Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Maombi yalitangazwa jpl hafu kibwengo from no where kinazusha uzushi wa ajabu
 
Tatizo ni uelewa duni wa wananchi... ccm inafanya makosa mengi sana!!
 
Apigweeeeeeeeeeeeee
Wenye mwili wote,waseme ameeee!!!!
Gwajiboy umetuokoa na JJ.
 
Kwa hiyo huyu alieleta hii habari hapa ndio mpotoshaji. Maana yake hapa inatakiwa ulete habari iliyonyooka,sio kuanza kufumbua mafumbo,nani alisema hiki na yupi ni yupi. Mood futa huu uzi
 
Chuki ipi Sasa Labda tujuze.
 
Ohoooo huyu jamaa c ndo alimfuta bashite kwny dunia ya siasa??? Msicheze nae
Ndie na baada ya kumfuta mikosi ikaanza kumuandamana ikiwemo kuvunjika ndoa yake na jiwe,hadi leo toka meza kuu hadi kwenye mkeka.
Huyu jamaa sio wa mchezo,ndie aliyemuokoa jiwe na kombola la moshi wa ruangwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…