#COVID19 Askofu Gwajima ana chuki binafsi dhidi ya Rais Samia, hili la chanjo ni kupitishia tu chuki yake

#COVID19 Askofu Gwajima ana chuki binafsi dhidi ya Rais Samia, hili la chanjo ni kupitishia tu chuki yake

Kama chanjo ni hiyari kwanini inatumika nguvu kubwa kuwaswaga watu wapatiwe chanjo........

Katika uhuru wa kutoa maoni kwenye chanjo kwanini uhuru unaotakiwa ni wa kukubali chanjo lakini wa kupingana na chanjo unaonekana sio uhuru bali ni uchonganishi.......??

Kwanini serikali ikatae kuwajibika kwa chanjo inayoinadi kuwa ni salama kwa asilimia zaidi ya 99....??

Nikishachanjwa nitapatwa na nini kuzito ambacho serikali kama mlezi wa raia hataki kuwajibika nacho......??

Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake
Aliyetoa uzi nae katoa mawazo yake kwa uhuru kama huo uliousema, kwanini unataka kumtoa macho?
 
Walifanya makosa gani?? Chanjo ya ndui imekuletea madhara gani mpuuzi wewe?
Chanjo zote zina madhara.And mind you,ninapozungumzia chanjo sizungumzii hii ya C-19,kwa kuwa sio chanjo,ni DNA Operating System au wanavyo iita wenyewe "Soft Ware of Life." Infact kama ulikuwa hujui ni Microsoft Windows mRNA 666 Operating System.
 
Leo nimekaa nikaiskiliza video nzima ya Askofu Gwajima Youtube kitu nilichogundua ni kwamba Gwajima ana chuki binafsi kwa Rais Samia but ametumia kigezo tu cha chanjo kupitisha chuki zake.

Point kubwa aliyozungumza Gwajima ni kwamba tukichanjwa tunaweza kuwa tumewekewa chip na wazungu wakawa wanatuvcontrol wanavyotaka, mara baada ya muda tunaweza kuwa mazombi, mara chanjo ni mpango wa shetani na taasisi yake.

Mara nyingi alikuwa anakomaa kumu attack mtu japo alikuwa hataji lakini kwa akili ya kawaida utaelewa. Gwajima ametoa lugha za kashfa kwamba wanaoruhusu chanjo akili zao wameweka likizo. Mara anadai wamelipwa hela, mara anasema ni taasisi za mashetani.

Gwajima akawaambia waumini wake kuna watu wanawaambia mchome ila wao hawachomi wanachoma maji. Mwisho wa siku kamaliza kwa kusema ataombea wote wanaochoma wafe aliyechomwa afe anayechoma afe, hata atakayechoma maji afe.

Hii ni chuki ya wazi wazi, Gwajima hana point za msingi juu ya kupinga chanjo wala hana point za kisayansi anaongea upotoshaji, lakini kubwa inaonekana anamchukia sana Rais Samia.

Kama Gwajima anajua mabeberu wanampango wakutumaliza basi, angewaambia waumini wake wasikanyage tena hospitali maana kule ndio zimejaa dawa za kibeberu.
Point kubwa aliyozungumza Gwajima ni kwamba tukichanjwa tunaweza kuwa tumewekewa chip na wazungu wakawa wanatuvcontrol wanavyotaka, mara baada ya muda tunaweza kuwa mazombi, mara chanjo ni mpango wa shetani na taasisi yake.
 
Point kubwa aliyozungumza Gwajima ni kwamba tukichanjwa tunaweza kuwa tumewekewa chip na wazungu wakawa wanatuvcontrol wanavyotaka, mara baada ya muda tunaweza kuwa mazombi, mara chanjo ni mpango wa shetani na taasisi yake.
Mshana we know this is true,kwa kuwa tumefanya utafiti wa kutosha na tumejiridhisha kuwa hii ni kweli.Sasa kama wanataka tuwaamini,which is not possible anyway,watuletee taarifa kwamba hii sio kweli.

Mshana tuna hata taarifa kwamba wakubwa hao wanatumia Talmudic Occult kuwa-influence watu wakubali chanjo through demonic👿 spells.The Khazarian Mafia are a very satanic group👿 of people Mshana, na ndio wenye ushetani👿 huu wote.Mjinga tu au ki-dumper ndiye anayeza kupigia talalila uovu huu.Read and listen to this👇

IMG-20210726-WA0003.jpg
 

Attachments

  • VID-20210723-WA0002.mp4
    6 MB
  • VID-20210729-WA0001.mp4
    40.3 MB
Mshana we know this is true,kwa kuwa tumefanya utafiti wa kutosha na tumejiridhisha kuwa hii ni kweli.Sasa kama wanataka tuwaamini,which is not possible anyway,watuletee taarifa kwamba hii sio kweli.

Mshana tuna hata taarifa kwamba wakubwa hao wanatumia Talmudic Occult kuwa-influence watu wakubali chanjo through demonic[emoji49] spells.The Khazarian Mafia are a very satanic group[emoji49] of people Mshana, na ndio wenye ushetani[emoji49] huu wote.Mjinga tu au ki-dumper ndiye anayeza kupigia talalila uovu huu.Read and listen to this[emoji116]

View attachment 1874956
Mathanzua we are already compromised mbona..unachoongea ni kweli kabisa LAKINI HATUNA PA KUTOKEA trust me.. Sharti lijalo ni kwamba ili upate msaada ni lazima wananchi wako wachanjwe..
 
Kuchukua hapana ila kubezwa ni lazima.
Ukimbeza Gwajima wewe ni poyoyo.Huyu ndiye mwenye nia ya kweli ya kuwalinda Watanzania,wanaopigia chapuo hii chanjo ni wadau katika kuleta genocide kwa Watanzania,na Watanzania wana haki si kuwabeza tu ila hata kuwafanyia mambo mabaya zaidi.

Hivi what do you do to a person who deliberately plans to kill you?Sina jibu kwa kweli.
Oneni ubaya wa chanjo hizi,na bado watu bila aibu wanazi idhinisha kwa matumizi yetu,huku wakijua ni za majaribio na hazijafanyiwa utafiti wa kutosha.Yaani wanatufanya sisi wanyama wa majaribio!Ni dharau na unyama gani huu?
 

Attachments

  • VID-20210729-WA0001.mp4
    40.3 MB
  • VID-20210723-WA0002.mp4
    6 MB
Mathanzua we are already compromised mbona..unachoongea ni kweli kabisa LAKINI HATUNA PA KUTOKEA trust me.. Sharti lijalo ni kwamba ili upate msaada ni lazima wananchi wako wachanjwe..
Sawa najua Mshana,ila inashangaza kuona kwamba wenzetu wengine wamekuwa enrolled kwenye CIA covert army and they are against their brothers and sisters kwa malipo ya some dollars.

This👇🤘 is the secret army of the CIA we are confronted with Mshana!

 
Sawa najua Mshana,ila inashangaza kuona kwamba wenzetu wengine wamekuwa enrolled kwenye CIA covert army and they are against their brothers and sisters kwa malipo ya some dollars.
Ni lazima wabalance story hiyo ni mipango
 
Ni lazima wabalance story hiyo ni mipango
Yea,this🗣👇 is the secret army of the CIA which is balancing the story Mshana!

 
katika watu waliotakiwa kukamatwa ni Gwajima. kasema mama kapewa hela na tena wafe sireously. akiachwa nitashangaa sana.
 
chanjo ni hiyari lakini serikali inao wajibu wa kuwashawishi wananchi kupata chanjo ili kupunguza kasi ya maambukizi, kisha wananchi kwa hiyari yao watajifikiria maamuzi,

lakini sio asimame mwananchi mwingine aanze kuhubiri kwenye majukwaa kuzuia watu na kutoa taarifa za uongo? who is him? askofu Rashidi ni mpumbavu
Hoja inashindana na hoja shindana na hoja zake siyo kutuletea taarabu nyingi
 
Leo nimekaa nikaiskiliza video nzima ya Askofu Gwajima Youtube kitu nilichogundua ni kwamba Gwajima ana chuki binafsi kwa Rais Samia but ametumia kigezo tu cha chanjo kupitisha chuki zake.

Point kubwa aliyozungumza Gwajima ni kwamba tukichanjwa tunaweza kuwa tumewekewa chip na wazungu wakawa wanatuvcontrol wanavyotaka, mara baada ya muda tunaweza kuwa mazombi, mara chanjo ni mpango wa shetani na taasisi yake.

Mara nyingi alikuwa anakomaa kumu attack mtu japo alikuwa hataji lakini kwa akili ya kawaida utaelewa. Gwajima ametoa lugha za kashfa kwamba wanaoruhusu chanjo akili zao wameweka likizo. Mara anadai wamelipwa hela, mara anasema ni taasisi za mashetani.

Gwajima akawaambia waumini wake kuna watu wanawaambia mchome ila wao hawachomi wanachoma maji. Mwisho wa siku kamaliza kwa kusema ataombea wote wanaochoma wafe aliyechomwa afe anayechoma afe, hata atakayechoma maji afe.

Hii ni chuki ya wazi wazi, Gwajima hana point za msingi juu ya kupinga chanjo wala hana point za kisayansi anaongea upotoshaji, lakini kubwa inaonekana anamchukia sana Rais Samia.

Kama Gwajima anajua mabeberu wanampango wakutumaliza basi, angewaambia waumini wake wasikanyage tena hospitali maana kule ndio zimejaa dawa za kibeberu.
Kweli kabisa, ni mpumbavu sana, kama aliwekeza mapesa kwa awamu ya tano hayajarudi, imekula kwake
 
Leo nimekaa nikaiskiliza video nzima ya Askofu Gwajima Youtube kitu nilichogundua ni kwamba Gwajima ana chuki binafsi kwa Rais Samia but ametumia kigezo tu cha chanjo kupitisha chuki zake.

Point kubwa aliyozungumza Gwajima ni kwamba tukichanjwa tunaweza kuwa tumewekewa chip na wazungu wakawa wanatuvcontrol wanavyotaka, mara baada ya muda tunaweza kuwa mazombi, mara chanjo ni mpango wa shetani na taasisi yake.

Mara nyingi alikuwa anakomaa kumu attack mtu japo alikuwa hataji lakini kwa akili ya kawaida utaelewa. Gwajima ametoa lugha za kashfa kwamba wanaoruhusu chanjo akili zao wameweka likizo. Mara anadai wamelipwa hela, mara anasema ni taasisi za mashetani.

Gwajima akawaambia waumini wake kuna watu wanawaambia mchome ila wao hawachomi wanachoma maji. Mwisho wa siku kamaliza kwa kusema ataombea wote wanaochoma wafe aliyechomwa afe anayechoma afe, hata atakayechoma maji afe.

Hii ni chuki ya wazi wazi, Gwajima hana point za msingi juu ya kupinga chanjo wala hana point za kisayansi anaongea upotoshaji, lakini kubwa inaonekana anamchukia sana Rais Samia.

Kama Gwajima anajua mabeberu wanampango wakutumaliza basi, angewaambia waumini wake wasikanyage tena hospitali maana kule ndio zimejaa dawa za kibeberu.

Nini haswaa kinachofanya amchukie huyu mama! Uislamu wake ama mwanamke kuongoza nchi!
 
Back
Top Bottom