Mkuu asante kwa swali zuri.Hawa watu wanafanya kazi zao kwa umakini mkubwa,na pole pole ili wasistukiwe.Yote waliyokuwa wanafanya huko nyuma zilikuwa hatua mbali mbali za kuwawezesha kufikia hatua hii ya sasa.Kwa bahati mbaya wengi tumelala sana,ndio maana wameweza kufikia hatua hii ya sasa.Ni hatua mbaya sana,kwa kuwa kwa mtu makini na diagnostic anaona wazi mauaji kupitia kwenye magonjwa kama BP,Cancers,Heart Diseases,Diabetes,
Herpatitis,HIV-Aids etc.,Ebola etc.Magonjwa haya make no mistake about it yanatokana na mifumo ya maisha na madawa waliyotuamisha kwamba ni salama,huku wakijua wazi kwamba wanatuingiza chaka.Infact kupitia kwenye madawa mbali mbali na mifumo mibovu ya maisha waliyotupandikizia kwa siri,ndiyo iliyowawezesha kufika hatua hii ya sasa.Uviko-19 ndio blow ya mwisho.Mkuu kupitia kwenye mbinu zao mbali mbali na utapeli wa Uviko-19,wanapanga kuua wanadamu takriban 7billion.Yes,that is how evil they are.