neno la Mungu au kusikiliza mapigo ya coviuu
Unasema; "Ibada inaendelea Askofu anajibu mapigo ya shemeji"Ibada inaendelea Askofu anajibu mapigo ya shemejiView attachment 1902962View attachment 1902961View attachment 1902963
Unafikiri kwa kutumia nini labdaUnasema; "Ibada inaendelea Askofu anajibu mapigo ya shemeji"
Kwahiyo kujibu mapigo ya Shemeji ndio ibada yenyewe hiyo?
Endelea kutupa undambwi ndambwi....hansard zipo standby kuweka kumbukumbu....